Anhaaa shekhe wanasemaje huko msikitiniHakuna uzito wowote kifikra, Jana tu Mesenaries 60 wa kitaransa wamekufa kwa shambulio moja . Je hiyo sio mojawapo ya onyo la awali kuwa yeyote asiingilie?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anhaaa shekhe wanasemaje huko msikitiniHakuna uzito wowote kifikra, Jana tu Mesenaries 60 wa kitaransa wamekufa kwa shambulio moja . Je hiyo sio mojawapo ya onyo la awali kuwa yeyote asiingilie?
Ujinga ni mzigo sana. Tena sana .....Ijulikane kuwa, vitisho vya Putin kwa nchi zote wakati akiivamia Ukraine, ilikuwa, na ole wa nchi yoyote itakayotia nia kutaka kuisaidia Ukraine iwe kwa fedha, silaha na ama kivyovyote, itachezea moto mkali na itajuta nchi hiyo
Kadri siku zilivyokuwa zikiendelea, kauli ya Putin ilikuwa ikizidi kukikwa kila uchwao na nchi mbalimbali hasa za Ulaya na Marekani
Ilifika wakati, nchi zikawa zinapeleka silaha pepupe pe bila uficho na hakuna alichofanya huyu mwamba wa kuongea
USA ikafikia hatua anatangaza kabisa na kiwango cha fedha zikazotumika kuifadhili Ukraine na bado hakufanya kitu
Tukafikili labda wanasubirishia kwenye kona ili kidhihirisha kauli yake
Marafiki wa Urus huko Mashariki ya kati wanataabishwa na hafanyi chochote kujaribu kuwatetea
Yemeni inatandikwa na hao asiowapenda, hapa ilipaswa sasa Putin aoneshe umwamba wake kwa kuwalinda na kuwatetea ili kweli dunia iseme, yeye ndiye super power!
Marekani anawaandika Houth na pia anawatandika Wapalestine kwa mgongo wa Israel na bado anagawa mabilioni ya dollar huko Ukraine ili mrusi achezee za uso, halafu yeye putini kabaki kuongea tu bila kufadhili hata taifa moja linalonyanyaswa
Hapa kila mwenye akili lazima aseme, USA ni dude kuuubwa sana bado na linaogopeka kwa kila vitaifa
Mbali na kuongea saana, bado Ukraine kataifa kadoogo bado kanaendelea kumpa taabu sana
Wakati NATO wanaanza kutoa msaada Ukraine walisema wametenga bajeti ya miaka 5 kwa Ukraine ili kujilinda dhidi ya Ukraine, wote humu ndani tuliwaona NATO vichaa kwa kutizama ukubwa wa Urusi dhidi ya Ukraine.Ukraine ilishashindwa kivita mda mrefu,kwa sasa Nato na marekani ndio inayopambana na urusi.
Vikao vya vikoba mbona kimya .... Vikwazo vyenu mbona mmevikiuka wenyewe mnanunua mafuta na gesi kutoka Kwa yuleyule .....Wakati NATO wanaanza kutoa msaada Ukraine walisema wametenga bajeti ya miaka 5 kwa Ukraine ili kujilinda dhidi ya Ukraine, wote humu ndani tuliwaona NATO vichaa kwa kutizama ukubwa wa Urusi dhidi ya Ukraine.
Kwa sasa tunathibitisha kuwa jamaa wana akili nyingi saana, Russia ameshikishwa mfupa ili jamaa waendelee na missions zao hapo mashariki na kati.
Nini NATO wanachokifanya hapo Ukraine zaidi ya kuchapika?Wakati NATO wanaanza kutoa msaada Ukraine walisema wametenga bajeti ya miaka 5 kwa Ukraine ili kujilinda dhidi ya Ukraine, wote humu ndani tuliwaona NATO vichaa kwa kutizama ukubwa wa Urusi dhidi ya Ukraine.
Kwa sasa tunathibitisha kuwa jamaa wana akili nyingi saana, Russia ameshikishwa mfupa ili jamaa waendelee na missions zao hapo mashariki na kati.
Uwezi kuja kuona icho kitu Russia kuiangisha USA. Russia yenye kuzidiwa kiuchumia na CalfoniaUnatamani sana kuona USA akichapwa na Russia ila ndo hivo mkuu
Yaani umepitia yote hayo halafu ukaona hicho ndo ukosoe?
Alisikika mwanamgambo wa Ukraine toka Kilwa masokoMarekani sio mchezo,itaendelea kuwa kiranja wa dunia kwa miaka mingi sana ijayo.
Ni kweli lakini houth tu hapo anatafuta washirikaMarekani sio mchezo,itaendelea kuwa kiranja wa dunia kwa miaka mingi sana ijayo.