Putin na Kim Jong UN wamekubaliana kusaidiana endapo mmojawapo atashambuliwa

Putin na Kim Jong UN wamekubaliana kusaidiana endapo mmojawapo atashambuliwa

Putin hataki tena kuondoa utawala wa Zelensky. Anataka kuachiwa majimbo tu ambayo wamechukimuwa kwa nguvu mfano Crimea na Donbas ndo vita iishe.

Ukraine anataka Russia arudi kwenye mipaka inayotambulika kimataifa. Hataki kuachia ardhi.

Kama Putin anataka kumaliza hii issue. Ashambulie Kyiv na kumuondoa Zelensky na kufutilia mbali utawala wake na aichukue Ukraine yote ambayo ilikuwa USSR wakati yeye akiwa KGB.

Shida iko wapi?

Just think bila mihemko.
Nilishakujibu huko juu sio rahisi kuvunja utawala wa mtu mwingine ndani ya taifa lingine.
Hapo inapigana nchi na nchi,we unadhani ni rahisi kitu alichokitaja Russia!?
Mbali na hapo NATO wako nyuma ya Ukraine unadhani jambo ni jepesi!?
Crimea itoe maana toka 2014 ilishanyakuliwa na Russia,Donbas,Donetsk na Kharkiv kote huko kumemegwa.
Na Russia alisema kama Ukraine iko tayari kukaa mezani kwaajili ya kuongelea amani basi sharti moja wapo itambue maeneo yaliyochukuliwa na Russia ni ya Russia sio ya Ukraine tena.
Na Putin kusisitiza tofauti na hapo hakuna majadiliano ya amani.
Kwa haya maelezo we unapata picha gani hapo!?
 
Nilishakujibu huko juu sio rahisi kuvunja utawala wa mtu mwingine ndani ya taifa lingine.
Hapo inapigana nchi na nchi,we unadhani ni rahisi kitu alichokitaja Russia!?
Mbali na hapo NATO wako nyuma ya Ukraine unadhani jambo ni jepesi!?
Crimea itoe maana toka 2014 ilishanyakuliwa na Russia,Donbas,Donetsk na Kharkiv kote huko kumemegwa.
Na Russia alisema kama Ukraine iko tayari kukaa mezani kwaajili ya kuongelea amani basi sharti moja wapo itambue maeneo yaliyochukuliwa na Russia ni ya Russia sio ya Ukraine tena.
Na Putin kusisitiza tofauti na hapo hakuna majadiliano ya amani.
Kwa haya maelezo we unapata picha gani hapo!?
Unaongea vitu gani? Siyo rahisi kuvunja taifa? Kwani anachofanya Putin siyo kujaribu kuvunja taifa?

What kind of reasoning is this?

Eti watambuwe maeneo yaliyochukuliwa siyo sawa na kukubali taifa kuvunjwa?
 
Na ardhi ya Ukrainę itaendelea kupiganiwa na wananchi wa Ukrainę na ndicho kinaendelea hadi Putin anaenda kwa Kiduku, Iran, China na Vietnam.

Kama mbabe kweli, amuoondoe Zelenskyy na serikali yake. Aipige na kuisambaratisha Kyiv. Hapo atashinda faster.

Unataka kuchukua kipande cha nchi ukaacha utawala wa nchi akili ya wapi?
Bro naona unaleta mihemko.
Kipindi Russia inaivamia Kyiv kina nani walikua nyuma kwenye kuirejesha Kyiv!?
Kina nani wako nyuma kumpa supply of weapons and manpower Ukraine!?
Jibu unalo,Ukraine inasaidiwa na NATO sio tu kisilaha hadi askari wamepenyezwa,we unadhani hilo jambo jepesi kwa Russia kufanya kama unavyotaka wewe!?
NATO wakae pembeni halafu uone hiyo Ukraine itakua na hali gani.

