Putin wa miezi miwili iliyopita, si huyu wa leo!

Putin wa miezi miwili iliyopita, si huyu wa leo!

Kwahiyo nchi kuundiwa tume ni dalili za uimara? Mnapenda sifa za kijinga, kina Somalia na Rwanda wanaundiwa tume wakati wamejaaa utapiamlo nyinyi mnaona kuundiwa tume ni ushujaa.

Huwezi itenga Russian Federation na USSR au Russian empire. Hatuwezi kuwa tunazungumzia nchi iliyoanzishwa 1991 hapo eti ndio unaita iko stable. Lazima turudi nyuma kuihusisha ilivyokuwa, huwezi taka tusizungumzie uhuru wa Tanganyika au mapinduzi ya Zanzibar kisa hizi nchi ziliungana kwahiyo tufute kila kitu tuanzie 1964.

Unajua Russia inaadhimisha siku ya VDV lini? August 2 kuadhimisha siku ya kuanzisha first paratrooper division mwaka 1930. Hapo Russia Federation hii ilikuwepo?
Victory Day parade huwa ni May 9 kuadhimisha ushindi dhidi ya Nazi Germany mwaka 1945. Huo mwaka 1945 hii Federation ilikuwepo? Then why nchi ina matukio yote na maadhimisho, na wimbo wa taifa, na silaha na mikataba ambavyo vyote ni legacy ya USSR alafu kirahisi tu unasema tuachane na USSR. Kwamba wewe ni mjanja na wao wajinga kuitambua.

Unataka tuzungumzie kuanzia 1991 eti nchi ni stable alafu unaiita superpower. Kina Sweden ambao Freedom of Speech na Press kwenye katiba yao waliweka mwaka 1766 si tutasema wametoka nje ya dunia
Kwa hiyo ww hoja yako ni ipi?
Kuwa Putin akifa au akiondoka madarakani Urusi itasambaratika au itaingia kwenye machafuko? Ebu weka mambo wazi unacho taka kumaanisha maana kuna kitu una taka kukimaanisha ila unazunguka mkuu.
 
Biden ana afya tia maji kuliko Putin ila Marekani urais ni taasisi na wana succession plan inajulikana. Kwa mfano Putin akidondoka leo hii nani atakuwa Rais wa Urusi?

Akiondoka mifarakano ina possibility ya kutokea, na Westerns kwa kawaida huwa hawapendi rogue states kubadili uongozi ghafla maana hujui ajaye ni kichaa kiasi gani na migogoro ikitokea itaathiri usalama wa dunia maana wana weapons of mass destruction. Tangu karne ya 18 iishe ni Dmitry Medvedev pekee ndio kiongozi mkuu aliyestaafu Russia na ni kwa sababu alikuwa kibaraka wa Putin. Ukimuondoa yeye Russia tangu ikiwa empire Tsar Nicholas II auwawe na Bolsheviks mwaka 1917, USSR iwepo na viongozi wake hakuna aliyestaafu hata mmoja. Ikaja Russia akajiuzuru Boris Yeltsin akamuachia Putin na Putin technically akabadili katiba Waziri Mkuu akawa na nguvu kikatiba akamuachia Medvedev urais muhura ulipoisha Putin akagombea tena akawa rais kisha akabadili katiba akawa na nguvu kuliko Waziri Mkuu.

Kikao cha juzi hapa cha Putin na Shoigu kilionesha Putin hakai comfortably, ukitazama video waliyotoa TASS. Muda mrefu ameshikilia meza, kichwa kama kakishusha zaidi chini kwenye mabega, miguu inacheza kwa namna isiyo. Kuna namnaView attachment 2198931
Daaaah!
Hakika Tanzania tuliwahi kuwa namba moja kwa upelelezi duniani!

wa kupuliza
 
Majasusi wa kimataifa walio na uwezo wa ajabu wameshamaliza kazi,

Putin wa Leo, si yule wa Kabla ya uvamizi wa Ukraine!

Afya yake imeshachokonolewa,

Mnaoangalia kwa jicho Kali na angavu, mtakubaliana ni Mimi kuwa, jamaa afya yake imeshachezewa!!

Muda utaongea!
Shoga limekwisha kwanyuliwa tayari!limekuja kuhema huku?
Jemmed
 
Nakule mariopol tumeanza kuchukua mji wetu, urusi hii aibu kaitafuta mwenyewe,

Kuhusu afya yake ni dhahiri watu washacheza nae kumbuka mwanzoniwa vita hii waziri mkuu wa Israel na ujumbe wake walitembelea Moscow

So kivyovyote vile polonium unafanya kazi vizuri
Huyajui vizuri majasusi ya Kremlin
 
Russia hana uwezo wa kufanya ujasusi dunia nzima. Hana pesa. CIA wana assets dunia nzima, both human and technical. Sio sawa kuwafananisha na agency ya Russia.
FSB imeshindwa mtoa Zelensky
 
Majasusi wa kimataifa walio na uwezo wa ajabu wameshamaliza kazi,

Putin wa Leo, si yule wa Kabla ya uvamizi wa Ukraine!

