bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Enzi za zamani kulikuwa na kile chuo cha utumiishi nadhani siku hizi serikali inaajiri tu bila ya watu hata kupewa a b c za utumishi serikalini.Hao wateuliwa wawe wanapitishwa chuo ili wajue nini waseme na nini waache.
Umeona ile clip ya yule mkandarasi wa Longido lakini? Hivi kweli mtu kama yule anatakiwa aende wapi akapatiwe haki yake jamani?Uongozi wa Makonda umejaa hadaa tupu.
Siku zote anaamini hadaa kwa mteuzi wake inatosha kumlinda dhidi ya uovu wake wote. Alifanya hivyo kwa marehemu. Marehemu alikuja kumshtukia wakati mambo yakiwa yamrharibika kabisa.
Kwa Samia nako mpaka sasa kafanikiwa kumhadaa kuwa ni yeye Makonda ndiye mwenye uchungu na upendo mkubwa naye kuliko wengine wote.
Wajinga ndiyo hufikiri hivi siku zote. Wewe ni mjinga. Badala ya kujenga nchi unapiga vita viongozi makini
Makonda katukana na kumdhalilisha mtumishi wa umma. LHRC chombo cha haki za kibinadami, UWT umoja wa wanawake CCM wameshamkosoa Makonda. Makonda kiburi na ego vinamuendesha. Yeye anasema walikuwa wapi wakati mama Samia anadhalilishwa!
Kwahiyo tuseme breki ya Makonda ni mama Samia. Makonda anatukana watu kwa vile anajua alisha mtetea mama Samia. Huo ni ujinga na umbumbumbu wa kisiasa.
Mama Samia anaheshimiwa sana, lakini heshima yake inashuka kwa sababu ya watu kama Makonda.
Puto lazima litobolewe.
View attachment 3001510
Ni suala la muda tu. Huyu mhalifu mwenye bahati lazima atakuja kabiliana na HAKIMU baada ya utawala wa Samia kwa tuhuma hizi:-
Makonda katukana na kumdhalilisha mtumishi wa umma. LHRC chombo cha haki za kibinadami, UWT umoja wa wanawake CCM wameshamkosoa Makonda. Makonda kiburi na ego vinamuendesha. Yeye anasema walikuwa wapi wakati mama Samia anadhalilishwa!
Kwahiyo tuseme breki ya Makonda ni mama Samia. Makonda anatukana watu kwa vile anajua alisha mtetea mama Samia. Huo ni ujinga na umbumbumbu wa kisiasa.
Mama Samia anaheshimiwa sana, lakini heshima yake inashuka kwa sababu ya watu kama Makonda.
Puto lazima litobolewe.
View attachment 3001510
Du....CV kali!Ni suala la muda tu. Huyu mhalifu mwenye bahati lazima atakuja kabiliana na HAKIMU baada ya utawala wa Samia kwa tuhuma hizi:-
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
Acha wivu wewe
Makonda katukana na kumdhalilisha mtumishi wa umma. LHRC chombo cha haki za kibinadami, UWT umoja wa wanawake CCM wameshamkosoa Makonda. Makonda kiburi na ego vinamuendesha. Yeye anasema walikuwa wapi wakati mama Samia anadhalilishwa!
Kwahiyo tuseme breki ya Makonda ni mama Samia. Makonda anatukana watu kwa vile anajua alisha mtetea mama Samia. Huo ni ujinga na umbumbumbu wa kisiasa.
Mama Samia anaheshimiwa sana, lakini heshima yake inashuka kwa sababu ya watu kama Makonda.
Puto lazima litobolewe.
View attachment 3001510
Achape kazi au aendelee na kiki?Wewe na wapumbavu wenzako kama mna cha kufanya fanyeni. Tushazichoka ngonjera zenu, Makonda chapa kazi mkuu.
Niwaalifu tu na wararushwa ndio mnao mchukia makonda
Makonda katukana na kumdhalilisha mtumishi wa umma. LHRC chombo cha haki za kibinadami, UWT umoja wa wanawake CCM wameshamkosoa Makonda. Makonda kiburi na ego vinamuendesha. Yeye anasema walikuwa wapi wakati mama Samia anadhalilishwa!
Kwahiyo tuseme breki ya Makonda ni mama Samia. Makonda anatukana watu kwa vile anajua alisha mtetea mama Samia. Huo ni ujinga na umbumbumbu wa kisiasa.
Mama Samia anaheshimiwa sana, lakini heshima yake inashuka kwa sababu ya watu kama Makonda.
Puto lazima litobolewe.
View attachment 3001510
Mgambo mnaruka na kukanyagana!!!
Makonda katukana na kumdhalilisha mtumishi wa umma. LHRC chombo cha haki za kibinadami, UWT umoja wa wanawake CCM wameshamkosoa Makonda. Makonda kiburi na ego vinamuendesha. Yeye anasema walikuwa wapi wakati mama Samia anadhalilishwa!
Kwahiyo tuseme breki ya Makonda ni mama Samia. Makonda anatukana watu kwa vile anajua alisha mtetea mama Samia. Huo ni ujinga na umbumbumbu wa kisiasa.
