Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,464
- 3,379
Hamchoki? Kipigo kiko pale pale kelele mtapiga wenyewe 🤦Majasusi wa kimataifa walio na uwezo wa ajabu wameshamaliza kazi,
Putin wa Leo, si yule wa Kabla ya uvamizi wa Ukraine!
Afya yake imeshachokonolewa,
Mnaoangalia kwa jicho Kali na angavu, mtakubaliana ni Mimi kuwa, jamaa afya yake imeshachezewa!!
Muda utaongea!
Labda uwe unamuongelea Putin wa Chato na sio huyu tunaye mjua.Majasusi wa kimataifa walio na uwezo wa ajabu wameshamaliza kazi,
Putin wa Leo, si yule wa Kabla ya uvamizi wa Ukraine!
Afya yake imeshachokonolewa,
Mnaoangalia kwa jicho Kali na angavu, mtakubaliana ni Mimi kuwa, jamaa afya yake imeshachezewa!!
Muda utaongea!
Hahaaa, mashambulizi ya kijasusi hayazingatii ulinzi wa makomandoo mkuuLabda uwe unamuongelea Putin wa Chato na sio huyu tunaye mjua.
Ulinzi wa Putin tunaye mjua sio sawa na wa Putin wa chato unaye muongelea.
CIA na Mosad wanatawala duniaMajasusi wa kimataifa walio na uwezo wa ajabu wameshamaliza kazi,
Putin wa Leo, si yule wa Kabla ya uvamizi wa Ukraine!
Afya yake imeshachokonolewa,
Mnaoangalia kwa jicho Kali na angavu, mtakubaliana ni Mimi kuwa, jamaa afya yake imeshachezewa!!
Muda utaongea!
uhakika ndugu ni lazima mtangulizane wotePutin Sasa hivi ni kama Hitra lazima aende kuzimu muda sio mrefu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio DUNIA tu MKUU mpaka AKHERACIA na Mosad wanatawala dunia
Aisee!!!Sio DUNIA tu MKUU mpaka AKHERA
Eeh bhana wee!!!CIA na Mosad wanatawala dunia
Usisahau Leo tunaingia mwezi wa tatu tangy Russia aivamie Ukraine. Kumbuka ilikuwa mission ya saa 72.Hamchoki? Kipigo kiko pale pale kelele mtapiga wenyewe 🤦
Don't worry si wapambe nux walikuja toa support sasa anawaonyesha show.Usisahau Leo tunaingia mwezi wa tatu tangy Russia aivamie Ukraine. Kumbuka ilikuwa mission ya saa 72.
Ahahahahaha! Wenzake wako huru kuzunguka hiku na huki yeye Putin hata kutoka ndani ya ofisi anaogopa! Hugo ndie atoe show. Kama mwamba mwabieni atumie nyuklia zake uone kama Russia haijabaki historia kama Messopotamia!Don't worry si wapambe nux walikuja toa support sasa anawaonyesha show.
Ulaya Magharibi hawana uwezo wowote wa kupambana na PutinKwa hivyo meza ya kilomita moja urefu haijafaa kuzuia mashambulizi?