Zacht
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 1,026
- 2,266
Baada ya Wagner group kufanya maandamano yao ya kijeshi kitendo hicho kimeonekana kama ni tishio kwa usalama Russia, Putin kwenye kikao cha Leo amekuja uamuzi wa kuifuta Wagner Group kwa kuwapa options tatu Askari wa warger
1: kurudi nyumbani Yani kuachana kabisa na shughuli za kijeshi
2: Kujiunga na jeshi (Russian Army)
3:kwenda Belarus
Makundi haya matatu yameahidiwa kutokuchukuliwa hatua za kinidhamu iwapo watakubali offer hizo
Kuvunjwa vunjwa huku kwa Wagner itawaathili uwepo wapo barani Africa na sehemu zingine(Syria...etc) kwasababu Wagner ambayo inayofanya kazi barani Afrika na kwengine ipo chini ya MOD(Ministry of Defence).
Belarus haina ushawishi barani Afrika, kandarasi za Wagner za kuwa Afrika na Syria zilitolewa na MoD kwa hivyo mkataba utakuwa wa Wagner Russia(Russian Army) sio Belarusi.
Pia katika Hotuba hio yake Putin aliwashukuru Warusi kwa uvumilivu, mshikamano na uzalendo wao wa aina yoyote ya usaliti, majaribio ya kuleta machafuko ya ndani yatashindwa,Uasi wa kutumia silaha ungezuiliwa hata hivyo.
Pia kasema
Maadui wa Urusi walitaka nchi hiyo iingie katika mapigano ya wenyewe kwa wenyewe yenye umwagaji damu, imeshindikana
Putin ameahidi kwamba ahadi kwa Wagner itatekelezwa.
Vladimir Putin ameshukuru Lukashenka kwa mchango wake katika kukomesha uasi huo.
Putin anaamini kwamba roho za kizalendo za Warusi, ilichukua nafasi kubwa katika kukomesha uasi hio.
1: kurudi nyumbani Yani kuachana kabisa na shughuli za kijeshi
2: Kujiunga na jeshi (Russian Army)
3:kwenda Belarus
Makundi haya matatu yameahidiwa kutokuchukuliwa hatua za kinidhamu iwapo watakubali offer hizo
Kuvunjwa vunjwa huku kwa Wagner itawaathili uwepo wapo barani Africa na sehemu zingine(Syria...etc) kwasababu Wagner ambayo inayofanya kazi barani Afrika na kwengine ipo chini ya MOD(Ministry of Defence).
Belarus haina ushawishi barani Afrika, kandarasi za Wagner za kuwa Afrika na Syria zilitolewa na MoD kwa hivyo mkataba utakuwa wa Wagner Russia(Russian Army) sio Belarusi.
Pia katika Hotuba hio yake Putin aliwashukuru Warusi kwa uvumilivu, mshikamano na uzalendo wao wa aina yoyote ya usaliti, majaribio ya kuleta machafuko ya ndani yatashindwa,Uasi wa kutumia silaha ungezuiliwa hata hivyo.
Pia kasema
Maadui wa Urusi walitaka nchi hiyo iingie katika mapigano ya wenyewe kwa wenyewe yenye umwagaji damu, imeshindikana
Putin ameahidi kwamba ahadi kwa Wagner itatekelezwa.
Vladimir Putin ameshukuru Lukashenka kwa mchango wake katika kukomesha uasi huo.
Putin anaamini kwamba roho za kizalendo za Warusi, ilichukua nafasi kubwa katika kukomesha uasi hio.