To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
DaahYap Lila inafanya Kazi... Kwa ambao hamjuii Huo no mtamho wa CIA umefungwa huko Antarktika no hatari sana wana uwezo wa kuchagua wa kumzimaa... Kama unabisha kamulize pombe 🏃🏾🏃🏾🏃🏾
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DaahYap Lila inafanya Kazi... Kwa ambao hamjuii Huo no mtamho wa CIA umefungwa huko Antarktika no hatari sana wana uwezo wa kuchagua wa kumzimaa... Kama unabisha kamulize pombe 🏃🏾🏃🏾🏃🏾
Mwambieni na Katibu wenu mpyaDuh
Hii Dunia hii mbwembwe ni za bure Kabisa 🐼
Hata CIA wenyewe wakisikia hii watacheka na kukudharau.Russia ni nchi kubwa sana na hao CIA wanawaheshimu sana.Yap Lila inafanya Kazi... Kwa ambao hamjuii Huo no mtamho wa CIA umefungwa huko Antarktika no hatari sana wana uwezo wa kuchagua wa kumzimaa... Kama unabisha kamulize pombe [emoji1493][emoji1493][emoji1493]
MkuuYap Lila inafanya Kazi... Kwa ambao hamjuii Huo no mtamho wa CIA umefungwa huko Antarktika no hatari sana wana uwezo wa kuchagua wa kumzimaa... Kama unabisha kamulize pombe [emoji1493][emoji1493][emoji1493]
T14 Armata na dadangu faiza foxy hii taarifa ni propaganda. Japo mnatamani hili litokee lakini halitatokea.Chanzo kikuu kilichotoa taarifa hizi ni Telegram channel ambayo credibility yake huwa kubwa ila si ajabu imelishwa taarifa na FSB.....
Dhambi zinaua....Vladimir Putin anaaminika kuwa katika "hali mbaya lakini mbaya" na "aliingia kwenye mashine" baada ya kupata mshtuko wa moyo mwishoni mwa wiki, RadarOnline.com imeripoti...
Hapa hatujaongelea "death", tumeongelea mshtuko wa moyo (heart attack), ambacho ni kitu cha kawaida kwa binadam, wengi hupata mistuko midogo midogo ya moyo bila kujijuwa.Politico: "Putin's (still) not dead," Kremlin insists
Kremlin spokesman Dmitry Peskov on Friday denied rumors circulating on social media about Russian President Vladimir Putin's death, calling them a hoax. This is the second time this week that the Kremlin official has had to dismiss speculation about Putin's health.
Sanamu iyoPutin mbona jana alikuwa anaongea na wanasayansi chipukizi kwenye kiwanda cha maroket? Au ni sanamu lile?
Dada nawewe unatumia Google translator? Haina ladhaVladimir Putin anaaminika kuwa katika "hali mbaya lakini mbaya" na "aliingia kwenye mashine" baada ya kupata mshtuko wa moyo mwishoni mwa wiki, RadarOnline.com imeripoti.
Katika hatua ya kushangaza ya kuja kufuatia miezi kadhaa ya uvumi na ripoti kuhusu kiongozi huyo wa Urusi mwenye umri wa miaka 71 anayedaiwa kuwa na matatizo ya kiafya, vyanzo vya Kremlin vilidai kuwa Putin alipatwa na mshtuko wa moyo "kutisha" mjini Moscow Jumapili usiku.
Putin atakufa lakini ataingia mtu mwingine Kama yeye.Putin ni malaika hawez kufaaa
Hitla yuko wapi?Duh
Hii Dunia hii mbwembwe ni za bure Kabisa 🐼