Putin: Vikwazo vya Magharibi vimepelekea janga la chakula duniani


Eti dikteta,, wakati iraq, Afghanistan, libya, Syria na yemen wanavamiwa ulikua upande wa nani kama sio marekani na NATO? leo kavamiwa kafiri mwenzio unabweka!!! Israel kila leo anauwa wapalestina unafurahia, Kuwa serious bwana, waarabu sio wanyama ni binadamu kama wewe. Tena kaa kimya, na usirudie kuwatetea diktetaz/magaidi wako.
 
Si lahisi kama unavyo fikiri maana hata nchi zenye pesa na zenyewe zinalia.
 
Mwenda zake ameshaenda,,
Kwa Nini usifanye sasahiv
 
Hii inatokana na comedian Zelensky, kujing'ang'aniza kwenye makalio ya mmarekani.

Ukraine isingepata faida yoyote kwa kujiunga na NATO zaidi ya kutumika na Marekani kama sehemu ya majaribio ya silaha na kueneza chokochoko dhidi ya Urusi.
Hiyo ni sababu ya kijinga sana kwasababu saizi teknilojia ilivyo kuwa adui akitaka kukushambulia anakushambilia tu hata akiwa nchini kwake kwanza saizi watu wanamakombola yanayofika popote dunia. Pili Kuna ndege zisizo na
Rubani na zinaweza zisioinekane na nchi husika.
 
Kwa mcharazo huu nimekuogopa
 
Ameongea maneno mazuri kama aliongea kweli lakini ule unyama wa kule Bucha Ukraine aliufanya je kweli anamaanisha ubinaadamu na haki za watu?
 
Mkuu punguza jaziba..andika vizuri .kwani walikuzuia kulima mkuu
 
Kwa Israeli tuwe wapole kidogo naye amekuwa na ka operation ka muda kidogo katika kupambana na vikundi vya kigaidi. Lengo ni kuendelea kuteka maeneo yanayotumika kutenda jinai. Baada ya Jerusalem kuwa mji mkuu, kazi iliyobakia ni kusafisha Al Aqsa, na kujenga hapo hekalu.
 
Hii hoja haina mashiko, ushoga umetamalaki kuanzia mikoa ya Pwani huko nako ni wazungu? Maeneo yote yaliyotawaliwa na waarabu ndiko ushoga umeota mizizi.
Hawa waturuki wa Yepi Merkez wamekuwa kero kubwa sana, wanasambaza ushoga kwa nguvu kubwa kuliko hata yanayotumia kwenye kujenga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…