Putin ni shahidi, Mtume na Nabii wa Zama zetu. Namuunga Mkono

Putin ni shahidi, Mtume na Nabii wa Zama zetu. Namuunga Mkono

PUTIN NI SHAHIDI, MTUME NA NABII WA ZAMA ZETU. NAMUUNGA MKONO.

Na, Robert Heriel
Shahidi.

Tunaojua Dunia ilipotoka, ilipo na wapi inaenda, tutabaki kuwa Wafuasi watiifu wa falsafa za Ki-putin.

Putin ni mtakatifu, Shahidi na shujaa ambaye anaitumia nafasi na Cheo chake vizuri kutekeleza utume alioagizwa na Mungu wetu Mkuu.

Tunajua wengi wasiompenda ni Wale waliodanganywa na hila za Yule adui, hata hivyo Sisi hatuna chuki nao Kama wao walivyo na chuki nasi.

Sisi tupo kwaajili ya kuilinda dunia wao wapo kwaajili ya kuiharibu.
Tunajua Adui yetu Kama ilivyo asili yake ya uongo hutumia mbinu ya kuwapa watu Uhuru ambao tayari walikuwa nao huo Uhuru wenyewe lakini yeye akaupoka na kuwapa Uhuru bandia. Wakajiharibu Kwa mambo yenye aibu, Fedheha, na dhulma.

Sisi hatutakubali kivyovyote huyu adui awe sehemu yetu. Kama alivyoshindwa ndivyo tutakavyomshinda.
Vita hii ilianzia Rohoni na itaishia rohoni.

Falsafa zetu ni Kama ifuatavyo;

1. Tunaheshimu Asili na sheria zake.
2. Hatutaki kuingilia watu wengine na wala Sisi hatutaki mtu yeyote kutuingilia.
Tunaheshimu mipaka ya kiutamaduni, kimila, kidesturi, Kidini, lugha, miiko, mavazi, mipaka n.k.

3. Tunaamini kila jamii ni Bora Kwa nafasi yake. Na wala hakuna jamii Bora kuliko jamii nyingine.

4. Hatutaki unyonyaji, ukoloni wala Aina yoyote ya ubepari.

5. Tunaongozwa na mfumo Dume Kwa maana anayeongoza dunia ni Mungu Baba mwenye Mfumo dume.

6. Tupo tayari kupigana kufa kupona ili kulinda sheria na mipaka yetu.
7. Kamwe hatutaweza kujisalamisha Kwa mashetani. Ni akheri dunia itoweke lakini Sisi hatutokubali.

8. Tunafahamu Shetani ameungana na adui zetu wa Magharibi kupenyeza agenda zake za uongo Kwa kisingizio cha Uhuru na demokrasia. Ili kuvuruga asili ya heshima na utu wa binadamu.

10. Sisi ni matajiri halisi Kwa maana hatumdhulumu yeyote, Ila adui zetu ni masikini wakutupa na huo wanaouita Utajiri ni Utajiri bandia kwani ni wadhuluma na unyonyaji Kwa mataifa mengine.

Kundi lililonyuma ya Putin ni kubwa ingawaje wengi wao wanashindwa kuonyesha hisia na upande wao kutokana na kumhofia adui yetu aliyeungana na Shetani hivyo Hana huruma.

Putin hata afe Leo lakini ameonyesha utakatifu mkubwa na ushujaa katika ulimwengu huu.

Putin ni Shahidi, shujaa, Mtakatifu wa Zama zetu ambaye tunamshukuru MUNGU Kwa kumleta nyakati hizi tukiwa hai.

Tunapenda demokrasia lakini sio Ile demokrasia ya kishetani. Tunataka demokrasia ya Mungu Mkuu na tupo tayari kuipigania.

Tunataka demokrasia inayoonyesha ramani ya mpaka baina ya Mwanaume na mwanamke.

Hatutaki demokrasia ya kutaka wanaume wawe Kama wanawake, au wanawake wawe Kama wanaume.
Hilo tutapigana nalo kufa kupona Kwa nyakati nyakati pasipo kuchoka.

Tunataka demokrasia itakayolinda Rasilimali za dunia na kuwafanya walimwengu na viumbe kila mmoja ale Kwa urefu wa kamba yake, kadiri ya akili zake, elimu yake, jinsia yake, uwezo na kazi azifanyazo. Na sio demokrasia ya kunyonya wengine na kuwazuia wanyonge wasipate hata kile kidogo kilicho halali yao.