Na vita inazidi kuwa ngumu maana ukitizama Ukraine ina magofu mengi na Russia alishasisitiza sharti la kuongelea amani Ukraine akubali kuwa maeneo yaliyotekwa ni ya Russia kama hatokubali vita inaendelea.
Ukraine imegeuka kuwa kama SYRIA,kila aina ya silaha zinajaribiwa hapo.
Na kila leo Ukraine anapotelewa na rasilimali watu,tupo hapa.
 
Unaongea vitu gani? Siyo rahisi kuvunja taifa? Kwani anachofanya Putin siyo kujaribu kuvunja taifa?

What kind of reasoning is this?

Eti watambuwe maeneo yaliyochukuliwa siyo sawa na kukubali taifa kuvunjwa?
Kweli we jamaa husomi kwa uelewa.
Nimesema sio rahisi kuvunja utawala wa mtu katika taifa lingine.
Sijasema kuvunja taifa.
Embu rudia kusoma kiumakini.
Wewe ulidai Russia kitu simple amng'atue Zelensky madarakani,ndio nikakupa hilo jibu.
 
Bro naona unaleta mihemko.
Kipindi Russia inaivamia Kyiv kina nani walikua nyuma kwenye kuirejesha Kyiv!?
Kina nani wako nyuma kumpa supply of weapons and manpower Ukraine!?
Jibu unalo,Ukraine inasaidiwa na NATO sio tu kisilaha hadi askari wamepenyezwa,we unadhani hilo jambo jepesi kwa Russia kufanya kama unavyotaka wewe!?
NATO wakae pembeni halafu uone hiyo Ukraine itakua na hali gani.

Na vita inazidi kuwa ngumu maana ukitizama Ukraine ina magofu mengi na Russia alishasisitiza sharti la kuongelea amani Ukraine akubali kuwa maeneo yaliyotekwa ni ya Russia kama hatokubali vita inaendelea.
Ukraine imegeuka kuwa kama SYRIA,kila aina ya silaha zinajaribiwa hapo.
Na kila leo Ukraine anapotelewa na rasilimali watu,tupo hapa.
Ukraine akikubali hilo sharti ni suala la muda tena hapo mbeleni Mrusi atarudi kutaka kipande kingine bora ampe tu nchi yote kama anataka amani ya kudumu otherwise apigane mpaka waishe.
 
Sema unachopinga kwa hoja usije na kauli za ręja reja as if hautumii akili.

Unatakiwa useme ni kipi nilichosema ambacho unakipinga na utoe sababu ndo na mimi niweze kukujibu.

Usiongee kama kwenye vijiwe vya kahawa.
Sawa amebanwa .... Haya wamerudisha eneo gani hao Ukraine!?? Waneshambulia wapi tangu waruhusiwe kushambulia ndani ya Urusi!!!
 
Sawa amebanwa .... Haya wamerudisha eneo gani hao Ukraine!?? Waneshambulia wapi tangu waruhusiwe kushambulia ndani ya Urusi!!!
Wamevamiwa mkuu wanapambana kurudisha maeneo yaliyovamiwa.

Kuhusu kushambulia ndani ya Urusi mbona wameshafanya hivyo tena wakaharibu fighter jet ya bei ghali ya mrusi?

Huwa unasoma habari na kuelewa?

Zaidi ya kiswahili, unafahamu lugha gani nyingine?

Habari unazosoma unakuwa umeshatafsiriwa?

Huwa una fuatilia vyanzo vya hizo habari unazotafsiriwa?

Huwa unajisumbua kuomba vyanzo vya habari au hata ku Google ili kujiridhisha?

Anzia hapo ndo uanze mjadala.
 
Kwani huo utawala siyo wa Taifa? Unaongea vitu gani mkuu?
Kweli we jamaa husomi kwa uelewa.
Nimesema sio rahisi kuvunja utawala wa mtu katika taifa lingine.
Sijasema kuvunja taifa.
Embu rudia kusoma kiumakini.
Wewe ulidai Russia kitu simple amng'atue Zelensky madarakani,ndio nikakupa hilo jibu.
 
Wamevamiwa mkuu wanapambana kurudisha maeneo yaliyovamiwa.

