Putin yupo kwenye mashine 'imara lakini hali mbaya,' Madaktari hawana imani sana baada ya kupata mshtuko wa moyo

Yap Lila inafanya Kazi... Kwa ambao hamjuii Huo no mtamho wa CIA umefungwa huko Antarktika no hatari sana wana uwezo wa kuchagua wa kumzimaa... Kama unabisha kamulize pombe πŸƒπŸΎπŸƒπŸΎπŸƒπŸΎ
Daah
 
Yap Lila inafanya Kazi... Kwa ambao hamjuii Huo no mtamho wa CIA umefungwa huko Antarktika no hatari sana wana uwezo wa kuchagua wa kumzimaa... Kama unabisha kamulize pombe [emoji1493][emoji1493][emoji1493]
Hata CIA wenyewe wakisikia hii watacheka na kukudharau.Russia ni nchi kubwa sana na hao CIA wanawaheshimu sana.
 
Yap Lila inafanya Kazi... Kwa ambao hamjuii Huo no mtamho wa CIA umefungwa huko Antarktika no hatari sana wana uwezo wa kuchagua wa kumzimaa... Kama unabisha kamulize pombe [emoji1493][emoji1493][emoji1493]
Mkuu

Naomba elezea kidogo kuhusu huo mtambo
 
Politico: "Putin's (still) not dead," Kremlin insists

Kremlin spokesman Dmitry Peskov on Friday denied rumors circulating on social media about Russian President Vladimir Putin's death, calling them a hoax. This is the second time this week that the Kremlin official has had to dismiss speculation about Putin's health.
 
Chanzo kikuu kilichotoa taarifa hizi ni Telegram channel ambayo credibility yake huwa kubwa ila si ajabu imelishwa taarifa na FSB.....
T14 Armata na dadangu faiza foxy hii taarifa ni propaganda. Japo mnatamani hili litokee lakini halitatokea.

Soon Mtamwona Vadimir Putin kwa machob yenu akiwa na afya njema kabisa. Putin sio Magufuli.
 
Hapa hatujaongelea "death", tumeongelea mshtuko wa moyo (heart attack), ambacho ni kitu cha kawaida kwa binadam, wengi hupata mistuko midogo midogo ya moyo bila kujijuwa.
 
Dada nawewe unatumia Google translator? Haina ladha
 
Dada nawewe unatumia Google translator? Haina ladha
Naitumia ka ajili ya wengi JF nao japo wapate habari na nikiwa na muda huwa nafanya editing, inasaidia sana mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…