Pwani: Magari yagongana uso kwa uso, wanne wafariki

Duh

Ova
 
Exactly [emoji817]

Ova
 


 
Hakika
 
Aiseee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh 🙄 !! Maneno gani hiyo tena. ???!!!
 
Heeh !!!
 
Waliotengeneza pamoja na hizi kampuni zinauza hawana utaalamu wa ugunduzi wa matatizo kama haya na kufanya kitu kinaitwa Recall ili kufanya marekebisho ambayo ni Free. Kwa jinsi hii na nchi zetu za uchakachuaji mengi yatajitokeza.
 
Mchepuko naye atakufa ataziacha. Ni kawaida hamna jipya.

Masuala binafsi haya.

Kifo hakichagui boss, hata angempa mumewe zote angekufa. Usione kama ni malipo ya alichokifanya.
Mkuu usimzibe mdomo, acha tujifunze kuishi vema ktk dunia hii yenye kupita, kupitia mafunzo ya wengine.kuna elimu wala usimzibe mdomo.
 
Reactions: Tsh
Mkuu usimzibe mdomo, acha tujifunze kuishi vema ktk dunia hii yenye kupita, kupitia mafunzo ya wengine.kuna elimu wala usimzibe mdomo.
Sawa boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…