Tunataka demokrasia ya usiku ubaki kuwa usiku na mchana ubaki kuwa mchana. Hakuna haki sawa baina ya Magharibi na mashariki, usiku na Mchana.

Adui yupo kuvuruga hayo, na vibaraka wake wanashabikia Kama nzi wafuatao Mavi yanukayo.

Putin ndiye Nabii na mtume wa Karne ya ishirini na moja wa Zama zetu. Yeye ndiye anaweza kutuambia nini chakufanya.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Brother Robert Putin sio nabii ni muuaji tu kama walivo wauwaji wengine
 
Professorial Rubbish
PUTIN NI SHAHIDI, MTUME NA NABII WA ZAMA ZETU. NAMUUNGA MKONO.

Na, Robert Heriel
Shahidi.

Tunaojua Dunia ilipotoka, ilipo na wapi inaenda, tutabaki kuwa Wafuasi watiifu wa falsafa za Ki-putin.

Putin ni mtakatifu, Shahidi na shujaa ambaye anaitumia nafasi na Cheo chake vizuri kutekeleza utume alioagizwa na Mungu wetu Mkuu.

Tunajua wengi wasiompenda ni Wale waliodanganywa na hila za Yule adui, hata hivyo Sisi hatuna chuki nao Kama wao walivyo na chuki nasi.

Sisi tupo kwaajili ya kuilinda dunia wao wapo kwaajili ya kuiharibu.
Tunajua Adui yetu Kama ilivyo asili yake ya uongo hutumia mbinu ya kuwapa watu Uhuru ambao tayari walikuwa nao huo Uhuru wenyewe lakini yeye akaupoka na kuwapa Uhuru bandia. Wakajiharibu Kwa mambo yenye aibu, Fedheha, na dhulma.

Sisi hatutakubali kivyovyote huyu adui awe sehemu yetu. Kama alivyoshindwa ndivyo tutakavyomshinda.
Vita hii ilianzia Rohoni na itaishia rohoni.

Falsafa zetu ni Kama ifuatavyo;

1. Tunaheshimu Asili na sheria zake.
2. Hatutaki kuingilia watu wengine na wala Sisi hatutaki mtu yeyote kutuingilia.
Tunaheshimu mipaka ya kiutamaduni, kimila, kidesturi, Kidini, lugha, miiko, mavazi, mipaka n.k.

3. Tunaamini kila jamii ni Bora Kwa nafasi yake. Na wala hakuna jamii Bora kuliko jamii nyingine.

4. Hatutaki unyonyaji, ukoloni wala Aina yoyote ya ubepari.

5. Tunaongozwa na mfumo Dume Kwa maana anayeongoza dunia ni Mungu Baba mwenye Mfumo dume.

6. Tupo tayari kupigana kufa kupona ili kulinda sheria na mipaka yetu.
7. Kamwe hatutaweza kujisalamisha Kwa mashetani. Ni akheri dunia itoweke lakini Sisi hatutokubali.

8. Tunafahamu Shetani ameungana na adui zetu wa Magharibi kupenyeza agenda zake za uongo Kwa kisingizio cha Uhuru na demokrasia. Ili kuvuruga asili ya heshima na utu wa binadamu.

10. Sisi ni matajiri halisi Kwa maana hatumdhulumu yeyote, Ila adui zetu ni masikini wakutupa na huo wanaouita Utajiri ni Utajiri bandia kwani ni wadhuluma na unyonyaji Kwa mataifa mengine.

Kundi lililonyuma ya Putin ni kubwa ingawaje wengi wao wanashindwa kuonyesha hisia na upande wao kutokana na kumhofia adui yetu aliyeungana na Shetani hivyo Hana huruma.

Putin hata afe Leo lakini ameonyesha utakatifu mkubwa na ushujaa katika ulimwengu huu.

Putin ni Shahidi, shujaa, Mtakatifu wa Zama zetu ambaye tunamshukuru MUNGU Kwa kumleta nyakati hizi tukiwa hai.

Tunapenda demokrasia lakini sio Ile demokrasia ya kishetani. Tunataka demokrasia ya Mungu Mkuu na tupo tayari kuipigania.

Tunataka demokrasia inayoonyesha ramani ya mpaka baina ya Mwanaume na mwanamke.

