Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Na Bwana Utam au?😀Wenye macho ya rohoni wanaposikia tetesi ya vita wameshatambua ni kitu gani kinachoendelea na hawatishiki na vita zaidi ya kufanya maandalizi ya roho zao kwa kuwa hakuna kitu walichofichwa na Bwana.
Ndio yakwanza kuzamishwa?😀Putin anajua nyambizi yake imezamishwa Crimea?
Nae kawa mpiga domo kama rafiki zake wa Iran.
Hujalazimishwa kukubbaliNdio matango mlolishwa huko chachi haya😀?
Vyovyote vile utakavyomuita ni we we tu,kwa kuwa yeye siyo dikteta mpaka akulazimishe namna ya kumuita.Na Bwana Utam au?😀
Nimeuliza tuuu😀Vyovyote vile utakavyomuita ni we we tu,kwa kuwa yeye siyo dikteta mpaka akulazimishe namna ya kumuita.
So what's so special there to arouse the one's feelings or attention.!?
Time will tellSo what's so special there to arouse the one's feelings or attention.!?
Urusi sasa hivi imeonekana ikizalisha silaha mara tatu ya kawaida yake.Urusi ana silaha gani za kumpa Iran sasa hivi?
Sio kweli na ndio maana bado wanaomba misaada ya silaha kutoka nchi zingine.Urusi sasa hivi imeonekana ikizalisha silaha mara tatu ya kawaida yake.
Vijana waliopitia unyanyasaji wa kingono utotoni wakiwa Sunday school wanaonekana tu..Msikiti TV ni vichekesho tupu.. wacha tucheke tu.. hahahaha
Na ninlazima iende huko ili kuwe na kitu kinachoitwa balance of power. Tangia baadhi ya mataifa yaanze kuratibu uranium kwa matumizi mbalimbali kumekuwa na chokochoko na kutunishiana misuli kwa baadhi ya mataifa so ipo siku tutashuhudia vita vitakavyohusisha siraha za maangamizi then utaratibu mpya duniani utawekwa. It's just a matter of time before the event takes placeTushangilie tu,ila dunia inapokwenda huko ni kubaya sanaa.
Kawaulize NBC wa Ushirombo huko unakokaliaUrusi ana silaha gani za kumpa Iran sasa hivi?
Watagawana za kutoka kwa Kiduku.
Ndugu Rajab, kwanini haushauri Palestine ijisalimishe kwa Islael kama ambavyo unapendekeza Ukraine ijisalimishe kwa Russia?.Consider this:
1. Israel will use US missiles.
2. Russians already know how to defeat the guidance of US missiles thanks experiences in Ukraine.
3. Russians know how to intercept our missiles, as well.
4. Israel uses the US iron dome which Russia has already defeated in Ukraine.
5. Ergo, the only way Israel has a chance is going nuclear
6. Should Israel go nuclear, they might win.
7. But more likely, a Russian Iskander with an Iranian warhead of appropriate strength will forever remove Israel from history, like it never existed.
8. Would the US hit back at Russia for Israel? Not if any of the selfish politicians want to live.
9. If Russia attacks all out on the US due to our lack of leadership and stupid jews at the controls, it is estimated that 90 million Americans would die in the first hour alone. That's 25 thousand per second.
10. I have only laid out the highlights. If you dare, wish for it to see the lowlights. And May the Good Lord have mercy on all who fear His name and I pray that be you!
Russia imeongeza uzalishaji silaha.Yani Putin apewe silaha China na North Korea alafu apeane Iran 🤣🤣🤣