Putin hataishia Ukraine tu, ipo siku atavamia nchi nyingine ya jirani

Putin hataishia Ukraine tu, ipo siku atavamia nchi nyingine ya jirani

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kama nchi zingine za Ulaya zinaamini Putin ataishia Ukraine tu, wajue wanajidanganya, ipo siku atavamia nchi nyingine kwa kigezo cha usalama wa nchi yake hasa nchi zingine zinazopakana na Russia au zilizo jirani na Russia.

NATO mpaka sasa wameshamfanya Putin ajione kidume japo kuikamata Ukraine/Kyiv bado hajafanikiwa. Ipo siku watajutia maamuzi yao na watakuja kuyakumbuka maneno ya Rais wa Ukraine waliomtenga leo hii.

Niliwapinga Marekani walipoivamia Iraq na Afghanistan na leo nawapinga Russia kwa kuivamia Ukraine ila sitowapinga tena Russia siku watapovamia nchi nyingine ya Ulaya na hilo litakuwa funzo kwa NATO kuwa walikosea kuiacha Ukraine ikiangamia kwa kigezo sio mwanachama wao.

Nchi kama Poland, Finland na Sweden, naamini ziko hatarini.

Time will tell.
 
Wacha hiyo time itell tujionee kama bado tutakuwa hai au naye puttin ataishi milelee aendelezee anachokifanyaa sasa.
 
Kama nchi zingine za Ulaya zinaamini Putin ataishia Ukraine tu, wajue wanajidanganya, ipo siku atavamia nchi nyingine kwa kigezo cha usalama wa nchi yake hasa nchi zingine zinazopakana na Russia au zilizo jirani na Russia.

NATO mpaka sasa wameshamfanya Putin ajione kidume japo kuikamata Ukraine/Kyiv bado hajafanikiwa. Ipo siku watajutia maamuzi yao na watakuja kuyakumbuka maneno ya Raisi wa Ukraine waliomtenga leo hii.

Niliwapinga Marekani walipoivamia Iraq na Afghanistan, na leo nawapinga Russia kwa kuivamia Ukraine ila sitowapinga tena Russia siku watapovamia nchi nyingine ya Ulaya na hilo litakuwa funzo kwa NATO kuwa walikosea kuiacha Ukraine ikiangamia kwa kigezo sio mwanachama wao.

Nchi kama Poland, Finland na Sweden, naamini ziko hatarini.

Time will tell.
Kama zitaleta ujinga kama wa Ukraine itakuwa sawa tu.
 
"Ogopa Sana wale marafiki wanaokwambia tuko nyuma yako, ila ukigeuka nyuma uwaoni"
R.I.P Reginald Mengi
IMG_20220305_172548.jpg
 
Kama nchi zingine za Ulaya zinaamini Putin ataishia Ukraine tu, wajue wanajidanganya, ipo siku atavamia nchi nyingine kwa kigezo cha usalama wa nchi yake hasa nchi zingine zinazopakana na Russia au zilizo jirani na Russia.

NATO mpaka sasa wameshamfanya Putin ajione kidume japo kuikamata Ukraine/Kyiv bado hajafanikiwa. Ipo siku watajutia maamuzi yao na watakuja kuyakumbuka maneno ya Raisi wa Ukraine waliomtenga leo hii.

Niliwapinga Marekani walipoivamia Iraq na Afghanistan, na leo nawapinga Russia kwa kuivamia Ukraine ila sitowapinga tena Russia siku watapovamia nchi nyingine ya Ulaya na hilo litakuwa funzo kwa NATO kuwa walikosea kuiacha Ukraine ikiangamia kwa kigezo sio mwanachama wao.

Nchi kama Poland, Finland na Sweden, naamini ziko hatarini.

Time will tell.
Hao marekani kwani unafkiri nao wanakubali taifa kubwa lingine li form alliance hasa ya kijeshi na nchi zinazopakana nae .
Refer cuba and russia marekani aliingia kati but lile halikufkia kwenye vita mrusi akaachana na ule mpango.
 
Hao marekani kwani unafkiri nao wanakubali taifa kubwa lingine li form alliance hasa ya kijeshi na nchi zinazopakana nae .
Refer cuba and russia marekani aliingia kati but lile halikufkia kwenye vita mrusi akaachana na ule mpango.
Ni kwamba, hata mtoa mada angekuwa ndiyo rais wa Russia angefanya anachofanya Putin vinginevyo angekuwa boya! Unaona hatari mbele yako kisha unachekacheka kama zuzu badala ya kuchukua hatua huo ni ufala wa kiwango cha juu sana!
 
Kama nchi zingine za Ulaya zinaamini Putin ataishia Ukraine tu, wajue wanajidanganya, ipo siku atavamia nchi nyingine kwa kigezo cha usalama wa nchi yake hasa nchi zingine zinazopakana na Russia au zilizo jirani na Russia.

NATO mpaka sasa wameshamfanya Putin ajione kidume japo kuikamata Ukraine/Kyiv bado hajafanikiwa. Ipo siku watajutia maamuzi yao na watakuja kuyakumbuka maneno ya Raisi wa Ukraine waliomtenga leo hii.

Niliwapinga Marekani walipoivamia Iraq na Afghanistan, na leo nawapinga Russia kwa kuivamia Ukraine ila sitowapinga tena Russia siku watapovamia nchi nyingine ya Ulaya na hilo litakuwa funzo kwa NATO kuwa walikosea kuiacha Ukraine ikiangamia kwa kigezo sio mwanachama wao.

Nchi kama Poland, Finland na Sweden, naamini ziko hatarini.

Time will tell.
Unaonaje zoba kam uende ukatoe huo msaada badala ya kuwalaumu nato huku we huoneshi mchango wako ktk hilo?
 
Mtoa mada mbona hujaona hatari ya Marekani na NATO kuvamia nchi nyingine?

Au Unaona mazuri?

Au unadhani hao Marekani na NATO ndo wameishia hapo?

Putin kafanya kosa gani ambalo USA na NATO hawajafanya?
Hakuna kosa linaloweza kuhalalisha kosa.
 
Back
Top Bottom