Putin: Vikwazo vya Magharibi vimepelekea janga la chakula duniani

Putin: Vikwazo vya Magharibi vimepelekea janga la chakula duniani

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Rais Vladimir Putin amesema Urusi inalazimika kuangalia kwa karibu mauzo yake ya chakula kwa nchi zisizo rafiki kwani vikwazo vya Magharibi vimechochea janga la chakula duniani na kuongezeka kwa bei za Nishati.

Vikwazo vya Nchi za Magharibi kutokana na uvamizi wa Putin mnamo Februari 24, 2022 Nchini Ukraine vimesababisha Urusi kutumbukia kwenye mzozo mbaya zaidi wa Kiuchumi tangu kuanguka kwa Umoja wa Kisovieti mwaka 1991.

Hata hivyo, Moscow inasema athari za vikwazo hivyo ulimwenguni kote zinaweza kuwa kubwa zaidi.

=======

President Vladimir Putin said on Tuesday that Russia must keep a close eye on its food exports to hostile countries because the West's sanctions had fomented a global food crisis and spiralling energy prices.

The West's sanctions over Putin's Feb. 24 invasion of Ukraine have tipped Russia towards its worst economic crisis since the 1991 fall of the Soviet Union, though Moscow says the global impact of the sanctions could be much more significant.

The Kremlin chief cautioned that higher energy prices combined with a shortage of fertilisers would prompt the West to print money to buy up supplies, leading to food shortages among poorer countries.

"They will inevitably exacerbate food shortages in the poorest regions of the world, spur new waves of migration and in general drive food prices even higher," Putin told a meeting on developing food production.

"In these current conditions, a shortage of fertilisers on the global market is inevitable," Putin said. "We will have to be more careful about food supplies abroad, especially carefully monitor the exports to countries which are hostile to us."

One of Putin's allies warned last week that Russia could limit supplies of agriculture products to "friendly" countries only, amid Western sanctions imposed on Moscow.

Russia is the world's largest exporter of wheat, supplying it mainly to Africa and the Middle East, and a major producer of potash, phosphate and nitrogen containing fertilisers - key crop and soil nutrients.

Russia produces more than 50 million tonnes a year of fertilisers, 13% of the global total. Phosagro (PHOR.MM), Uralchem, Uralkali, Acron (AKRN.MM) and Eurochem are the biggest fertiliser players.

Sanctions, Putin said, had disrupted logistics for fertiliser supplies from Russia and Belarus while higher prices for natural gas was making fertiliser production more expensive in the West.

In a warning to European states, Putin warned that Moscow would respond in kind to any attempt to nationalise Russian assets, quipping that such action was a "a double-edged weapon".

Putin was speaking a day after Germany said its energy regulator would take control of Gazprom Germania, a gas trading, storage and transmission business which Russia's Gazprom (GAZP.MM) said it was exiting last Friday.

The British government may decide to step in and temporarily run Russian gas giant Gazprom's British retail supply arm.

Putin says Russia's "special military operation" in Ukraine is necessary because the United States was using Ukraine to threaten Russia and Moscow had to defend Russian-speaking people in Ukraine from persecution.

Ukraine has dismissed Putin's claims of persecution and says Russia is fighting an unprovoked war of aggression.

Source: Reuters
 
Hii yote inatokana na ujinga wa putin ya kuwa na tamaa na udongo wa ukraine.
Hii inatokana na comedian Zelensky, kujing'ang'aniza kwenye makalio ya mmarekani.

Ukraine isingepata faida yoyote kwa kujiunga na NATO zaidi ya kutumika na Marekani kama sehemu ya majaribio ya silaha na kueneza chokochoko dhidi ya Urusi.
 
Sisi huku tumeshaanza kulipia gharama za hii vita. Bei ya mafuta, mafuta ya kula na bidhaa nyingine hazishikiki
Gharama za vyakula kupanda bei nchi kama Tanzania, Congo ni uzembe. Ni kweli sisi hatuna ardhi ya kutosha kuweza kulima Alizeti, na mazao mengine ya kuweza kukidhi matakwa yetu?

