Putin: Thank GOD, European companies are leaving Russia

Putin: Thank GOD, European companies are leaving Russia

Ni kweli kabisa! Nchi za magharibi zilipoanza kuweka vikwazo, hazikutegemea kuwa urusi itastahimili. Ndio maana vikwazo vya mwanzo hawakulenga vikwazo ambavyo vingewaumiza wao. Walopoona havimgusi, wakalazimika kuweka viklwazo ambavyo hata wao vitawaumiza kama vile kuiondoa kwenye mtandao wa malipo ya kibenki wa kimataifa SWIFT. Bado wakaona jamaa amestahimili mwisho wakaanza kumwekea vikwazo vya mafuta ambavyo vimewaliza sana! Mpaka sasa wameshindwa kabisa kumwqekea vikwazo vya kuuza gesi maana wanaihitaji mno, na akawaambia nitawauzia kwa pesa yangu ya ruble!

Kuna taarifa nyingine hii US kalipa 2bln in rubles
IMG_3702.jpg
 
Kwa hiyo haisomeki au?
hii ni vita aka live match na sio historia ya vita. kila wakati zinatoka updates mpya ,kutuletea news zilizopitwa muda ni kukosa taarifa ,unajichimbia huko kilandege unakuja kutoka huko kila habari unaona mpya, na kuonyesha uzwazwa wako unashare na watu na si tunakuona mshamba tu [emoji706]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Divide and rule mwisho wa siku Ukrain na Ulaya yote inakuwa na kiranja mpya na ukishateka Ulaya ndo basi tena, msione USA anapata tabu sana ktk kufadhili hii vita anajuwa ushindi wa PUTIN ni sifa kedekede kwake.
Akili mtu wangu
 
Hakukuwa na ulazima wa wewe kutuonesha Unajua kila kitu,
Kama huna comment piga kimya coz nalo ni jibu
sio najua kila kitu, kutuletea habari iliyotokea 2 weeks ago kama ndo news katikati ya vita yenye updates kila dakika isn't ok, sawa na leo umeingia yt unakuta wanasema Russia na Ukraine waingia meza ya makubaliano and unajua habari sio current then kwa kutokuelewa kwako unashare na watu as if ni current. sio sawa
better ungetumia past tense.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha dharau,
Jifunze kuheshimu watu , itakusadia sana
sijadharau mtu ,kwani kilandege wapajua wewe ni wapi? . ok ni eneo la migodini huko geita wanakopata watu mabillion ya pesa .ukiingia shimoni kuna taarifa wapata ? absolutely No. so dharau yangu iko wapi hapo?. au ni mbaya mtu kukaa shimoni akitengeneza pesa ndefu huku akikosa updates? No it's ok and very oky . Tatizo ni kutuonyesha kuwa haukuwa updated. Case closed usifanye mambo yakawa mengi mkuu comment yangu siyo sheria.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sijadharau mtu ,kwani kilandege wapajua wewe ni wapi? . ok ni eneo la migodini huko geita wanakopata watu mabillion ya pesa .ukiingia shimoni kuna taarifa wapata ? absolutely No. so dharau yangu iko wapi hapo?. au ni mbaya mtu kukaa shimoni akitengeneza pesa ndefu huku akikosa updates? No it's ok and very oky . Tatizo ni kutuonyesha kuwa haukuwa updated. Case closed usifanye mambo yakawa mengi mkuu comment yangu siyo sheria.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda jamaa ni HRM wa taasisi moja hivi, kumwambia ni wa kilandege anadhani amedharauliwa sana!! Msamehe [emoji1787][emoji1787]
 
Jumuia ya mashoga USA [emoji631] n European [emoji1099] Union wana hali mbaya sana.
Bujibuji hiyo ni chuki tu Kwa Sababu Hawa unaowaita Mashoga ndiyo wawekezaji kwenye nchi yako ,Wanawapa misaada hadi ya kujenga hospital s,shule na vyuo ,Bajeti yenu ya maendeleo wanawasaidia vipi Rusia ana msaada gani kwa Tanzania?
Pia kumbuka Ukureini anailinda nchi yake dhidi ya uvamizi wa Mrusi na kumbuka pia na sisi tuliilinda nchi yetu kipindi Idd Amin alivotaka kuichukua Kagera .
Lakini kumbuka kika Rais akiingia madarakani huapa kuilinda nchi yake ikibidi hadi kifo ndo anachokifanya Zelensky.
Na sisi kipindi tunapigana na Uganda tulisaidiwa na hao Marekani na Uingereza kiuchumi na vifaa vya kijeshi hadi tukashinda Kwa hiyo kabla hujatoa kashfa na chuki Kaa ufukilie kwanza .
 
Back
Top Bottom