Kuhusu kushambulia ndani ya Urusi mbona wameshafanya hivyo tena wakaharibu fighter jet ya bei ghali ya mrusi?

Huwa unasoma habari na kuelewa?

Zaidi ya kiswahili, unafahamu lugha gani nyingine?

Habari unazosoma unakuwa umeshatafsiriwa?

Huwa una fuatilia vyanzo vya hizo habari unazotafsiriwa?

Huwa unajisumbua kuomba vyanzo vya habari au hata ku Google ili kujiridhisha?

Anzia hapo ndo uanze mjadala.
Ona huyu .... Eti lugha gani nyingine unaifahamu ....Lete vingereza vyako nikushangaze ...nyie ndio mnaodhani kujua kiingereza ndio kuwa na akili !!? Waukraine wamekuwa wakishambulia ndani ya Urusi tangu vita/SMO imeanza nimekuuliza amebanwa WAPI!?? unaanza kurukaruka kama kuku aliyepigwa manati..... Wewe Lete hapa ushahidi tangu wapewe hizo Silaha za masafa marefu wamepiga wapi!!! Wamekomboa nini!!!....
 
Ona huyu .... Eti lugha gani nyingine unaifahamu ....Lete vingereza vyako nikushangaze ...nyie ndio mnaodhani kujua kiingereza ndio kuwa na akili !!? Waukraine wamekuwa wakishambulia ndani ya Urusi tangu vita/SMO imeanza nimekuuliza amebanwa WAPI!?? unaanza kurukaruka kama kuku aliyepigwa manati..... Wewe Lete hapa ushahidi tangu wapewe hizo Silaha za masafa marefu wamepiga wapi!!! Wamekomboa nini!!!....
Duh!
 
jmushi1 kuna mambo umeeleza hapo juu, ningependa kusahihisha.

Dhumuni la hii SMO haikuwa kuondoa utawala wa Ukraine bali kudhoofisha jeshi hilo na kuuondoa unazi (wafuasi wa Bandera).

Mwanzoni kabisa Putin alitaka kumtisha Zelensky pale Kiev ili waende kufanya makubaliano. Ilikuwa Ukraine iwe neutral, kuachia uhuru Waukraine wanaoongea kirusi, uhuru wa kuishi kwa amani na kutojiunga NATO. Johnson akaenda Kiev kumwambia Zelensky aachane na hayo makubaliano.

Tukija kwenye sababu za vita kwenda pole pole, nitazitaja sababu kadhaa;

Wakati SMO inaanza uungwaji mkono kwa Putin haukuwa mkubwa sana, hivyo isingekuwa busara kuanzisha vita kamili wakati hana support hata ya 57%, huku uchaguzi ukiwa karibu (March 2024).

Hii vita ni ya kiuchumi zaidi, Nordstream 2 na saction vyote vinajieleza. Hivyo, utaratibu ni kupunguza maumivu kwa Urusi huku ikuongeza gharama ya vita kwa nchi za magharibi. Wanafanya hivi kwa kuifanya iwe vita ya "attrition", ambapo inabidi magharibi waendelee kutoa silaha, kiasi chumi zinazoofika na raia kuanza kuhoji. Imefikia mahala, vyama au viongozi wanaondolewa kwenye chaguzi (Uingereza, Ufaransa,Italia n.k)

Sababu nyingine ni kuidhoofisha dola. Kadri joto la vita linapozidi ndipo nchi za magharibi zinavyotumia njia zisizo za kawaida kuendesha vita (mfano, majuzi wameamua kuchukua pesa za Urusi zilizowekwa kwenye benki zao). Hii inafanya nchi nyingi duniani kuanza kuogopa kuendelea kuitumia dola, hivyo kuidhoofisha.
 
jmushi1 kuna mambo umeeleza hapo juu, ningependa kusahihisha.

Dhumuni la hii SMO haikuwa kuondoa utawala wa Ukraine bali kudhoofisha jeshi hilo na kuuondoa unazi (wafuasi wa Bandera).