Tuliagiza ndege na tumeziendesha kwa hasara, tungewekeza kwenye kilimo kisingekwamua maisha? Mkapa aliwezaje? Maslahi ya viongozi inakuja inaharibu mpaka food security ndani ya Taifa.
 
Gharama za vyakula kupanda bei nchi kama Tanzania, Congo ni uzembe. Ni kweli sisi hatuna ardhi ya kutosha kuweza kulima Alizeti, na mazao mengine ya kuweza kukidhi matakwa yetu?

Tuliagiza ndege na tumeziendesha kwa hasara, tungewekeza kwenye kilimo kisingekwamua maisha? Mkapa aliwezaje? Maslahi ya viongozi inakuja inaharibu mpaka food security ndani ya Taifa.
Yule mwendazake ni tulipata mtu mgonjwa WA akili kama nchi ingeamua kuchukua upande WA kilimo kama njia ya kuongeza pato la nchii Leo hii hiii nchi ingekuwaa muuzaji mkubwa WA chakula nje mtu anakimbulia kununua mindege ili apate sifa za kisiasa Kwa miaka mi5 alikuwa anatoa bajeti kidogo kwenye ununuzi WA chakula bila kurudisha kwenye uimarishaji WA miundombinu ya kilimo
 
Yule mwendazake ni tulipata mtu mgonjwa WA akili kama nchi ingeamua kuchukua upande WA kilimo kama njia ya kuongeza pato la nchii Leo hii hiii nchi ingekuwaa muuzaji mkubwa WA chakula nje mtu anakimbulia kununua mindege ili apate sifa za kisiasa Kwa miaka mi5 alikuwa anatoa bajeti kidogo kwenye ununuzi WA chakula bila kurudisha kwenye uimarishaji WA miundombinu ya kilimo
Leo sisi tunaagiza ngano za zaidi ya 80% kutoka nje tena ni Russia na Ukraine ambao sasa wapo kwenye mapigano, leo sisi tunaagiza sukari Brazil, na sukari yao ina bei nafuu kuliko ya hapa.

Sisi wa kununua mchele kilo 2,800? Unga 1,200? Nyanya moja 200? Mafuta ya kula lita sasa hivi ni 2,800 wakati tuna dodoma, singida, kigoma n.k Ni upuuzi mtupu. Yule msukuma wengi wanamuona shujaa lakini ni moja ya marais wabovu kutawala nchi hii, mtu anayependa kuabudiwa, sifa n.k

Tungewekeza zaidi ktk kilimo walau wananchi tusingekuwa na bughudha juu ya utawala, chakula bei ghali, bado ela pia ni ngumu mtaani.
 
Leo sisi tunaagiza ngano za zaidi ya 80% kutoka nje tena ni Russia na Ukraine ambao sasa wapo kwenye mapigano, leo sisi tunaagiza sukari Brazil, na sukari yao ina bei nafuu kuliko ya hapa.

Sisi wa kununua mchele kilo 2,800? Unga 1,200? Nyanya moja 200? Mafuta ya kula lita sasa hivi ni 2,800 wakati tuna dodoma, singida, kigoma n.k Ni upuuzi mtupu. Yule msukuma wengi wanamuona shujaa lakini ni moja ya marais wabovu kutawala nchi hii, mtu anayependa kuabudiwa, sifa n.k

Tungewekeza zaidi ktk kilimo walau wananchi tusingekuwa na bughudha juu ya utawala, chakula bei ghali, bado ela pia ni ngumu mtaani.

Mafuta ya kula lita 2800 ni wp huko [emoji849][emoji849][emoji1787][emoji1787] weeh acha utani mafuta lita ni ekf 6000 na kuendelea
 
Hii inatokana na comedian Zelensky, kujing'ang'aniza kwenye makalio ya mmarekani.