Hatutaki demokrasia ya kutaka wanaume wawe Kama wanawake, au wanawake wawe Kama wanaume.
Hilo tutapigana nalo kufa kupona Kwa nyakati nyakati pasipo kuchoka.

Tunataka demokrasia itakayolinda Rasilimali za dunia na kuwafanya walimwengu na viumbe kila mmoja ale Kwa urefu wa kamba yake, kadiri ya akili zake, elimu yake, jinsia yake, uwezo na kazi azifanyazo. Na sio demokrasia ya kunyonya wengine na kuwazuia wanyonge wasipate hata kile kidogo kilicho halali yao.

Tunataka demokrasia ya usiku ubaki kuwa usiku na mchana ubaki kuwa mchana. Hakuna haki sawa baina ya Magharibi na mashariki, usiku na Mchana.

Adui yupo kuvuruga hayo, na vibaraka wake wanashabikia Kama nzi wafuatao Mavi yanukayo.

Putin ndiye Nabii na mtume wa Karne ya ishirini na moja wa Zama zetu. Yeye ndiye anaweza kutuambia nini chakufanya.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
PUTIN NI SHAHIDI, MTUME NA NABII WA ZAMA ZETU. NAMUUNGA MKONO.

Na, Robert Heriel
Shahidi.

Tunaojua Dunia ilipotoka, ilipo na wapi inaenda, tutabaki kuwa Wafuasi watiifu wa falsafa za Ki-putin.

Putin ni mtakatifu, Shahidi na shujaa ambaye anaitumia nafasi na Cheo chake vizuri kutekeleza utume alioagizwa na Mungu wetu Mkuu.

Tunajua wengi wasiompenda ni Wale waliodanganywa na hila za Yule adui, hata hivyo Sisi hatuna chuki nao Kama wao walivyo na chuki nasi.

Sisi tupo kwaajili ya kuilinda dunia wao wapo kwaajili ya kuiharibu.
Tunajua Adui yetu Kama ilivyo asili yake ya uongo hutumia mbinu ya kuwapa watu Uhuru ambao tayari walikuwa nao huo Uhuru wenyewe lakini yeye akaupoka na kuwapa Uhuru bandia. Wakajiharibu Kwa mambo yenye aibu, Fedheha, na dhulma.

Sisi hatutakubali kivyovyote huyu adui awe sehemu yetu. Kama alivyoshindwa ndivyo tutakavyomshinda.
Vita hii ilianzia Rohoni na itaishia rohoni.

Falsafa zetu ni Kama ifuatavyo;

1. Tunaheshimu Asili na sheria zake.
2. Hatutaki kuingilia watu wengine na wala Sisi hatutaki mtu yeyote kutuingilia.
Tunaheshimu mipaka ya kiutamaduni, kimila, kidesturi, Kidini, lugha, miiko, mavazi, mipaka n.k.

3. Tunaamini kila jamii ni Bora Kwa nafasi yake. Na wala hakuna jamii Bora kuliko jamii nyingine.

4. Hatutaki unyonyaji, ukoloni wala Aina yoyote ya ubepari.

5. Tunaongozwa na mfumo Dume Kwa maana anayeongoza dunia ni Mungu Baba mwenye Mfumo dume.

6. Tupo tayari kupigana kufa kupona ili kulinda sheria na mipaka yetu.
7. Kamwe hatutaweza kujisalamisha Kwa mashetani. Ni akheri dunia itoweke lakini Sisi hatutokubali.

8. Tunafahamu Shetani ameungana na adui zetu wa Magharibi kupenyeza agenda zake za uongo Kwa kisingizio cha Uhuru na demokrasia. Ili kuvuruga asili ya heshima na utu wa binadamu.

10. Sisi ni matajiri halisi Kwa maana hatumdhulumu yeyote, Ila adui zetu ni masikini wakutupa na huo wanaouita Utajiri ni Utajiri bandia kwani ni wadhuluma na unyonyaji Kwa mataifa mengine.

Kundi lililonyuma ya Putin ni kubwa ingawaje wengi wao wanashindwa kuonyesha hisia na upande wao kutokana na kumhofia adui yetu aliyeungana na Shetani hivyo Hana huruma.

Putin hata afe Leo lakini ameonyesha utakatifu mkubwa na ushujaa katika ulimwengu huu.

