Putin na Kim Jong UN wamekubaliana kusaidiana endapo mmojawapo atashambuliwa

Putin na Kim Jong UN wamekubaliana kusaidiana endapo mmojawapo atashambuliwa

Kwahiyo unchokishadadia hapa ni nini?
Kama unafurahia NATO kuipa Ukraine silaha hatari kwaajili ya kushambulia Urusi huoni hiyo itapelekea Urusi kuwapa maadui wa marekani silaha hatari kwaajili ya kushambulia wanachama wa NATO au mali za NATO?
Fikiria leo hii Urusi akiwapa hamas mabomu ya hypersonic, huoni wayahudi watahama pale mashariki ya kati huku yale machumachuma ya marekani pale mashariki ya kati yakiwa hatarini?

Tuendako ni kubaya sababu maadui wa marekani na washirika wake watapewa silaha za kuweza kupenya popote ndani ya wanachama wa NATO alafu uone dunia itakavyokuwa sehemu hatari kwa maisha ya mwanadamu sababu marekani na washirika wake wanawapa maadui wa Urusi na China silaha hatari kwaajili ya kuwashambulia.
Mkuu wapi nimefurahia? Mimi naelezea uhalisia na uchosema sipingani nacho.
 
Mkuu wapi nimefurahia? Mimi naelezea uhalisia na uchosema sipingani nacho.
Yani umeongea kanakwamba Urusi imebanwa pale Ukrine kumbe huenda warusi wanatafuta uhalali wa kuzorotesha mfumo mzima wa nchi za magharibi kama alivyosema Medvedev mwenyewe ambaye ni rais mtaafu wa Urusi.

Mabepari muda mrefu walijiandaa kutengeneza matatizo kwa maadui zao ila wakomunisti wakajiandaa kukabiliana na hayo matatizo kwa namna ambayo itarudisha madhara kwa watengeneza matatizo.
 
Urusi unailinganisha na Iraq au Libya? Marekani amawehu pigana vita na Taifa lipi kenye nguvu za Nuclear? au Taifa la Pili kwa nguvu za Kijeshi Duniani? acha kuongea uharo Broo
Hiyo Russia ya dictator Putin ni joka la kibisa tu haina lolote kabisa, USSR ndio ilikuwa ngangari lakini sio hii ya kila saa kutishia nyuklia. Bure kabisa.
 
Yani umeongea kanakwamba Urusi imebanwa pale Ukrine kumbe huenda warusi wanatafuta uhalali wa kuzorotesha mfumo mzima wa nchi za magharibi kama alivyosema Medvedev mwenyewe ambaye ni rais mtaafu wa Urusi.

Mabepari muda mrefu walijiandaa kutengeneza matatizo kwa maadui zao ila wakomunisti wakajiandaa kukabiliana na hayo matatizo kwa namna ambayo itarudisha madhara kwa watengeneza matatizo.
Mwisho wa siku, hakuna atakayekuwa mshindi bila vita.

Hakuna atakayekubali kushindwa bila vita.

Na kiasi kikubwa cha hivyo vita vyao ni vya proxies. Kwasababu wote wana nuclear

Shida imetokea baada ya Ukraine kuruhusiwa kushambulia targets ndani ya Russia.
 
Mkuu sema palę Ukrainę mrusi kabanwa ndo maana anachukuwa hatua ambazo ni hatari kabisa kwa mustakabali wa amani ya dunia.

Pale wanatumia kama uwanja wa kupima silaha zao mpya nk. Hadi sasa hivi Putin kapewa silaha nyingi tu na Kim Jon Un. Na China wanampa mrusi msaada wa kiuchumi.

Ukiona hizo movements za Putin ni kujiweka kwenye nafasi nzuri endapo watakuja ku negotiate. Lakini kwenye uwanja wa vita wameshindwa kuwadhibiti Ukraine, na hizi purukushani zake ni kwasababu Ukrainę amesharuhusiwa kushambulia target ndani ya Russia kwa kutumia silaha alizopewa na marekani.

That was the game changer. So let’s see what unfolding…

Definitely something bigger is slowly but surely cooking.
Fafanua zaidi umejuaje Urusi kabanwa?
Unajua status ya front line?
Je urusi kaachia mikoa aliyoichukua?
Ni lini umesikia Urusi wakilalamika kuishiwa silaha?
Au kusikia mabomu mawili kudondokea kwenye ardhi ya Urusi ndo unasema urusi kabanwa
Aliyebanwa ni yule aliyeshindwa kukomboa maeneo yake..
 
Mwisho wa siku, hakuna atakayekuwa mshindi bila vita.

Hakuna atakayekubali kushindwa bila vita.

Na kiasi kikubwa cha hivyo vita vyao ni vya proxies. Kwasababu wote wana nuclear

Shida imetokea baada ya Ukraine kuruhusiwa kushambulia targets ndani ya Russia.
Hii imeshakua solved,Putin amesema nao watatoa silaha kwa makundi/washirika wao ambao Ni Maadui wa nchi za Nato,silaha zenye kuweza kupiga mpk ndani ya nchi za NATO.Na amesema silaha hizo zitatolewa bila kujalisha majina ambayo washirika wao wamepewa na nchi nyingine/UN(Nadhani alimaanisha kama vile hayo makundi kuitwa makundi ya kigaidi/waislam wenye misimamo mikali etc).Yani hapo anatoa kitu kwa mfano Hypersonic kwa Hezbollah,Wahouth afu kinatua pale London.What a Joy
 
Fafanua zaidi umejuaje Urusi kabanwa?
Unajua status ya front line?
Je urusi kaachia mikoa aliyoichukua?
Ni lini umesikia Urusi wakilalamika kuishiwa silaha?
Au kusikia mabomu mawili kudondokea kwenye ardhi ya Urusi ndo unasema urusi kabanwa
Aliyebanwa ni yule aliyeshindwa kukomboa maeneo yake..
Tokea Ukraine waruhusiwe kushambulia targets ndani ya Russia ndipo tatizo lilipoanzia.