Ukraine isingepata faida yoyote kwa kujiunga na NATO zaidi ya kutumika na Marekani kama sehemu ya majaribio ya silaha na kueneza chokochoko dhidi ya Urusi.
Unampangia mwenzio jinsi ya kuendesha familia yake? Putin ni nani kwani mpaka atake kutawala na nchi jirani,huo ujinga wa udikteta wake wa kuondoka madarakani kihuni kisha kurejea tena abaki nao huko huko kwa Warussi waliowageuza wajinga utadhani bila yeye Russia haitokuwepo.Zelensiky shikilia hapo hapo,hakuna kupangiwa na mtu,kila mtu ashinde mechi zake[emoji3]
 
Rais Vladimir Putin amesema Urusi inalazimika kuangalia kwa karibu mauzo yake ya chakula kwa nchi zisizo rafiki kwani vikwazo vya Magharibi vimechochea janga la chakula duniani na kuongezeka kwa bei za Nishati.

Vikwazo vya Nchi za Magharibi kutokana na uvamizi wa Putin mnamo Februari 24, 2022 Nchini Ukraine vimesababisha Urusi kutumbukia kwenye mzozo mbaya zaidi wa Kiuchumi tangu kuanguka kwa Umoja wa Kisovieti mwaka 1991.

Hata hivyo, Moscow inasema athari za vikwazo hivyo ulimwenguni kote zinaweza kuwa kubwa zaidi.
===

President Vladimir Putin said on Tuesday that Russia must keep a close eye on its food exports to hostile countries because the West's sanctions had fomented a global food crisis and spiralling energy prices.

The West's sanctions over Putin's Feb. 24 invasion of Ukraine have tipped Russia towards its worst economic crisis since the 1991 fall of the Soviet Union, though Moscow says the global impact of the sanctions could be much more significant.

The Kremlin chief cautioned that higher energy prices combined with a shortage of fertilisers would prompt the West to print money to buy up supplies, leading to food shortages among poorer countries.

"They will inevitably exacerbate food shortages in the poorest regions of the world, spur new waves of migration and in general drive food prices even higher," Putin told a meeting on developing food production.

"In these current conditions, a shortage of fertilisers on the global market is inevitable," Putin said. "We will have to be more careful about food supplies abroad, especially carefully monitor the exports to countries which are hostile to us."

One of Putin's allies warned last week that Russia could limit supplies of agriculture products to "friendly" countries only, amid Western sanctions imposed on Moscow. read more

Russia is the world's largest exporter of wheat, supplying it mainly to Africa and the Middle East, and a major producer of potash, phosphate and nitrogen containing fertilisers - key crop and soil nutrients.

Russia produces more than 50 million tonnes a year of fertilisers, 13% of the global total. Phosagro (PHOR.MM), Uralchem, Uralkali, Acron (AKRN.MM) and Eurochem are the biggest fertiliser players.

Sanctions, Putin said, had disrupted logistics for fertiliser supplies from Russia and Belarus while higher prices for natural gas was making fertiliser production more expensive in the West.

In a warning to European states, Putin warned that Moscow would respond in kind to any attempt to nationalise Russian assets, quipping that such action was a "a double-edged weapon".

Putin was speaking a day after Germany said its energy regulator would take control of Gazprom Germania, a gas trading, storage and transmission business which Russia's Gazprom (GAZP.MM) said it was exiting last Friday. read more

The British government may decide to step in and temporarily run Russian gas giant Gazprom's British retail supply arm.

Putin says Russia's "special military operation" in Ukraine is necessary because the United States was using Ukraine to threaten Russia and Moscow had to defend Russian-speaking people in Ukraine from persecution.

Ukraine has dismissed Putin's claims of persecution and says Russia is fighting an unprovoked war of aggression.

Source: Reuters
Wakati unalalamika kwa chakula sasa tunakuja kwenye account zako kama putini, hii ni baadhi ya new suctions ambazo magharibi wanfikiria baa ya Bucha
 
Back
Top Bottom