Mwanzoni kabisa Putin alitaka kumtisha Zelensky pale Kiev ili waende kufanya makubaliano. Ilikuwa Ukraine iwe neutral, kuachia uhuru Waukraine wanaoongea kirusi uhuru wa kuishi kwa amani na kutojiunga NATO. Johnson akaenda Kiev kumwambia Zelensky aachane na hayo makubaliano.

Tukija kwenye sababu za vita kwenda pole pole, nitazitaja sababu kadhaa;

Wakati SMO inaanza uungwaji mkono kwa Putin haukuwa mkubwa sana, hivyo isingekuwa busara kuanzisha vita kamili wakati hana support hata ya 57%, huku uchaguzi ukiwa karibu (March 2024).

Hii vita ni ya kiuchumi zaidi, Nordstream 2 na saction vyote vinajieleza. Hivyo, utaratibu ni kupunguza maumivu kwa Urusi huku ikuongeza gharama ya vita kwa nchi za magharibi. Wanafanya hivi kwa kuifanya iwe vita ya "attrition", ambapo inabidi magharibi waendelee kutoa silaha, kiasi chumi zinazoofika na raia kuanza kuhoji. Imefikia mahala, vyama au viongozi wanaondolewa kwenye chaguzi (Uingereza, Ufaransa,Italia n.k)

Sababu nyingine ni kuidhoofisha dola. Kadri joto la vita linapozidi ndipo nchi za magharibi zinavyotumia njia zisizo za kawaida kuendesha vita (mfano, majuzi wameamua kuchukua pesa za Urusi zilizowekwa kwenye benki zao). Hii inafanya nchi nyingi duniani kuanza kuogopa kuendelea kuitumia dola, hivyo kuidhoofisha.
Kabla sijaenda mbele. Hapo kwenye “Dhumuni la hii SMO haikuwa kuondoa utawala wa Ukraine bali kudhoofisha jeshi hilo na kuuondoa unazi (wafuasi wa Bandera).”

Naomba nikupinge hapo kwasababu propaganda za Russia ni kwamba Zelenskyy mwenyewe ni mfuasi wa unazi. Hata mwazoni mwa vita alikoswa koswa kwa karibu kama mara mbili hivi.

Dhumuni lake kubwa ni kuweka serikali ambayo inapata maelekezo kutoka Kremlin/Moscow.

Serikali ambayo haina urafiki wala nia ya kujiunga na NATO.

Ukraine hawakubaliani na suala la Putin kutaka vita imalizike huku wakibakiwa na majimbo ambayo wamesha ya “anex” hata Crimea yenyewe ambayo Russia waliichukuwa miaka 10 iliyopita kipindi Obama yuko madarakani, bado Ukraine wanataka kuirudisha.

Kwa mantiki hiyo, watu wanadhani hii vita imeanza miaka miwili iliyopita. Ni ten years ago. The only thing new ni kwamba Russia alitaka apinduwe serikali mwanzoni pale kwa wiki kadhaa. Maana alisema kwamba haitachukuwa muda. Na kiukweli, milingoti ya magoli imeendelea ikihamishwa.

According to Wikipedia, Putin espoused irredentist views challenging Ukraine's right to exist, and falsely claimed that Ukraine was governed by neo-Nazis persecuting the Russian minority. He said his goal was to "demilitarise and denazify" Ukraine.
 
Ashukuriwe Poland na UK bila hawa Ukraine ingeshaondoka.

Sasa Putin anatapatapa tu
 
Kabla sijaenda mbele. Hapo kwenye “Dhumuni la hii SMO haikuwa kuondoa utawala wa Ukraine bali kudhoofisha jeshi hilo na kuuondoa unazi (wafuasi wa Bandera).”

Naomba nikupinge hapo kwasababu propaganda za Russia ni kwamba Zelenskyy mwenyewe ni mfuasi wa unazi. Hata mwazoni mwa vita alikoswa koswa kwa karibu kama mara mbili hivi.
Hiyo ku koswa koswa siifahamu ila wananaomzunguka Zelensky ni wanazi haswa.
Dhumuni lake kubwa ni kuweka serikali ambayo inapata maelekezo kutoka Kremlin/Moscow.