Mama Samia anaheshimiwa sana, lakini heshima yake inashuka kwa sababu ya watu kama Makonda.
Puto lazima litobolewe.
View attachment 3001510
Tunamchukia mtu mwenye tuhuma za utekaji!, Kuingia kijinai Clouds, na yale ya Lisu.Niwaalifu tu na wararushwa ndio mnao mchukia makonda
Hakuna anaye mchukia matendo yake siyoHuyu jamaa anachukiwa sna aliwafanya nn[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hilo ujipe jibu mwenyeweAchape kazi au aendelee na kiki?
Sa
Makonda katukana na kumdhalilisha mtumishi wa umma. LHRC chombo cha haki za kibinadami, UWT umoja wa wanawake CCM wameshamkosoa Makonda. Makonda kiburi na ego vinamuendesha. Yeye anasema walikuwa wapi wakati mama Samia anadhalilishwa!
Kwahiyo tuseme breki ya Makonda ni mama Samia. Makonda anatukana watu kwa vile anajua alisha mtetea mama Samia. Huo ni ujinga na umbumbumbu wa kisiasa.
Mama Samia anaheshimiwa sana, lakini heshima yake inashuka kwa sababu
Sahau
Makonda katukana na kumdhalilisha mtumishi wa umma. LHRC chombo cha haki za kibinadami, UWT umoja wa wanawake CCM wameshamkosoa Makonda. Makonda kiburi na ego vinamuendesha. Yeye anasema walikuwa wapi wakati mama Samia anadhalilishwa!
Kwahiyo tuseme breki ya Makonda ni mama Samia. Makonda anatukana watu kwa vile anajua alisha mtetea mama Samia. Huo ni ujinga na umbumbumbu wa kisiasa.
Mama Samia anaheshimiwa sana, lakini heshima yake inashuka kwa sababu ya watu kama Makonda.
Puto lazima litobolewe.
View attachment 3001510
Kwani kusemwa ndio kutatua tatizo?.Watasemwa kila siku lakini haiwezi kuleta tija yoyote kama hatutashughulikia tatizo kwenye mizizi ili nchi nzima ipone.Tofauti na hapo ni porojo tu za kusutana baada ya miezi 3 kila kitu kimeshahaulika.mambo yanarudi kama kawaida.SERIKALI ZA AFRICA KAMA SIYO ZA DUNIA NI ZA KINJINGA KABISA .UNAWEKA MISINGI MIBOVU ETI MTUMISHI WA UMMA MWIZI NA MZEMBE ASISEMWE HADHARANI KWA SABABU ITAKUWA NI KUMDHARILISHA ? UNAKULA KODI ZA MASKINI THEN UNALINDWA NA MFUMO MBOVU ILI USISEMWE.UNAIBA KODI ZA WALALAHOI THEN MFUMO UNAKUTAKA UHAMISHWE KITUO ILI UENDELEE KUIBA HUKO UNAKOPELEKWA. HIVI HII IMMUNITY YA BKIJINGA ILITUNGWA NA NANI?
Ngoma ikivuma sana , inapasuka!
Makonda katukana na kumdhalilisha mtumishi wa umma. LHRC chombo cha haki za kibinadami, UWT umoja wa wanawake CCM wameshamkosoa Makonda. Makonda kiburi na ego vinamuendesha. Yeye anasema walikuwa wapi wakati mama Samia anadhalilishwa!
Kwahiyo tuseme breki ya Makonda ni mama Samia. Makonda anatukana watu kwa vile anajua alisha mtetea mama Samia. Huo ni ujinga na umbumbumbu wa kisiasa.
Mama Samia anaheshimiwa sana, lakini heshima yake inashuka kwa sababu ya watu kama Makonda.
Puto lazima litobolewe.
View attachment 3001510
Wewe ni mwehu mwandamizi,achape kazi na dripu mwilini??Wewe na wapumbavu wenzako kama mna cha kufanya fanyeni. Tushazichoka ngonjera zenu, Makonda chapa kazi mkuu.
Hao LHRC mbona hawakwenda Iraq na Libya kuwatetea wale marais waliouawa kinyama na wafadhili wao hao wamarekani??UWT ni umoja wa wahuni na wadangaji na hao LHRC ni kikundi cha kutetea waovu na wabadhirifu kwenye ukweli huwaoni kusimama ingefutwa tu taasisi ya kihuni kabisa!
Kwani yeye Makonda siyo wa jinsia moja? Mbona marehemu wa Urambo six alimtatua marinda?Inasikitisha sana kuona watu na ability zao timamu wanaeneza chuki dhidi ya Paul. Chuki juu ya Paul zilianza pale Dar alipowakamata wale watumiao mapenzi ya jinsia moja basi taifa moja likamzuia asiende kwenye nchi yao na mpaka leo wanatumia fedha nyingi kuwarubuni watu kumchukia Paul. Julie jee wewe pia umelipwa? Wenzako wanalipwa
Ana shepu kama la wema sepetu😅Kwani yeye Makonda siyo wa jinsia moja? Mbona marehemu wa Urambo six alimtatua marinda?
View attachment 3051814