Putin ni shahidi, Mtume na Nabii wa Zama zetu. Namuunga Mkono

Putin ni shahidi, Mtume na Nabii wa Zama zetu. Namuunga Mkono

Kukataa kumzika mtu aliyekwisha kufariki, mtu kumuweka kama maonyesho miaka nenda rudi, Ni kumuabudu. Mbona sisi Nyerere tumemzika, kwani hatumpi heshima ya uasisi?

Kule North Korea, hata mtu akioa, anaenda na mchumba wake kwenye maiti ya Kim Il Sung ili kupata baraka, hiyo ni kumuabudu.
Naona unachanganya mambo mkuu, swala la mtu kutokuzwika haliusiani na kuabudiwa hata kidogo, swala la mtu kotokuzikwa inaweza kuwa ni maamuzi ya mtu binafsi wakati wa uai wake, taifa kumuenzi, makumbusho ya kihistoria ya kitaifa, maamuzi ya familia, maamuzi ya chama n.k

: Nyie kumzika mwalimu ni maamuzi yenu binafsi hayo, alafu pia inasemekana mwalimu mwenyewe aliomba akifariki azikwe asi hifadhiwe kwa ajili ya ukumbusho.
 
Naona unachanganya mambo mkuu, swala la mtu kutokuzwika haliusiani na kuabudiwa hata kidogo, swala la mtu kotokuzikwa inaweza kuwa ni maamuzi ya mtu binafsi wakati wa uai wake, taifa kumuenzi, makumbusho ya kihistoria ya kitaifa, maamuzi ya familia, maamuzi ya chama n.k

: Nyie kumzika mwalimu ni maamuzi yenu binafsi hayo, alafu pia inasemekana mwalimu mwenyewe aliomba akifariki azikwe asi hifadhiwe kwa ajili ya ukumbusho.
Ni kweli, hapa unaweza kuwa uko sahihi. Japo inaweza ikaibua mjadala kuhusu maana ya kuabudu.

Unaposema "Nyie kumzika mwalimu..." unajiexclude, wewe siyo mtanzania?
 
Kuita watu wataomchalenji ni mashoga ni uoga, ni kutaka kuwafrustrate chalengers ili waogope kuja kujibu hoja. Infact, mtu anaeleta hoja za ushoga kwenye huu mgogoro ni mtu mwenye akili finyu..

Putin na westerners wanapambania maslahi mapana ya nchi zao, sisi waafrika tunachoona ni ushoga tu.
Acha ushoga mkuu
 
Acha ushoga mkuu
Kwa sababu hamna hoja yeyote ya maana, kwa hiyo kazi yenu ni kuwatoa watu kwenye mjadala ili waanze kujadili huo mchezo wenu wa ushoga. Hakuna mnachojua zaidi ya ushoga.
 
PUTIN NI SHAHIDI, MTUME NA NABII WA ZAMA ZETU. NAMUUNGA MKONO.

Na, Robert Heriel
Shahidi.

Tunaojua Dunia ilipotoka, ilipo na wapi inaenda, tutabaki kuwa Wafuasi watiifu wa falsafa za Ki-putin.

Putin ni mtakatifu, Shahidi na shujaa ambaye anaitumia nafasi na Cheo chake vizuri kutekeleza utume alioagizwa na Mungu wetu Mkuu.

Tunajua wengi wasiompenda ni Wale waliodanganywa na hila za Yule adui, hata hivyo Sisi hatuna chuki nao Kama wao walivyo na chuki nasi.

Sisi tupo kwaajili ya kuilinda dunia wao wapo kwaajili ya kuiharibu.
Tunajua Adui yetu Kama ilivyo asili yake ya uongo hutumia mbinu ya kuwapa watu Uhuru ambao tayari walikuwa nao huo Uhuru wenyewe lakini yeye akaupoka na kuwapa Uhuru bandia. Wakajiharibu Kwa mambo yenye aibu, Fedheha, na dhulma.

Sisi hatutakubali kivyovyote huyu adui awe sehemu yetu. Kama alivyoshindwa ndivyo tutakavyomshinda.
Vita hii ilianzia Rohoni na itaishia rohoni.

Falsafa zetu ni Kama ifuatavyo;

1. Tunaheshimu Asili na sheria zake.
2. Hatutaki kuingilia watu wengine na wala Sisi hatutaki mtu yeyote kutuingilia.
Tunaheshimu mipaka ya kiutamaduni, kimila, kidesturi, Kidini, lugha, miiko, mavazi, mipaka n.k.

