Pwani: Magari yagongana uso kwa uso, wanne wafariki

Pwani: Magari yagongana uso kwa uso, wanne wafariki

Kila siku tunapiga kelele suala la upanuzi wa barabara ya Morogoro road, line mbili za kupishana zitaendelea kusababisha ajali kila siku

Kuna haja ya upanuzi wa hivi barabara serikali iangalie hili ni muhimu sana maana hizi barabara inatumiwa sana na magari mengi na ndio inayofungua nchi.
Umenena vyema sana Mkuu,
 
Wengi wetu tuna overtake kwa papara sana mimi marafiki zangu wa karibu wananishangaa mbona naendesha gari kezee zee sana wananiacha lakini nawakuta mbele wanavyopaparika ku overtake wanachungulia mara wanarudi mimi nakua nyuma yao tu nawazoom sasa nikikaa mimi kulia nawakata wote kisha nasimamia ukucha 160 kwa saa wananikuta mbele kwenye mgahawa namalizia kula
Kuwa makini 160kph Kwa hii mikweche ya kijapani na Barabara zetu ni risk.
 
Yes mkuu,ujue watu wana-base kusema mama/bana hata awe kichaa ni baba/mama tu,No ni uongo,binafsi sipatani na mama mzazi kabisa,kaniacha mikononi mwa baba nikiwa na mwaka mmoja na miezi minne,baada ya mwaka mmoja kabeba mimba na kuzaa na mwanamme mwingine,bila ya kuja hata kuniona,I was to die,ila mungu akawa upande wangu.

Hadi sasa nikisikia mtu anasema nani kama mama huwa nakasirika sana,nafarijika sana nikisikia nani kama baba,
Pole sana mkuu. Hili lilinishangaza kuliona ni kawaida sana kwa warombo. Watoto wengi wametelekezwa na mama zao either kwa baba zao au babu na bibi.
 
Daaah rest in paradise 😢... Kuna mwaka boss wangu walibadilishana gari na rafikiake sasa tukapanga safari kwenda tanga usiku kupita njia ya bagamoyo sasa wakati tunakaribia mto ruvu mbele kuna scania ikajaa upande wangu kila nikimpigia full light+honi wapi ikabidi nitoke nje ya barabara daah yule fala akapita na side mirror yani ilibaki kidogo atuue pale pale tukashauriana na mshua tukageuza kumfukuzia tukamkuta sijui ndo mizani pale wanapaita daraja la makofia kumbe dereva limelewa kampa gari turnboy aendeshe aisee uwo moto tulio uswasha alijuta hata sahau maisha yake yote.
Hii utakaaa usahau kabisa, ulitumia nguvu na akili nyingi sana mkuu hongera sana.
 
Alafu usiku ukimtanguliza mtu inapendeza maana atakusaidia ku-block mwanga wa mbele alafu ndo kipimo cha Barabara maana akilivaa shimo /speed bumb unaona anavyorushwa au akipunguza na wewe unapunguza, kikubwa ni "ku-keep distance" na taa za gari za breki na parking za gari ya mbele ziwe zinafanya kazi na iwe inakwenda speed ambayo na wewe unaimudu. Sio kuongozana na VIETEEE alafu gari lako halina kifua
Hata mimi wakati mwengine night nikiwa pekeangu hua nafanya hivyo natanguliza tanker la mafuta au gari yoyote ndogo lakini sio V8 au wakina crown huko labda na mimi niwe na mashine kubwa km ya cc 2500 au 3000 na kuendelea😀
 
Kwa uzoefu wangu mdogo wa kuendesha "highway" aka mkoa kwa mkoa, yaani hata gari likupite kwa kasi ya jabu huku wewe ukiendesha speed ya kawaida lazima utalikuta mbele limebananishwa na malori linahangaika ku-overtake maana kila likichungulia kuna chombo kinakuja na mbele take kuna Lori 3 zimeongozana
[emoji23][emoji23][emoji23] kabisa. Leo kuna bitozi alitupita jioni na subaru speed kali mitaa ya kyabakali kila mtu akawa anasonya...

Kufika lamadi tukamkuta kaegesha gari pembeni anakunywa supu! Sasa tukawa tunajiuliza alikua na sababu gani ya kuchomoka mwendo mkali ule kama alichokua anawahi ni supu ya kongoro [emoji848]..
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kabisa. Leo kuna bitozi alitupita jioni na subaru speed kali mitaa ya kyabakali kila mtu akawa anasonya...

Kufika lamadi tukamkuta kaegesha gari pembeni anakunywa supu! Sasa tukawa tunajiuliza alikua na sababu gani ya kuchomoka mwendo mkali ule kama alichokua anawahi ni supu ya kongoro [emoji848]..
Wengine akiwa peke take anakwenda speed ya kawaida ila akiliona gari mbele yake au nyuma ndo anaamua kufanya manjonjo ya kukimbia bila kupanga
 
Kabisa,uzembe wa hali ya juu.Sijui kwa nini dada zake hata walimwamini.Halafu wana hela si wangepanda hata précision air jamani.
Hiyo Precision Air nayo ingeanguka tu halafu muanze kusema wana ma Prado si wangeendesha tu? Zikifika zimefika. Cha muhimu sisi binadamu tujiweke tayari maana tunaweza kuitwa wakati wo wote 🙏🏿
 
Back
Top Bottom