Putin wa miezi miwili iliyopita, si huyu wa leo!

Putin wa miezi miwili iliyopita, si huyu wa leo!

Majasusi wa kimataifa walio na uwezo wa ajabu wameshamaliza kazi,

Putin wa Leo, si yule wa Kabla ya uvamizi wa Ukraine!

Afya yake imeshachokonolewa,

Mnaoangalia kwa jicho Kali na angavu, mtakubaliana ni Mimi kuwa, jamaa afya yake imeshachezewa!!

Muda utaongea!
Hamchoki? Kipigo kiko pale pale kelele mtapiga wenyewe 🤦
 
Majasusi wa kimataifa walio na uwezo wa ajabu wameshamaliza kazi,

Putin wa Leo, si yule wa Kabla ya uvamizi wa Ukraine!

Afya yake imeshachokonolewa,

Mnaoangalia kwa jicho Kali na angavu, mtakubaliana ni Mimi kuwa, jamaa afya yake imeshachezewa!!

Muda utaongea!
Labda uwe unamuongelea Putin wa Chato na sio huyu tunaye mjua.

Ulinzi wa Putin tunaye mjua sio sawa na wa Putin wa chato unaye muongelea.
 
Aisee ndio maana wazungu walisema Afrika lazima twende motoni, kwa staili hii ya unafiki unafiki, na tukifika huko lazima nikutafute nikutilie mamkaa nichochee firee. Yaani nilipobanikwa Mimi nafanya kuupunga nakuujaza kwako
Ncheeee yaaaani
 
Kwani binadamu kuumwa limekuwa jambo la ajabu sana au?
Putin kuumwa si ajabu maana nibinadamu kama ww, tofauti ni kwamba yeye ni kiongozi na ww ni mganga njaa kutoka koromije.
Siku zake zikifika ataumwa na kufa kama ww ambavyo siku itafika utaumwa na kufa.

Nyinyi ndio mnatusumbua sijui jiwe kapewa sumu maana mnaamini mtu akisha kuwa kiongozi anakuwa malaika.
 
Back
Top Bottom