Serikali ambayo haina urafiki wala nia ya kujiunga na NATO.
Ukraine ilikuwa hivyo kipindi cha Serikali ya Yanukovych, alipochagua kuchukua mkopo wa Urusi (usio na masharti) na kukataa mkopo wa IMF ambao ulikuwa na sharti la kubadilisha sheria za umiliki ardhi ili kuruhusu wageni wamiliki, akapinduliwa na Maydan 2014.
Ukraine hawakubaliani na suala la Putin kutaka vita imalizike huku wakibakiwa na majimbo ambayo wamesha ya “anex” hata Crimea yenyewe ambayo Russia waliichukuwa miaka 10 iliyopita kipindi Obama yuko madarakani, bado Ukraine wanataka kuirudisha.
Historia ya Cremia, Donbas yote na mwambao wote mashariki mwa Dnieper river, mpaka Odessa, yote hiyo ni Novorassiya. Na Catherine the great ndiye aliyeijenga Odessa. Ndiyo maana maeneo hayo mpaka leo wanaongea kirusi. Aliyegawa Cremia kuwa Ukraine ni Khrushchev. Neo Nazi walikuwa wanapiga mabomu raia wa hayo maeneo kwa miaka 8, sasa ulitaka Urusi wafanyeje?
Kwa mantiki hiyo, watu wanadhani hii vita imeanza miaka miwili iliyopita. Ni ten years ago. The only thing new ni kwamba Russia alitaka apinduwe serikali mwanzoni pale kwa wiki kadhaa. Maana alisema kwamba haitachukuwa muda. Na kiukweli, milingoti ya magoli imeendelea ikihamishwa.


According to Wikipedia, Putin espoused irredentist views challenging Ukraine's right to exist, and falsely claimed that Ukraine was governed by neo-Nazis persecuting the Russian minority. He said his goal was to "demilitarise and denazify" Ukraine.
Hakuna ushahidi wowote Warusi walisema watamaliza vita kwa wiki kadhaa. Wao hawakutaka vita na Ukraine pia hawakuitaka, hata wanajeshi wao wanakiri hilo. Walikubali kukaa mezani na kuyamaliza, sharti likiwa ni kutojiunga NATO ila Johnson alipoenda Kiev mambo yakabadilika.
 
Marekani wajute kuwa na raisi mzee their foreign strategy imefeli totally kwa kuibeba Ukraine na Israel mwishowe wanaibua upinzani wa dhahiri na shahiri kabisa world order sasa inaenda kuwa challenged militarily the world is slowly going into dangerous zone with polarisations of super powers back to cold war era.
USA haijaanza Leo kuwa na rais mzee, pia USA kuwa na upinzanzani haijaanza Leo na hao wapinzani wake ndio anafaidika nao kiuchumi kwa kutengeneza siraha za kuwabonda.
 
Marekani labda kwenye chaguzi zijazo ndipo watakapoweza kupata marais imara kama Ronald Reagan au George Bush Jr ambao ndio watakuja kudhibiti wakuda kama hawa madikteta Putin na Kim Jon Un.
Ww imeloa urusi is war machine toka enzi hizo za Tsar toka miaka 350 iliyopita Super power wote waliopita na waliotokea dunia wamepigana Vita na urusi na wakatamani kuimaliza urusi LAKINI haikuisha hiyo Crimea yenyewe waturuki wameipigania miaka 25 lakini urusi bado ipo imara
 
Hiyo Russia ya dictator Putin ni joka la kibisa tu haina lolote kabisa, USSR ndio ilikuwa ngangari lakini sio hii ya kila saa kutishia nyuklia. Bure kabisa.
Imeloa hujui historia ya dunia ww unachojua ni kubisha na ushabiki maandazi
 
Habari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayari kumpa % kadhaa katika mshahara kama shukurani
 
Back
Top Bottom