Mabomu yameshadondokea ndani ya Urusi na siyo mara moja.
 
Hii imeshakua solved,Putin amesema nao watatoa silaha kwa makundi/washirika wao ambao Ni Maadui wa nchi za Nato,silaha zenye kuweza kupiga mpk ndani ya nchi za NATO.Na amesema silaha hizo zitatolewa bila kujalisha majina ambayo washirika wao wamepewa na nchi nyingine/UN(Nadhani alimaanisha kama vile hayo makundi kuitwa makundi ya kigaidi/waislam wenye misimamo mikali etc).Yani hapo anatoa kitu kwa mfano Hypersonic kwa Hezbollah,Wahouth afu kinatua pale London.What a Joy
Upo sahihi. Putin amechukia sana suala la silaha za marekani kutumika kushambulia ndani ya ardhi ya Russia.
 
Kwa sasa madikteta yanatamba sana mpaka pale dunia itakapopata rais shupavu kama George Bush jr ,Ronald Reagan babu Biden amechoka sana trump mwehu tu
Hao wote wangeweza wakaifanya Nini,Russia au Korea kaskazini?

Hao Ni mabingwa wa kupiga nchi za kidhaifu za kiarabu Kama Iraq tu
 
Mwisho wa siku, hakuna atakayekuwa mshindi bila vita.

Hakuna atakayekubali kushindwa bila vita.

Na kiasi kikubwa cha hivyo vita vyao ni vya proxies. Kwasababu wote wana nuclear

Shida imetokea baada ya Ukraine kuruhusiwa kushambulia targets ndani ya Russia.
Kwa vipimo halisi vya uwanja wa majaribio, imeonekana Urusi anaweza kukabiliana na silaha za NATO lakini nato hawawezi kukabiliana na silaha za Urusi.

NATO wamelijua hili ndio maana hawaingii mkenge kujipeleka mbiombio kushambulia kama ilivyo kawaida yao.
Mwisho watatafuta namna kumuita Putin meza ya majadiliano.
Wamemuita dictator, gaidi, mhalifu na majina mengine ambayo wao wakishakuita hayo majina hawana tena sababu ya kusubiri ila kukusanyana na kuja kukushambulia.

Kwa Urusi watanyoosha mikono juu sababu kule wanakotaka kupita Urusi nae anataka kupita humohumo.
 
Tokea Ukraine waruhusiwe kushambulia targets ndani ya Russia ndipo tatizo lilipoanzia.

Mabomu yameshadondokea ndani ya Urusi na siyo mara moja.
Bado haujanijibu Urusi kabanwa vip
Mabomu kupiga sehemu mbalimbali hiyo ni sehemu ya vita lazima iwe hivyo
Nataka kujua ni wapi Urusi imetetereka kwenye dhumuni la vita vyake coz till now bado hiyo mikoa 4 ipo chini yake
 
Mambo ya ugomvi ugomvi wa Marekani wameipandisha daraja Korea Kaskazini tunayoambiwa ni nchi ya njaa mpaka wamekuwa washirika wa taifa kubwa kama Urusi.
Houth nao na Hizbullah wanapanda mpaka wataheshimiwa na majirani zao wote.
Marekani wajute kuwa na raisi mzee their foreign strategy imefeli totally kwa kuibeba Ukraine na Israel mwishowe wanaibua upinzani wa dhahiri na shahiri kabisa world order sasa inaenda kuwa challenged militarily the world is slowly going into dangerous zone with polarisations of super powers back to cold war era.
 
Hii imeshakua solved,Putin amesema nao watatoa silaha kwa makundi/washirika wao ambao Ni Maadui wa nchi za Nato,silaha zenye kuweza kupiga mpk ndani ya nchi za NATO.Na amesema silaha hizo zitatolewa bila kujalisha majina ambayo washirika wao wamepewa na nchi nyingine/UN(Nadhani alimaanisha kama vile hayo makundi kuitwa makundi ya kigaidi/waislam wenye misimamo mikali etc).Yani hapo anatoa kitu kwa mfano Hypersonic kwa Hezbollah,Wahouth afu kinatua pale London.What a Joy
Huyo dikteta Putin anachuma janga na atalila na wakwao. Let us wait and see.
 
Mkuu hapo kwny What a joy umenifurahisha sana....yaani unaburudika kwa mipango ya dingi Putin na mzee wa suruali za mabwanga Jong Un
Hii imeshakua solved,Putin amesema nao watatoa silaha kwa makundi/washirika wao ambao Ni Maadui wa nchi za Nato,silaha zenye kuweza kupiga mpk ndani ya nchi za NATO.Na amesema silaha hizo zitatolewa bila kujalisha majina ambayo washirika wao wamepewa na nchi nyingine/UN(Nadhani alimaanisha kama vile hayo makundi kuitwa makundi ya kigaidi/waislam wenye misimamo mikali etc).Yani hapo anatoa kitu kwa mfano Hypersonic kwa Hezbollah,Wahouth afu kinatua pale London.What a Joy
Kwny
 
Back
Top Bottom