Putin yupo kwenye mashine 'imara lakini hali mbaya,' Madaktari hawana imani sana baada ya kupata mshtuko wa moyo

Putin yupo kwenye mashine 'imara lakini hali mbaya,' Madaktari hawana imani sana baada ya kupata mshtuko wa moyo

Soma hapo kwenye chanzo chako kinasema "source claim". Hata wao wamenukuu ila sababu ni media uchwara ndio maana haijasema imenukuu wapi, au haina uhakika na credibility ya waliponukuu.

Source ya kwanza kabisa ni Telegram channel fulani masaa zaidi ya 7 yaliyopita.
Ahsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.

Siku hizi uongo na propaganda nyingi kwenye mtandao.
 
Mna penda kejeli mkijibiwa mnaanza kujiliza kwa mod.
😁😄😃😆😞 mjukuu wa mungu wa kikuresh mwenye wake 3 naona unapigana Jihad kupitia keyboard maana sio kwa matusi. Kumbe hata kutukana pia mmeahidiwa kupewa mabikira 70 wenye macho ya gololi😆😆😆😆😆😆😆😆😆😃😄😁
 
𝗛𝘂𝘂 𝘂𝘇𝗶 𝗻𝗶 𝘄𝗮 𝘃𝗶𝘁𝗮 𝗯𝗮𝗿𝗶𝗱𝗶
 
L
Yap Lila inafanya Kazi... Kwa ambao hamjuii Huo no mtamho wa CIA umefungwa huko Antarktika no hatari sana wana uwezo wa kuchagua wa kumzimaa... Kama unabisha kamulize pombe 🏃🏾🏃🏾🏃🏾
Lila ni Nini mkuu
 
Vladimir Putin anaaminika kuwa katika "hali mbaya lakini mbaya" na "aliingia kwenye mashine" baada ya kupata mshtuko wa moyo mwishoni mwa wiki, RadarOnline.com imeripoti.

Katika hatua ya kushangaza ya kuja kufuatia miezi kadhaa ya uvumi na ripoti kuhusu kiongozi huyo wa Urusi mwenye umri wa miaka 71 anayedaiwa kuwa na matatizo ya kiafya, vyanzo vya Kremlin vilidai kuwa Putin alipatwa na mshtuko wa moyo "kutisha" mjini Moscow Jumapili usiku.
Is your source credible?
 
[emoji16][emoji1][emoji2][emoji38][emoji20] mjukuu wa mungu wa kikuresh mwenye wake 3 naona unapigana Jihad kupitia keyboard maana sio kwa matusi. Kumbe hata kutukana pia mmeahidiwa kupewa mabikira 70 wenye macho ya gololi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji2][emoji1][emoji16]
Narudia tena kama unapenda kejeli basi na ww uwe na kifua cha kupokea kejeli maana kuna nyuzi nimekupiga pigo moja tu ukakimbilia kujiliza kwa mod.
 
Rais Putin yupo katika afya njema kabisa na ameonekana katika channel ya RT akiongea na Makamanda wake.kuhusu kudorora kwa uchumi Urusi ipo vitani lkn Uchumi wao bado imara kuliko Marekani wanaotegemea hela za waarabu wa Ghuba hasa Saudi Arabia.
 
Vladimir Putin anaaminika kuwa katika "hali mbaya lakini mbaya" na "aliingia kwenye mashine" baada ya kupata mshtuko wa moyo mwishoni mwa wiki, RadarOnline.com imeripoti.

Katika hatua ya kushangaza ya kuja kufuatia miezi kadhaa ya uvumi na ripoti kuhusu kiongozi huyo wa Urusi mwenye umri wa miaka 71 anayedaiwa kuwa na matatizo ya kiafya, vyanzo vya Kremlin vilidai kuwa Putin alipatwa na mshtuko wa moyo "kutisha" mjini Moscow Jumapili usiku.
kuna huu uvumi ingawa vyombo vikubwa vya habari vingi havijaripoti bado
 
Ahsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.

Siku hizi uongo na propaganda nyingi kwenye mtandao.
Sio uongo ni claim ambayo haiko verified. Ndio maana nasema sijaamua kuiamini nasubiri credible sources zifanye uchunguzi kwanza na zilete taarifa baadae.

Kwa sasa vyombo mbalimbali vinafuatilia ila vinahitaji mkono wa mashirika ya kijasusi yenye agents au yenye kuweza kufanya eavesdropping. Ukisikia WSJ, WaPo au NYT wametangaza na kusema "our source from Pentagon/MI6/Kremlin" na maneno kama hayo hapo unakaribia kubadili claim kuzifanya reality.
Na penyewe chances za kukosea zipo kama CNN walivyoamini Kim Jong kafeli upasuaji baada ya wiki akaibukia uzinduzi wa kiwanda cha mbolea.
 
Aisee ukigombana na Nchi za Magharibi jiandae tu kuishi kwa wasi wasi Mwingi hata PUTIN mwenyewe ni ngangari sana kusuguana nao mpaka dakika hii
JF Kennedy aligombana na nani?
Msiwaone watubwa magharibi kama malaika wanaoweza Kila kitu.
 
😁😄😃😆😞 mjukuu wa mungu wa kikuresh mwenye wake 3 naona unapigana Jihad kupitia keyboard maana sio kwa matusi. Kumbe hata kutukana pia mmeahidiwa kupewa mabikira 70 wenye macho ya gololi😆😆😆😆😆😆😆😆😆😃😄😁
Una bishana na huyo mvaa kobazi
 
Back
Top Bottom