Ila Mkuu Wewe Unatasema Hata Mzilankende Naye AlipapaswaYap Lila inafanya Kazi... Kwa ambao hamjuii Huo no mtamho wa CIA umefungwa huko Antarktika no hatari sana wana uwezo wa kuchagua wa kumzimaa... Kama unabisha kamulize pombe 🏃🏾🏃🏾🏃🏾
Watu Wema HawafiPutin ni malaika hawez kufaaa
Bhangi nyingine bhana.Yap Lila inafanya Kazi... Kwa ambao hamjuii Huo no mtamho wa CIA umefungwa huko Antarktika no hatari sana wana uwezo wa kuchagua wa kumzimaa... Kama unabisha kamulize pombe 🏃🏾🏃🏾🏃🏾
Acha utoto,pombe moyo mbovu ongeza koronaYap Lila inafanya Kazi... Kwa ambao hamjuii Huo no mtamho wa CIA umefungwa huko Antarktika no hatari sana wana uwezo wa kuchagua wa kumzimaa... Kama unabisha kamulize pombe 🏃🏾🏃🏾🏃🏾
Mimi sijaitowa telegram. Chanzo: 'Plugged Into Machines': Vladimir Putin in 'Stable but Serious Condition' and Doctors Are 'Not Optimistic' After Alleged Heart Attack, Sources ClaimChanzo kikuu kilichotoa taarifa hizi ni Telegram channel ambayo credibility yake huwa kubwa ila si ajabu imelishwa taarifa na FSB. Yawezekana ni kweli au wanalisha propaganda kuzubaisha OSINT channels au wanapima reaction itakuaje. Ila ni uhakika kwamba afya ya Putin sio imara sana.
Sijaamua kuamini kama ni kweli. Ila kinachotegemewa endapo Putin atafariki ni taarifa rasmi kucheleweshwa kwa muda mpaka inner circle wajipange ukizingatia wako na vita na Urusi yenyewe haiko stable kisiasa imeshikiliwa na mkono wa chuma na umakini mkubwa.
Soma hapo kwenye chanzo chako kinasema "source claim". Hata wao wamenukuu ila sababu ni media uchwara ndio maana haijasema imenukuu wapi, au haina uhakika na credibility ya waliponukuu.