clemsha789
Senior Member
- Jul 1, 2023
- 198
- 335
Wapumzike kwa amani ya Bwana, nishauri kitu kama huna uzoefu au uhakika wa safari ndefu tena usiku usijaribu,wapo madereva wengi wazoefu unaweza omba wakusaidie tupunguze ujuaji vitu vinavyoweza hatarisha maisha yetu