Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Hhhaa sisy bwana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subhana'Allaah, Allah awafanyie tahfifu majeruhi wa ajali na awarehemu marehemu woteKuna tetesi kuwa kuna ajali imetokea huko mkoani Pwani wilaya ya Mkuranga, Gari ya kampuni ya Dangote imegongana uso kwa uso na gari aina ya Costa.
Sent from my itel S32 using Tapatalk
=====
Watu 18 wamefariki na wengine 15 kujeruhiwa baada ya magari mawili kugongana katika kijiji cha Kilimahewa Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani.
Akizungumza na Mwananchi leo Jumatano Aprili 15, 2020 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji, Onesmo Lyanga amesema ajali hiyo imehusisha lori na gari la abiria aina ya Toyota Coaster.
“Ni Kweli tuko kwenye eneo la tukio, ajali imetokea na imesababisha vifo vya watu 18 na majeruhi 15,” amesema Lyanga.
Amesema ajali hiyo imetokea leo asubuhi baada ya Coaster hiyo iliyokuwa ikitokea mikoa ya Kusini kwenda Dar es Salaam iligongana na lori hilo lililokuwa likitokea Kimanzichana.
Kamanda Lyanga amesema majeruhi katika ajali hiyo wamepelekwa katika kituo cha afya cha Kilimahewa.
Chanzo ni barabara mbovu na mwendo kasi wa costa.
Kama ni chanzo cha habari ni kimbendengu
Usinijumuishe na mm mkuu..jiandike mwenyewe!kama anatupenda asingewanyanyasa matajiri namna hyo bwana! Asingeua hovyohovyo
Rip na pole kwa wafiwa.
Lakini ukiangalia hii picha si gari ya dangote angawa mtoa taarifa ametaja gari ya dangoteKuna nini madereva wa gari za Dangote? mbona matukio ya ajali za haya magari ni mengi? Nashauri kitengo kinachohusika Traffic kikawafanyie usahili hao madereva wa Dangote kuthibitisha kama wana weledi wa kuitwa madereva
Usinijumuishe na mm mkuu..jiandike mwenyewe!kama anatupenda asingewanyanyasa matajiri namna hyo bwana! Asingeua hovyohovyo
Matajiri gani wamenyanyaswa unaowatetea? Hawa wauza madawa ya kulevya ?
Watu gani ameua?
Sent using Jamii Forums mobile app