Pwani: Ajali ya Magari imeua Watu 21 na wengine 15 kujeruhiwa. Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi

Subhana'Allaah, Allah awafanyie tahfifu majeruhi wa ajali na awarehemu marehemu wote
 
Barabara ina mashimo sana japo ni lami..kwa wale waliopita njia hiyo hivi karibuni ni mashahidi,ni kugombea nani apite sehemu nzuri..japo mwendo kasi pia ni tatizo,hizo Coaster za Ikwiriri zinamwagika sana..
 
Mbona kila wakati ni Dangote, Dangote, amewekeza Sana kwenye damu nini! Mbona kampuni zingine hatusikii Sana kuhusu ajali!!? Hapana buana!! Ndo kusema kwamba anamagari mengi Sana yanayotembea barabarani Kwa siku!! Mmmmh,!
 
Kuna nini madereva wa gari za Dangote? mbona matukio ya ajali za haya magari ni mengi? Nashauri kitengo kinachohusika Traffic kikawafanyie usahili hao madereva wa Dangote kuthibitisha kama wana weledi wa kuitwa madereva
Lakini ukiangalia hii picha si gari ya dangote angawa mtoa taarifa ametaja gari ya dangote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini za Asubuhi wana pwani yetu.

Naomba kuwajuza kuwa Mkuranga kumetokea ajali mbaya sana ambayo imepoteza maisha ya ndugu zetu zaidi ya ishirini Asubuhi hii.

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…