Putin ni Shahidi, shujaa, Mtakatifu wa Zama zetu ambaye tunamshukuru MUNGU Kwa kumleta nyakati hizi tukiwa hai.

Tunapenda demokrasia lakini sio Ile demokrasia ya kishetani. Tunataka demokrasia ya Mungu Mkuu na tupo tayari kuipigania.

Tunataka demokrasia inayoonyesha ramani ya mpaka baina ya Mwanaume na mwanamke.

Hatutaki demokrasia ya kutaka wanaume wawe Kama wanawake, au wanawake wawe Kama wanaume.
Hilo tutapigana nalo kufa kupona Kwa nyakati nyakati pasipo kuchoka.

Tunataka demokrasia itakayolinda Rasilimali za dunia na kuwafanya walimwengu na viumbe kila mmoja ale Kwa urefu wa kamba yake, kadiri ya akili zake, elimu yake, jinsia yake, uwezo na kazi azifanyazo. Na sio demokrasia ya kunyonya wengine na kuwazuia wanyonge wasipate hata kile kidogo kilicho halali yao.

Tunataka demokrasia ya usiku ubaki kuwa usiku na mchana ubaki kuwa mchana. Hakuna haki sawa baina ya Magharibi na mashariki, usiku na Mchana.

Adui yupo kuvuruga hayo, na vibaraka wake wanashabikia Kama nzi wafuatao Mavi yanukayo.

Putin ndiye Nabii na mtume wa Karne ya ishirini na moja wa Zama zetu. Yeye ndiye anaweza kutuambia nini chakufanya.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Ulivyoanza na kauli hii "Tunaojua Dunia ilipotoka, ilipo na wapi inaenda" . Hii ni kauli iliyojaa ujuaji,mamlaka,maamuzi, sifa,majivuno n.k.

Ukweli huu hapa: HUIJUI na HUTAIJUA DUNIA ILIPOTOKA,ILIPO,NA WAPI INAENDA(MIMI NIKIWEMO)!!!!!!!!!!!!

Nb 1: Dunia inaendeshwa kwa usiri mkubwa mno.

Nb 2: Dunia inaendeshwa na kikundi kidogo mno cha watu (Mimi na wewe hatumo na hatutaweza kuwemo)

Nb 3: Wenye dunia yao wanaamua nini kitoke na kipi kisitoke na kwa wakati gani.Hicho unachokifahamu ndicho walichotaka ukifahamu!!!!!!!!!!

Nb 4: Wenye dunia yao wanajua yajayo (mimi na wewe) hatuyajui na hatutayajua!!!!!!!!!!!Mfano mdogo: Wewe unaweza kufahamu mtu atakayekuja kuwa Raisi wa Tanzania mara baada ya Samia????????? Wenye Tanzania yao wanamfahamu.

Nb 5: Vita vyote duniani chanzo chake kikuu ni RASILIMALI na siyo DINI wala IMANI!!!!!!!!!!! Fuatilia Mashariki mwa Ukraine KUMEGUNDULIWA NINI HIVI KARIBUNI kabla ya hii vita (operesheni ???)!!!!!!!!!!!!!

Nb 6: Uchumi wa dunia hutegemea NISHATI kwa asilimia kubwa kama siyo zote!!!!!!!!!!!!
 
Ulivyoanza na kauli hii "Tunaojua Dunia ilipotoka, ilipo na wapi inaenda" . Hii ni kauli iliyojaa ujuaji,mamlaka,maamuzi, sifa,majivuno n.k.

Ukweli huu hapa: HUIJUI na HUTAIJUA DUNIA ILIPOTOKA,ILIPO,NA WAPI INAENDA(MIMI NIKIWEMO)!!!!!!!!!!!!

Nb 1: Dunia inaendeshwa kwa usiri mkubwa mno.

Nb 2: Dunia inaendeshwa na kikundi kidogo mno cha watu (Mimi na wewe hatumo na hatutaweza kuwemo)

Nb 3: Wenye dunia yao wanaamua nini kitoke na kipi kisitoke na kwa wakati gani.Hicho unachokifahamu ndicho walichotaka ukifahamu!!!!!!!!!!

Nb 4: Wenye dunia yao wanajua yajayo (mimi na wewe) hatuyajui na hatutayajua!!!!!!!!!!!Mfano mdogo: Wewe unaweza kufahamu mtu atakayekuja kuwa Raisi wa Tanzania mara baada ya Samia????????? Wenye Tanzania yao wanamfahamu.

