raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Huyo dada umemuamuliaIla alikua haringii, alikua mtu wawatu, full story kwa watu,alikua mshauri,
Japo ukuta wa nyumba yake alisogeza hadi barabarani/alivuka mpaka akatupa shida kugeuza na magari yetu hadi leo(barabarani ikawa nyembamba)[emoji23]
Kwa mafundi ujenzi ndio aliniacha HOI na mimi hii staili aliekua anaitumia lazima niitumiee aisee[emoji23]
@ Akikuuliza hii nyumba inahitaji matofali mangapi? Mbao ngapi?? Bati ngapi?? Cement ngapi?? Rangi ndoo ngapi? Nondo ngapi?? ALAFU akaja kuvinunuaa THEN wewe fundi uje KUVIBAKISHAAAA[emoji119][emoji119] iwe vyotee au kimoja wapo?? Lazima akukate kwenye malipo atakayo kulipa( yani ana kuuzia kwa Bei ile ile alienda kununua iko ulicho bakisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HANA BAYAA r.I.p Dada yetuu[emoji25][emoji25]
Nyumba 6 tu unamuandikia kurasa kuna watu wana nyumba 40