Puuzeni taarifa ya Nipashe, hakuna uchotaji fedha BoT

Nasikita tumepata bahati mbaya kuwa na viongozi wapigaji awamu hii.
 
Mtuhumiwa anasema tupuuze taarifa ambazo yeye ndiye muhusika. Zile za EPA walificha mwishowe wakampeleka Balali uhamishoni na kudai amekufa.
 
Ukoo wa panya huu, hizi tabia za uizi hazianzi ukubwani..udokozi ulianza utotoni..haya ni matokeo ya kuulea ujinga. Msubiri ulimwengu uwafunze kuna siku mtapata akili uzeeni mwenu. kwanini mnaiba aisee!!?...mmeapa kwa Biblia na Quran mkiwa mmezinyenyua juu....why mna dharau na imani zenu?...inamaana Biblia na Quran zimewabariki ninyi tu kuiba mali??
 
Kuna wakati hata mmoja aliwahi kuombwa kuingia hapa jf, kwanza si yupo hapa jf kabla ya huo uwaziri wake.
Ameleta hoja ijadiliwe nae awepo kwenye hoja, ameleta taarifa, awepo kwenye mjadala wa taarifa, ameleta ufafanuzu awepo kwenye kufafanua kwa kina.
 
Hawajibiki kwa jf kivipi we mzee! Anawajibika kwa wananchi, na jf tupo wananchi. Sasa tumshukuru vipi kwa kutimiza wajibu wake!! Yeye ndio anapaswa aishukuru jf kwakuwa ni platform iliyompa wasaa wa kuweza kuwajibika kwa wananchi.
 
Tunajua yote kuwa fedha ya umma unachukua unaenda kuwapa ihefu kununua timu na kuwalipa mishahara wachezaji.
Muda utafika tu mwigulu
 
mtuhumiwa anasema tupuuze taarifa ambazo yeye ndiye muhusika. Zile za EPA walificha mwishowe wakampeleka Balali uhamishoni na kudai amekufa.
Hii nchi ngumu sana siku hizi wamekuwa malaika watoa roho yaani hivi hivi wanamficha DEA BALALI governor na kusema amekufa kuepuka fedheha

Huyu mzee skendo ni nyingi ni bora tu ajiuzulu nafasi yake
 
Mbona kuvuga mambo sasa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…