3. Tunaamini kila jamii ni Bora Kwa nafasi yake. Na wala hakuna jamii Bora kuliko jamii nyingine.

4. Hatutaki unyonyaji, ukoloni wala Aina yoyote ya ubepari.

5. Tunaongozwa na mfumo Dume Kwa maana anayeongoza dunia ni Mungu Baba mwenye Mfumo dume.

6. Tupo tayari kupigana kufa kupona ili kulinda sheria na mipaka yetu.
7. Kamwe hatutaweza kujisalamisha Kwa mashetani. Ni akheri dunia itoweke lakini Sisi hatutokubali.

8. Tunafahamu Shetani ameungana na adui zetu wa Magharibi kupenyeza agenda zake za uongo Kwa kisingizio cha Uhuru na demokrasia. Ili kuvuruga asili ya heshima na utu wa binadamu.

10. Sisi ni matajiri halisi Kwa maana hatumdhulumu yeyote, Ila adui zetu ni masikini wakutupa na huo wanaouita Utajiri ni Utajiri bandia kwani ni wadhuluma na unyonyaji Kwa mataifa mengine.

Kundi lililonyuma ya Putin ni kubwa ingawaje wengi wao wanashindwa kuonyesha hisia na upande wao kutokana na kumhofia adui yetu aliyeungana na Shetani hivyo Hana huruma.

Putin hata afe Leo lakini ameonyesha utakatifu mkubwa na ushujaa katika ulimwengu huu.

Putin ni Shahidi, shujaa, Mtakatifu wa Zama zetu ambaye tunamshukuru MUNGU Kwa kumleta nyakati hizi tukiwa hai.

Tunapenda demokrasia lakini sio Ile demokrasia ya kishetani. Tunataka demokrasia ya Mungu Mkuu na tupo tayari kuipigania.

Tunataka demokrasia inayoonyesha ramani ya mpaka baina ya Mwanaume na mwanamke.

Hatutaki demokrasia ya kutaka wanaume wawe Kama wanawake, au wanawake wawe Kama wanaume.
Hilo tutapigana nalo kufa kupona Kwa nyakati nyakati pasipo kuchoka.

Tunataka demokrasia itakayolinda Rasilimali za dunia na kuwafanya walimwengu na viumbe kila mmoja ale Kwa urefu wa kamba yake, kadiri ya akili zake, elimu yake, jinsia yake, uwezo na kazi azifanyazo. Na sio demokrasia ya kunyonya wengine na kuwazuia wanyonge wasipate hata kile kidogo kilicho halali yao.

Tunataka demokrasia ya usiku ubaki kuwa usiku na mchana ubaki kuwa mchana. Hakuna haki sawa baina ya Magharibi na mashariki, usiku na Mchana.

Adui yupo kuvuruga hayo, na vibaraka wake wanashabikia Kama nzi wafuatao Mavi yanukayo.

Putin ndiye Nabii na mtume wa Karne ya ishirini na moja wa Zama zetu. Yeye ndiye anaweza kutuambia nini chakufanya.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
AFYA YA AKILI.
 
Unajua kile marekani anachokitafuta Urusi au Irani au mataifa yote yenye msimamo ya kiungu?
Hakuna dini hakuna Siasa?
Huwezi itenga dini na Siasa hata ungefanyaje.

Chanzo cha Siasa ni Dini.
Na ni kwabsababu wenye dini na siasa ni hao hao wanadamu,huwezi kuelewa hapa kama huna akili.safi mkuu
 
Ulivyoanza na kauli hii "Tunaojua Dunia ilipotoka, ilipo na wapi inaenda" . Hii ni kauli iliyojaa ujuaji,mamlaka,maamuzi, sifa,majivuno n.k.

Ukweli huu hapa: HUIJUI na HUTAIJUA DUNIA ILIPOTOKA,ILIPO,NA WAPI INAENDA(MIMI NIKIWEMO)!!!!!!!!!!!!

Nb 1: Dunia inaendeshwa kwa usiri mkubwa mno.

Nb 2: Dunia inaendeshwa na kikundi kidogo mno cha watu (Mimi na wewe hatumo na hatutaweza kuwemo)

Nb 3: Wenye dunia yao wanaamua nini kitoke na kipi kisitoke na kwa wakati gani.Hicho unachokifahamu ndicho walichotaka ukifahamu!!!!!!!!!!

Nb 4: Wenye dunia yao wanajua yajayo (mimi na wewe) hatuyajui na hatutayajua!!!!!!!!!!!Mfano mdogo: Wewe unaweza kufahamu mtu atakayekuja kuwa Raisi wa Tanzania mara baada ya Samia????????? Wenye Tanzania yao wanamfahamu.