Afya yake imeshachokonolewa,

Mnaoangalia kwa jicho Kali na angavu, mtakubaliana ni Mimi kuwa, jamaa afya yake imeshachezewa!!

Muda utaongea!
Kama Lowassa vile, kuna Muda amekosekana hadharani Kwa Masaa 72 mpaka ikachongwa mchongo kwamba yuko busy sana
 
Majasusi wa kimataifa walio na uwezo wa ajabu wameshamaliza kazi,

Putin wa Leo, si yule wa Kabla ya uvamizi wa Ukraine!

Afya yake imeshachokonolewa,

Mnaoangalia kwa jicho Kali na angavu, mtakubaliana ni Mimi kuwa, jamaa afya yake imeshachezewa!!

Muda utaongea!
Huyo Putin unaemzungumzia atakuwa lile shetani la Burigi lakini Putin wa Urusi hatishwi wala hawezi kutishwa na taasisi yoyote ya kijasusi hapa duniani
 
Huyo Putin unaemzungumzia atakuwa lile shetani la Burigi lakini Putin wa Urusi hatishwi wala hawezi kutishwa na taasisi yoyote ya kijasusi hapa duniani
Mbona inakuuma sana mkuu!

Yuko hivyo babaako sasa!
 
Kwahiyo nchi kuundiwa tume ni dalili za uimara? Mnapenda sifa za kijinga, kina Somalia na Rwanda wanaundiwa tume wakati wamejaaa utapiamlo nyinyi mnaona kuundiwa tume ni ushujaa.

Huwezi itenga Russian Federation na USSR au Russian empire. Hatuwezi kuwa tunazungumzia nchi iliyoanzishwa 1991 hapo eti ndio unaita iko stable. Lazima turudi nyuma kuihusisha ilivyokuwa, huwezi taka tusizungumzie uhuru wa Tanganyika au mapinduzi ya Zanzibar kisa hizi nchi ziliungana kwahiyo tufute kila kitu tuanzie 1964.

Unajua Russia inaadhimisha siku ya VDV lini? August 2 kuadhimisha siku ya kuanzisha first paratrooper division mwaka 1930. Hapo Russia Federation hii ilikuwepo?
Victory Day parade huwa ni May 9 kuadhimisha ushindi dhidi ya Nazi Germany mwaka 1945. Huo mwaka 1945 hii Federation ilikuwepo? Then why nchi ina matukio yote na maadhimisho, na wimbo wa taifa, na silaha na mikataba ambavyo vyote ni legacy ya USSR alafu kirahisi tu unasema tuachane na USSR. Kwamba wewe ni mjanja na wao wajinga kuitambua.

Unataka tuzungumzie kuanzia 1991 eti nchi ni stable alafu unaiita superpower. Kina Sweden ambao Freedom of Speech na Press kwenye katiba yao waliweka mwaka 1766 si tutasema wametoka nje ya dunia
Kuhusiana na super power mimi nimenukuu walosema hayo niwatu ambao walikaa wakatafiti wakaja na haya majibu ukibisha uje na fact
Unaifananisha RUSSIA iliotolewa G7 kwa ghilba na hizo failled state
Nchi ambayo imeanzishwa 1991 huwezi kuizungumzia wakat ndio hio unaizungumzia au kuna nchi leo inaitwa USSR!!?
Hayo yakuazimisha yamebakia kama historia na yataendelea kubakia hvyo wala hayana uhalisia wowote ule
Kutumia wimbo legacy ama chochote kilichopo wakati huo hakiondoi ukweli kwamba hakuna USSR yaani utake usitake USSR haipo
hayo mengine yamebakia kama historia ukiiongelea USSR utachelewa sana MKUU sababu haipo tena na huu ndio ukweli
Ishu yakimsingi hapa tusiihame yauimara wa taasisi ya urais wa PUT IN na RUSSIA kwaujumla wake
 
  • Thanks
Reactions: RTI
Kwa hiyo ww hoja yako ni ipi?
Kuwa Putin akifa au akiondoka madarakani Urusi itasambaratika au itaingia kwenye machafuko? Ebu weka mambo wazi unacho taka kumaanisha maana kuna kitu una taka kukimaanisha ila unazunguka mkuu.
Nashkuru kwakumuelewa naona kazunguka saaaana mpaka anatoka nje ya mada
 
Back
Top Bottom