Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Na mafuta utumie mengi pia, speed 50 unaijua Mzee ukiendesha kwenda mikoani, hapo in kuendesha speed unayoimudu na kufuata alama za barabarani. Kubwa zaidi kama huna uzowfu kwa safari za mbali aka njia kuu usiendeshe au safari mchana. Huyo possibly ni usingizi akahama njia na hakuwa anakwepa kituSpeed zinatumaliza. Laiti ungelikuwa unaoyaona yajayo, ungeendesha speed 50 uchelewe kufika ila ufike. Poleni sana wahusika.