Nb 5: Vita vyote duniani chanzo chake kikuu ni RASILIMALI na siyo DINI wala IMANI!!!!!!!!!!! Fuatilia Mashariki mwa Ukraine KUMEGUNDULIWA NINI HIVI KARIBUNI kabla ya hii vita (operesheni ???)!!!!!!!!!!!!!

Nb 6: Uchumi wa dunia hutegemea NISHATI kwa asilimia kubwa kama siyo zote!!!!!!!!!!!!
USISAHAU DINI NA IMANI NDIZO TAMADUNI ZENYEWE.JAPO UMEONGEA JAMBO ZITO SANA.
 
Naona unachanganya mambo mkuu, swala la mtu kutokuzwika haliusiani na kuabudiwa hata kidogo, swala la mtu kotokuzikwa inaweza kuwa ni maamuzi ya mtu binafsi wakati wa uai wake, taifa kumuenzi, makumbusho ya kihistoria ya kitaifa, maamuzi ya familia, maamuzi ya chama n.k

: Nyie kumzika mwalimu ni maamuzi yenu binafsi hayo, alafu pia inasemekana mwalimu mwenyewe aliomba akifariki azikwe asi hifadhiwe kwa ajili ya ukumbusho.
Na kama wanaamini ndie alielifikisha taifa lao pale lilipo atajuaje kama nafsini wanaamini ndie mungu wao.Mzimuni tunaamini matambiko ni njia ya kudumisha umoja kukutana na kudumisha undugu na umoja.labda kwao ni mzimu na alikamilisha unabii kwa taifa lake.
 
Mkuu, naunga hoja. Japo inasikitisha, kwakuwa hakuna sababu yoyoye inayo halalisha vifo, majeruhi, ukimbizi na mtafaruku unaosababisha watu kukimbia makazi yao.

WAUNGWANA WANASEMA, UKITAKA KUTAWALA JAMII YOYOTE, HAKIKISHA JAMII HUSIKA INASAHAU/INAPOTEZA ASILI YAKE, KUTOJALI MILA, TAMADUNI, DESTURI, MIIKO NA MAADILI YA WALIOWATANGULIA (MABABU ZAO).

ZELENSKY kwa kuungwa mkono na Magharibi, alianza jukumu hilo kwa Jamii ya Warusi waliopo Ukraine. Lengo kumsogeza NATO mpakani na URUSI.

Kosa kubwa la Waukraine ni kushawishika kukubali NATO/EU na URUSI kupambana katika ardhi yao. Na mwisho wa vita haijulikani itakuwaje.

Mwenyezi MUNGU awanusuru
.

Sababu ya kuua wengine zipo nyingi Sana Mkuu.
Nakuorodheshea Kwa uchache Kwa ngazi ya kitaifa au kimataifa
1. Uhaini.
2. Usaliti Kwa kuiba na kutoboa Siri za nchi.
3. Kuchukua mpaka WA nchi. Inaweza pelekea mauaji.
4. Kuuawa Kwa Kiongozi mkubwa wa nchi na Nchi nyingine huweza pelekea vita(mauaji)
5. Nchi moja jirani kuungana na adui yenu Mkuu kama vile Ukraine inaweza pelekea mauaji/vita

6. Kuzuia Baadhi ya Trans- boundaries resources kama vile MTO au maziwa huweza sababisha mauaji/vita.
Mifano Uganda iseme inazuia MTO Nile lazima Misri wapigane vita na Uganda.

Hizo ni moja ya sehemu ya sababu zinazoweza kuhalalisha vita/mauaji.

Hata hivyo ulichosema ni kweli
 
Sababu ya kuua wengine zipo nyingi Sana Mkuu.
Nakuorodheshea Kwa uchache Kwa ngazi ya kitaifa au kimataifa
1. Uhaini.
2. Usaliti Kwa kuiba na kutoboa Siri za nchi.
3. Kuchukua mpaka WA nchi. Inaweza pelekea mauaji.
4. Kuuawa Kwa Kiongozi mkubwa wa nchi na Nchi nyingine huweza pelekea vita(mauaji)
5. Nchi moja jirani kuungana na adui yenu Mkuu kama vile Ukraine inaweza pelekea mauaji/vita

6. Kuzuia Baadhi ya Trans- boundaries resources kama vile MTO au maziwa huweza sababisha mauaji/vita.
Mifano Uganda iseme inazuia MTO Nile lazima Misri wapigane vita na Uganda.

Hizo ni moja ya sehemu ya sababu zinazoweza kuhalalisha vita/mauaji.

Hata hivyo ulichosema ni kweli
Wewe ni kichaa kumbe. Eti kuhalalisha mauaji. Nyie ndio kama majinga ya system ya Tanzania yanaua yakidhani ni halali. Movie zisiwadanganye.
 
Back
Top Bottom