Nb 5: Vita vyote duniani chanzo chake kikuu ni RASILIMALI na siyo DINI wala IMANI!!!!!!!!!!! Fuatilia Mashariki mwa Ukraine KUMEGUNDULIWA NINI HIVI KARIBUNI kabla ya hii vita (operesheni ???)!!!!!!!!!!!!!

Nb 6: Uchumi wa dunia hutegemea NISHATI kwa asilimia kubwa kama siyo zote!!!!!!!!!!!!

Chanzo kikuu cha vita ni Ukosefu wa Upendo.
Kuhusu kugombea Rasilimali na maslahi yote hubebwa na ubinafsi na ulafi wa baadhi ya watu/viumbe.

Hakuna mwanadamu au kikundi cha watu anayeiongoza hii Dunia.
Mwanadamu aliumbwa ili aitawale hii dunia lakini mpaka sasa hajafanikiwa hata nusu ya misheni yake kuitawala hii Dunia. Hivyo kusema kipo kikundi kinaiongoza hii Dunia Hilo bado nitakataa.
 
Brother Robert Putin sio nabii ni muuaji tu kama walivo wauwaji wengine

Anaua kina Nani?
Kuua mashetani sio Dhambi.

Hao Magharibi ndio mashetani ni vile watu hujifanya wema kuwapumbaza watu waliowengi.
Historia inaonyesha hivyo na hata sasa tumezaliwa tumeshuhudia Kwa macho yetu hao Magharibi wanavyofanya mambo Yao.

Ilipaswa wawepo Putin Kama watano dunia nzima ili kuwadhibiti hao wahuni.
 
Hakuna cha Nabii wala Mtume hapo huu uzi ni takataka..

Tatizo mkiambiwa mtu Fulani ni Nabii mnafikiri nabii sio binadamu.
Manabii wote waliokuja Duniani walikuwa na madhaifu Yao mengi tuu kuliko huyo Putin.
Hata ukinitajia Nabii unayemuamini zaidi ninaweza kukuorodheshea madhaifu yake Kama mwanadamu WA kawaida tuu.

Putin mpaka ujue ni nabii ni mpaka umuangalie Kwa jicho la kinabii
 
Waafrika bana tunajifanyaga kujua meeengii. Tufanyeni kazi kwa bidii ili tuwe na uwezo wa milo mitatu kwa siku ili tufurahie ngono na umbea vitu tunavyopenda kuliko chochote tukisubiria kufa.

Sasa Kaka makengeza/maghayo unafikiri ni Jambo gani Waafrika tunalimudu?😀
 
Tatizo mkiambiwa mtu Fulani ni Nabii mnafikiri nabii sio binadamu.
Manabii wote waliokuja Duniani walikuwa na madhaifu Yao mengi tuu kuliko huyo Putin.
Hata ukinitajia Nabii unayemuamini zaidi ninaweza kukuorodheshea madhaifu yake Kama mwanadamu WA kawaida tuu.

Putin mpaka ujue ni nabii ni mpaka umuangalie Kwa jicho la kinabii
Mimi sijazungumizia makosa na sipingi kuwa Manabii wa ukweli kukosa mapungufu bali ili mtu aitwe Nabii au Mtume lazima kuna sifa maalumu na huwezi kumpata Nabii au Mtume katika karne hii kwani ulishafungwa na Mwenyezi Mungu miaka Mingi iliyopita na ni makosa kuwaita majina hayo wakina ,Kakobe ,Suguye ,Mwamposa ,Putin nk kwani hawapokei ufunuo wowote wa kinabii kutoka kwa Mungu na ukiwauliza wapi Mungu kakuita Nabii na kasema amekutuma uwe Nabii hana ushahidi na majibu.
 
Urusi nchi ya kikomunisti ina uungu gani?, Kwa nini huwezi tenga dini na siasa?

Unafikiri Warusi hawana Dini?

Huwezi tenga Dini na Siasa Kwa sababu Siasa zinaanzia katika falme za rohoni.
Na kinachoelezea mambo yoyote ya rohoni ni Dini.
Huwezi kuwa Mtawala pasipo kuwa mtu wa dini Fulani, hiyo haiwezekaniki Dunia ingalipo.
Mamlaka inatoka katika falme za kiroho.
Ukishasema Utawala jua ushazungumzia miungu.

