Puto la Makonda linakaribia kupasuka?

Puto la Makonda linakaribia kupasuka?

Hao wateuliwa wawe wanapitishwa chuo ili wajue nini waseme na nini waache.
Enzi za zamani kulikuwa na kile chuo cha utumiishi nadhani siku hizi serikali inaajiri tu bila ya watu hata kupewa a b c za utumishi serikalini.
 
Uongozi wa Makonda umejaa hadaa tupu.

Siku zote anaamini hadaa kwa mteuzi wake inatosha kumlinda dhidi ya uovu wake wote. Alifanya hivyo kwa marehemu. Marehemu alikuja kumshtukia wakati mambo yakiwa yamrharibika kabisa.

Kwa Samia nako mpaka sasa kafanikiwa kumhadaa kuwa ni yeye Makonda ndiye mwenye uchungu na upendo mkubwa naye kuliko wengine wote.
Umeona ile clip ya yule mkandarasi wa Longido lakini? Hivi kweli mtu kama yule anatakiwa aende wapi akapatiwe haki yake jamani?

Hata kama Makonda ana ubaya gani lakini hayo anayoibua kwa kweli yanasikitisha sana
 

Makonda katukana na kumdhalilisha mtumishi wa umma. LHRC chombo cha haki za kibinadami, UWT umoja wa wanawake CCM wameshamkosoa Makonda. Makonda kiburi na ego vinamuendesha. Yeye anasema walikuwa wapi wakati mama Samia anadhalilishwa!

Kwahiyo tuseme breki ya Makonda ni mama Samia. Makonda anatukana watu kwa vile anajua alisha mtetea mama Samia. Huo ni ujinga na umbumbumbu wa kisiasa.

Mama Samia anaheshimiwa sana, lakini heshima yake inashuka kwa sababu ya watu kama Makonda.

Puto lazima litobolewe.
View attachment 3001510
Wajinga ndiyo hufikiri hivi siku zote. Wewe ni mjinga. Badala ya kujenga nchi unapiga vita viongozi makini
 

Makonda katukana na kumdhalilisha mtumishi wa umma. LHRC chombo cha haki za kibinadami, UWT umoja wa wanawake CCM wameshamkosoa Makonda. Makonda kiburi na ego vinamuendesha. Yeye anasema walikuwa wapi wakati mama Samia anadhalilishwa!

Kwahiyo tuseme breki ya Makonda ni mama Samia. Makonda anatukana watu kwa vile anajua alisha mtetea mama Samia. Huo ni ujinga na umbumbumbu wa kisiasa.

Mama Samia anaheshimiwa sana, lakini heshima yake inashuka kwa sababu ya watu kama Makonda.

Puto lazima litobolewe.
View attachment 3001510
Ni suala la muda tu. Huyu mhalifu mwenye bahati lazima atakuja kabiliana na HAKIMU baada ya utawala wa Samia kwa tuhuma hizi:-
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
 
Ni suala la muda tu. Huyu mhalifu mwenye bahati lazima atakuja kabiliana na HAKIMU baada ya utawala wa Samia kwa tuhuma hizi:-
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
Du....CV kali!
 

Makonda katukana na kumdhalilisha mtumishi wa umma. LHRC chombo cha haki za kibinadami, UWT umoja wa wanawake CCM wameshamkosoa Makonda. Makonda kiburi na ego vinamuendesha. Yeye anasema walikuwa wapi wakati mama Samia anadhalilishwa!

Kwahiyo tuseme breki ya Makonda ni mama Samia. Makonda anatukana watu kwa vile anajua alisha mtetea mama Samia. Huo ni ujinga na umbumbumbu wa kisiasa.

Mama Samia anaheshimiwa sana, lakini heshima yake inashuka kwa sababu ya watu kama Makonda.

Puto lazima litobolewe.
View attachment 3001510
Acha wivu wewe IMG_20240528_162550.jpg
 

Makonda katukana na kumdhalilisha mtumishi wa umma. LHRC chombo cha haki za kibinadami, UWT umoja wa wanawake CCM wameshamkosoa Makonda. Makonda kiburi na ego vinamuendesha. Yeye anasema walikuwa wapi wakati mama Samia anadhalilishwa!

Kwahiyo tuseme breki ya Makonda ni mama Samia. Makonda anatukana watu kwa vile anajua alisha mtetea mama Samia. Huo ni ujinga na umbumbumbu wa kisiasa.

Mama Samia anaheshimiwa sana, lakini heshima yake inashuka kwa sababu ya watu kama Makonda.

Puto lazima litobolewe.
View attachment 3001510
Niwaalifu tu na wararushwa ndio mnao mchukia makonda
 

Makonda katukana na kumdhalilisha mtumishi wa umma. LHRC chombo cha haki za kibinadami, UWT umoja wa wanawake CCM wameshamkosoa Makonda. Makonda kiburi na ego vinamuendesha. Yeye anasema walikuwa wapi wakati mama Samia anadhalilishwa!

