Putin na Kim Jong UN wamekubaliana kusaidiana endapo mmojawapo atashambuliwa

Putin na Kim Jong UN wamekubaliana kusaidiana endapo mmojawapo atashambuliwa

Waneshambulia wapi tangu waruhusiwe kushambulia ndani ya Urusi!!!
Ukraine imeharibu safu za wanajeshi wa Urusi waliokuwa wamejipanga kwa kutumia HIMARS, kamanda wa Ukraine alisema.

Alisema walilengwa mara tu Ukraine ilipopata kibali cha kutumia silaha za washirika kuvuka mpaka.

Wataalamu wanasema uwezo wa Ukraine wa kutumia silaha zinazotolewa na nchi za Magharibi katika ardhi ya Urusi unasaidia katika mapambano yake.

Ukraine imeweza kuharibu safu za wanajeshi wa Urusi baada ya kupata ruhusa kutoka kwa washirika wake kutumia silaha zao kushambulia maeneo ya kijeshi kuvuka mpaka na kuingia Urusi, kamanda wa Ukraine alisema.

Kamanda wa mizinga, aliye na ishara ya simu Hefastus, aliiambia Associated Press kwamba HIMARS ya Ukraine ilianza kufyatua risasi katika eneo la kaskazini la Kharkiv mara tu Ukraine ilipopata kibali.

Ukraine ilipata kibali kutoka kwa washirika wake mwezi uliopita kushambulia maeneo ya kijeshi nchini Urusi kwa silaha walizokuwa wametoa, hivyo basi kubatilisha kizuizi cha muda mrefu.

"Tangu siku za kwanza, vikosi vya Ukraine viliweza kuharibu safu zote za wanajeshi kwenye mpaka wakisubiri amri ya kuingia Ukraine," Hefastus alisema, kulingana na AP.

Alisema Ukraine isingeweza kuafiki hili bila ruhusa yake mpya, kwani risasi za kawaida haziwezi kufika mbali hivyo.

Hefastus aliongeza kuwa Ukraine sasa inaweza kuharibu vituo vya amri vya Urusi.

Urusi pia imekuwa ikiweka wanajeshi karibu na mpaka na Ukraine, tayari kuitwa kupigana.Naibu waziri wa ulinzi wa Ukraine, Ivan Havryliuk, aliliambia shirika la habari la AP kwamba takriban wanajeshi 90,000 wa Urusi walioko ndani ya ardhi ya Urusi walikuwa wakijiandaa kwa shambulio jipya vizuizi vitakapoondolewa.Haijabainika ikiwa yoyote kati ya hawa walikuwa wanajeshi wanaodaiwa kushambuliwa na HIMARS.

 
Sasa bila jeshi kiongozi atafanya nini? Tatizo siyo Zelensky bali ideology ya hao neo nazi.
Ngoja FRANC THE GREAT atakuja kukupatia jibu stahiki mkuu.

Yani ideology ya jeshi analoongoza Zelenskyy ni tofauti na ideology yake? Mbona hawamuondoi ama kumpindua?

Huwezi kuongoza jeshi lenye ideology tofauti na wewe na ukaendelea kuliamrisha na likatii hiyo amri.

So your point is Oxymoronic.

Kuna point gani kumuacha Zelensky ambaye ndo jemedari mkuu na rafiki wa west?
 

Wawili hao wamesain makubaliano kwamba endapo mmojawapo atashambuliwa, basi ni kama wote wameshambuliwa.

Tunaelekea kwenye mgawanyiko ambapo endapo vita itapigwa, basi mwishowe kila mmoja lazima awe na upande alochaguwa.

Mafano wiki kadhaa zijazo, NATO nao wanakaa kikao kujadili namna ya kuiadhibu China ili ichague kati ya West au Russia. Kwasababu Mchina anamsadiai mrusi kule kwenye vita na Ukraine.
---

SEOUL, South Korea — Russian President Vladimir Putin and North Korean leader Kim Jong Un signed a new pact Wednesday that includes a pledge of mutual defense if either is attacked.

The agreement was sealed at a summit in Pyongyang during a rare visit by Putin to the reclusive nuclear-armed state as both countries face growing confrontations with the West.

In a news conference after the summit, Putin said the agreement, which he called “a truly breakthrough document,” reflected the two countries’ shared desire to raise relations to a new level — covering security, trade, investment, and cultural and humanitarian ties.

Kim said it was a peaceful agreement that elevated relations to an alliance.

The comprehensive strategic partnership between the two countries, both of which have been isolated by global sanctions, could expand transfers of military technology to Pyongyang in exchange for supplies of munitions that Moscow’s military badly needs for its war in Ukraine. U.S. officials previously told NBC News that such transfers could vastly enhance North Korea’s nuclear weapons and missile programs and threaten the Asia-Pacific region.

Kim, who has been accelerating weapons testing and stoking tensions with U.S. ally South Korea, on Wednesday promised his “full support” for what Russia calls its “special military operation” in Ukraine.

Jana urussi imeshambuliwa kwake na ukraine. Na wameua watu 150+ plus maeneo ya kimkakat. Mheshimiwa North korea majibu tafadhali.
 
Back
Top Bottom