Mwanadamu mamlaka zake chanzo ni miungu.
Mambo yote mazito hapa Duniani yanayomtofautisha Mwanadamu na mnyama jua chanzo chake ni miungu.
Hata Teknolojia.
 
Mimi sijazungumizia makosa na sipingi kuwa Manabii wa ukweli kukosa mapungufu bali ili mtu aitwe Nabii au Mtume lazima kuna sifa maalumu na huwezi kumpata Nabii au Mtume katika karne hii kwani ulishafungwa na Mwenyezi Mungu miaka Mingi iliyopita na ni makosa kuwaita majina hayo wakina ,Kakobe ,Suguye ,Mwamposa ,Putin nk kwani hawapokei ufunuo wowote wa kinabii kutoka kwa Mungu na ukiwauliza wapi Mungu kakuita Nabii na kasema amekutuma uwe Nabii hana ushahidi na majibu.

Unachosema ni kweli.
Na Putin hajawahi jiita Nabii, Mtume au Shahidi lakini Sisi ndio tumeshamuona anavigezo hivyo.
Tambua kuwa mtu anaweza kuwa Nabii au Mtume na asijijue hivyo ni ngumu kujiita yeye ni Nabii au Mtume.

Hata Mtume Muhammad SWA hakujijua yeye ni Nabii na Mtume mpaka Mkewe Bi. Khadija alivyoambiwa na Padri Walagah.
 
Wewe umechanganyikiwa au ubongo wako umedumaa.
Anaua kina Nani?
Kuua mashetani sio Dhambi.

Hao Magharibi ndio mashetani ni vile watu hujifanya wema kuwapumbaza watu waliowengi.
Historia inaonyesha hivyo na hata sasa tumezaliwa tumeshuhudia Kwa macho yetu hao Magharibi wanavyofanya mambo Yao.

Ilipaswa wawepo Putin Kama watano dunia nzima ili kuwadhibiti hao wahuni.
 
Umechanganya sana mambo..

Umehusisha dini, imani kwa Mungu mkuu, kuna wanaotumiwa na shetani nk nk.
Kiufupi tu, huu ni mgogoro wa kimaslahi, Purely interests. Putin anapigana kuzuia wamagharibi wasinufaike na Ukraine ili anufaike yeye.

Hayo mambo ya sijui ya wanawake kuwa wanaume Putin hana ishu nayo, huwa ana insinuate ili kupata wafuasi tu, akina nyinyi..

Ukihusisha huu mgogoro na mambo hayo ya imani, na ni kipi ni dhambi na kipi siyo dhambi, unakuwa umepuyanga mno, Putin anajirafikisha na waarabu siyo kwa sababu ya imani zao za kidini, bali ni kwa sababu ni maadui wa magharibi..

Hili andiko ndugu yangu umepuyanga sana, total rubbish!
Ebu njoo na andiko lako sahihi

JF Huyu mtu akija na andiko lililo sahihi mniite MBWA
 
NAMKUBALI SANA KING OF EAST PUTIN, YEYE HATAKI HIZI TAKATAKA. #

Team Rainbow mpo?
 
Unajua kile marekani anachokitafuta Urusi au Irani au mataifa yote yenye msimamo ya kiungu?
Hakuna dini hakuna Siasa?
Huwezi itenga dini na Siasa hata ungefanyaje.

Chanzo cha Siasa ni Dini.
hata kilicho muuwa yesu ni siasa
 
Unajichanganya sana.
Putin anapigania sana kuhusu huu mgogoro.
Putin alianza kuivamia Georgia akaja Crimea. Je kawamaiza hao mashetani huko kote? Kama bado hapo Ukraine atawamaliza?

West ni mashetani na wewe ni msabato dini iliyoanzishwa na mama wa kimarekani ambako mashetani wapo.
Kwanini usifuate dini ya mtume ambaye unampigia chapuo hapa?

Putin anapigania interest zake yeye binafsi na ma Oligarc kadhaa hapo Urusi hata warusi wenyewe hii vita hawaitaki. Acha kuleta upuuzi wa dini.
 
Sisi Tuko na Putin Kama Tulivyo na Mandonga Mpaka Mwisho Wa dahali..Wataanguka wote Ulaya hata sleeping Joe ataanguka ataiacha Russia the Land of Promise..
 
Back
Top Bottom