Kwahiyo tuseme breki ya Makonda ni mama Samia. Makonda anatukana watu kwa vile anajua alisha mtetea mama Samia. Huo ni ujinga na umbumbumbu wa kisiasa.

Mama Samia anaheshimiwa sana, lakini heshima yake inashuka kwa sababu ya watu kama Makonda.

Puto lazima litobolewe.
View attachment 3001510
Mgambo mnaruka na kukanyagana!!!
 
Sa

Makonda katukana na kumdhalilisha mtumishi wa umma. LHRC chombo cha haki za kibinadami, UWT umoja wa wanawake CCM wameshamkosoa Makonda. Makonda kiburi na ego vinamuendesha. Yeye anasema walikuwa wapi wakati mama Samia anadhalilishwa!

Kwahiyo tuseme breki ya Makonda ni mama Samia. Makonda anatukana watu kwa vile anajua alisha mtetea mama Samia. Huo ni ujinga na umbumbumbu wa kisiasa.

Mama Samia anaheshimiwa sana, lakini heshima yake inashuka kwa sababu
Sa

Makonda katukana na kumdhalilisha mtumishi wa umma. LHRC chombo cha haki za kibinadami, UWT umoja wa wanawake CCM wameshamkosoa Makonda. Makonda kiburi na ego vinamuendesha. Yeye anasema walikuwa wapi wakati mama Samia anadhalilishwa!

Kwahiyo tuseme breki ya Makonda ni mama Samia. Makonda anatukana watu kwa vile anajua alisha mtetea mama Samia. Huo ni ujinga na umbumbumbu wa kisiasa.

Mama Samia anaheshimiwa sana, lakini heshima yake inashuka kwa sababu ya watu kama Makonda.

Puto lazima litobolewe.
View attachment 3001510
Sahau
 
SERIKALI ZA AFRICA KAMA SIYO ZA DUNIA NI ZA KINJINGA KABISA .UNAWEKA MISINGI MIBOVU ETI MTUMISHI WA UMMA MWIZI NA MZEMBE ASISEMWE HADHARANI KWA SABABU ITAKUWA NI KUMDHARILISHA ? UNAKULA KODI ZA MASKINI THEN UNALINDWA NA MFUMO MBOVU ILI USISEMWE.UNAIBA KODI ZA WALALAHOI THEN MFUMO UNAKUTAKA UHAMISHWE KITUO ILI UENDELEE KUIBA HUKO UNAKOPELEKWA. HIVI HII IMMUNITY YA BKIJINGA ILITUNGWA NA NANI?
Kwani kusemwa ndio kutatua tatizo?.Watasemwa kila siku lakini haiwezi kuleta tija yoyote kama hatutashughulikia tatizo kwenye mizizi ili nchi nzima ipone.Tofauti na hapo ni porojo tu za kusutana baada ya miezi 3 kila kitu kimeshahaulika.mambo yanarudi kama kawaida.
 

Makonda katukana na kumdhalilisha mtumishi wa umma. LHRC chombo cha haki za kibinadami, UWT umoja wa wanawake CCM wameshamkosoa Makonda. Makonda kiburi na ego vinamuendesha. Yeye anasema walikuwa wapi wakati mama Samia anadhalilishwa!

Kwahiyo tuseme breki ya Makonda ni mama Samia. Makonda anatukana watu kwa vile anajua alisha mtetea mama Samia. Huo ni ujinga na umbumbumbu wa kisiasa.

Mama Samia anaheshimiwa sana, lakini heshima yake inashuka kwa sababu ya watu kama Makonda.

Puto lazima litobolewe.
View attachment 3001510
Ngoma ikivuma sana , inapasuka!

Hivi kufukuzisha watu wanafanya manispaa, wamesota wanakaribia kustaafu na kuwaharibia mafao yao , wacha nikae kimya!
 
UWT ni umoja wa wahuni na wadangaji na hao LHRC ni kikundi cha kutetea waovu na wabadhirifu kwenye ukweli huwaoni kusimama ingefutwa tu taasisi ya kihuni kabisa!
Hao LHRC mbona hawakwenda Iraq na Libya kuwatetea wale marais waliouawa kinyama na wafadhili wao hao wamarekani??
 
Inasikitisha sana kuona watu na ability zao timamu wanaeneza chuki dhidi ya Paul. Chuki juu ya Paul zilianza pale Dar alipowakamata wale watumiao mapenzi ya jinsia moja basi taifa moja likamzuia asiende kwenye nchi yao na mpaka leo wanatumia fedha nyingi kuwarubuni watu kumchukia Paul. Julie jee wewe pia umelipwa? Wenzako wanalipwa
Kwani yeye Makonda siyo wa jinsia moja? Mbona marehemu wa Urambo six alimtatua marinda?
Screenshot_20240716_193908_Google.jpg
 
Back
Top Bottom