Putin hataishia Ukraine tu, ipo siku atavamia nchi nyingine ya jirani

Putin hataishia Ukraine tu, ipo siku atavamia nchi nyingine ya jirani

Kama nchi zingine za Ulaya zinaamini Putin ataishia Ukraine tu, wajue wanajidanganya, ipo siku atavamia nchi nyingine kwa kigezo cha usalama wa nchi yake hasa nchi zingine zinazopakana na Russia au zilizo jirani na Russia.

NATO mpaka sasa wameshamfanya Putin ajione kidume japo kuikamata Ukraine/Kyiv bado hajafanikiwa. Ipo siku watajutia maamuzi yao na watakuja kuyakumbuka maneno ya Rais wa Ukraine waliomtenga leo hii.

Niliwapinga Marekani walipoivamia Iraq na Afghanistan na leo nawapinga Russia kwa kuivamia Ukraine ila sitowapinga tena Russia siku watapovamia nchi nyingine ya Ulaya na hilo litakuwa funzo kwa NATO kuwa walikosea kuiacha Ukraine ikiangamia kwa kigezo sio mwanachama wao.

Nchi kama Poland, Finland na Sweden, naamini ziko hatarini.

Time will tell.
Mbona poa tu, Marekani ameshavamia nchi kibao kwa kisingizio cha usalama wake.
 
Hiyo fursa haitakuwepo Russia ya kuvamia wengine ndio inaishia hapa kwa dikteta Putin na haitakuwepo tena.

The civilised world 🌎 will not accept any more to see the delusional rulers like Putin at the helm in any country.
 
Kama nchi zingine za Ulaya zinaamini Putin ataishia Ukraine tu, wajue wanajidanganya, ipo siku atavamia nchi nyingine kwa kigezo cha usalama wa nchi yake hasa nchi zingine zinazopakana na Russia au zilizo jirani na Russia.

NATO mpaka sasa wameshamfanya Putin ajione kidume japo kuikamata Ukraine/Kyiv bado hajafanikiwa. Ipo siku watajutia maamuzi yao na watakuja kuyakumbuka maneno ya Rais wa Ukraine waliomtenga leo hii.

Niliwapinga Marekani walipoivamia Iraq na Afghanistan na leo nawapinga Russia kwa kuivamia Ukraine ila sitowapinga tena Russia siku watapovamia nchi nyingine ya Ulaya na hilo litakuwa funzo kwa NATO kuwa walikosea kuiacha Ukraine ikiangamia kwa kigezo sio mwanachama wao.

Nchi kama Poland, Finland na Sweden, naamini ziko hatarini.

Time will tell.
Kama ata survive this time around na wao Wameshaliona hilo na wameanza kujipanga.

Kwa Poland ni ishu kidogo kwa sababu iko NATO.

Sema hao walio neutral nimeona kwao wameanza msukumo wa kujiunga NATO Ili kujihakikishia usalama.
 
Kama nchi zingine za Ulaya zinaamini Putin ataishia Ukraine tu, wajue wanajidanganya, ipo siku atavamia nchi nyingine kwa kigezo cha usalama wa nchi yake hasa nchi zingine zinazopakana na Russia au zilizo jirani na Russia.

NATO mpaka sasa wameshamfanya Putin ajione kidume japo kuikamata Ukraine/Kyiv bado hajafanikiwa. Ipo siku watajutia maamuzi yao na watakuja kuyakumbuka maneno ya Rais wa Ukraine waliomtenga leo hii.

Niliwapinga Marekani walipoivamia Iraq na Afghanistan na leo nawapinga Russia kwa kuivamia Ukraine ila sitowapinga tena Russia siku watapovamia nchi nyingine ya Ulaya na hilo litakuwa funzo kwa NATO kuwa walikosea kuiacha Ukraine ikiangamia kwa kigezo sio mwanachama wao.

Nchi kama Poland, Finland na Sweden, naamini ziko hatarini.

Time will tell.
Hee.!! iyo Ukraine mkuu Urusi mavi kitambaani hadi leo, ubavu huo ataupata wapi? Magharibi wanamcheka sana huyu jamaa alivyokuwa dhaifu na maneno yake kama ya kwenye kanga kila siku, jana karudishwa nyumba 100 kilometers, meli zake zinaripuliwa kama kibiriti kwisha putini
 
Back
Top Bottom