Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jumuia ya mashoga USA 🇺🇸 n European 🇪🇺 Union wana hali mbaya sana.Yupo hoi huyu mjinga
Kuzidi Putin?Jumuia ya mashoga USA 🇺🇸 n European 🇪🇺 Union wana hali mbaya sana.
Style ya Uchezaji wa Putin , haina utofauti na ya marehemu mzee wetu Magufuli . Cheki hii video
Ni kweli kabisa! Nchi za magharibi zilipoanza kuweka vikwazo, hazikutegemea kuwa urusi itastahimili. Ndio maana vikwazo vya mwanzo hawakulenga vikwazo ambavyo vingewaumiza wao. Walopoona havimgusi, wakalazimika kuweka viklwazo ambavyo hata wao vitawaumiza kama vile kuiondoa kwenye mtandao wa malipo ya kibenki wa kimataifa SWIFT. Bado wakaona jamaa amestahimili mwisho wakaanza kumwekea vikwazo vya mafuta ambavyo vimewaliza sana! Mpaka sasa wameshindwa kabisa kumwqekea vikwazo vya kuuza gesi maana wanaihitaji mno, na akawaambia nitawauzia kwa pesa yangu ya ruble!Mpaka sasa ubao unasoma Russia 30 vs EU 0
Hoi kivipiYupo hoi huyu mjinga
Husikii analia lia kama mbwa koko?Hoi kivipi
Kuna zile nchi za ulaya zimetangaza hapa karibuni kujiunga na NATO, inawezekana putin akaziweka kwenye mpango wake wa muda mrefu......hii ngoma inaonekana bado mbichi.Divide and rule mwisho wa siku Ukrain na Ulaya yote inakuwa na kiranja mpya na ukishateka Ulaya ndo basi tena, msione USA anapata tabu sana ktk kufadhili hii vita anajuwa ushindi wa PUTIN ni sifa kedekede kwake.
Amepigwa pin kila upande amebaki na China pekeeHela ya Russia inazidi kupanda thamani,
Unawezaje kusema wapo hoi?
Waliopo hoi , Ni wale waliojiwekea vikwazo na Bei ya vitu kwao inapanda
EU sio ushirikiano wa kijeshi.EU wakiwashe tu kwenye anga la Russia wakitokea Ujeremani ili tununue popcorn za kutosha...sema huu mtanange yuropa wanaogopa sana...