Pwani: Magari yagongana uso kwa uso, wanne wafariki

Pwani: Magari yagongana uso kwa uso, wanne wafariki

Speed zinatumaliza. Laiti ungelikuwa unaoyaona yajayo, ungeendesha speed 50 uchelewe kufika ila ufike. Poleni sana wahusika.
Na mafuta utumie mengi pia, speed 50 unaijua Mzee ukiendesha kwenda mikoani, hapo in kuendesha speed unayoimudu na kufuata alama za barabarani. Kubwa zaidi kama huna uzowfu kwa safari za mbali aka njia kuu usiendeshe au safari mchana. Huyo possibly ni usingizi akahama njia na hakuwa anakwepa kitu
 
Ndo akina msuya hawa??
Hujawaho kwenda kwenu..miaka na miaka..baba yenu anawaita njoo nyumbana niongee nanyi..mnajifanya busy..mnachofanya ni kumchukua mama yenu na kukaa nae mjin na baba anabaki kijijin akiwa hana msaada wowote huku AMEINAMISHA nafsi yake kwa sababu ya matendo yenu...linakuja kutokea tatizo kubwa pasipo kureconcile na baba yenu mnajibeba mnaenda.........
Aisee...
 
Na mafuta utumie mengi pia, speed 50 unaijua Mzee ukiendesha kwenda mikoani, hapo in kuendesha speed unayoimudu na kufuata alama za barabarani.
Ni kweli mkuu km50/h kama unaenda mbali ni changamoto ila mafuta yanaliwa sana ukiendesha above 119km/h. Ila 50-119km/h consumption ni nzuri. Speed nzuri ni 80km/h pale vibao vinaporuhusu.

Kubwa zaidi kama huna uzowfu kwa safari za mbali aka njia kuu usiendeshe au safari mchana.
Sahihi. Na hata kama una uzoefu, ni bora kuutumia badala ya kuupuuza ukaanza kukimbia hovyo.
Huyo possibly ni usingizi akahama njia na hakuwa anakwepa kitu
Usingizi ni hatari. Hata mm imeshanitokea mara mbili sababu ya kujiona nina uzoefu. Sasa hivi nina adabu na barabara.
 
Umejenga majumba makubwa Tabata, kisirisiri ili mumewe asijue, sasa sijui itakuaje? Kamq nakiona vile kibenten chake kikiwa tajiri[emoji23].

Mumewe alikua haongei chochote kwake cz pesa hana[emoji2955]

Natoka muda wowote saa yeyeto, naenda nchi za njee nakaa miezi hadi mwaka, sitaki mume unipangie pesa ni zangu elimu ni yangu[emoji2955]
Kama ww umejua kwann wengine wasijue au ndio kiben ten chenyewe?
 
Which is mechanical failure. Wao wamesha conclude ni human error,.

"Uzembe wa dereva wa Prado kuhama njia..... Mwendo wa ngiri mkia juu."

Kichwa cha mweusi hakikuzoeshwa kuchambua chambua mambo, kutafuta majawabu ya uhakika, ndo maana matatizo yetu hayapungui.
Ufanyaji kazi wa jeshi la polisi unanikumbusha enzi za sekondari ktk somo la History Kuna points ukiwa nazo kichwan basi hufeli mtihani nazo ni:
-Poor infrastructure
-Lack of capital
-Cheap labor nk
 
Kwahiyo huyo dreva wako mzoefu ndio hawezi kupata ajali?
Humu wajuaji wengi sana, hawajui visababishi vya ajali ni vingi sana kwa barabara zetu. Mdosi mmoja aliwahi kumuajiri dereva wa Jeshi mstaafu, jamaa alikuwa vizuri sana kwenye usukani, mwisho wa siku ajali ikawatafuna familia nzima, tena ikisababishwa na uzembe wa dereva wa coaster
 
Mimi ninahisi atakuwa Diana,yule kaolewa na Msukuma.Diana ni mfanya biashara na alikuwa anasafiri kwenda nje ya nchi mara nyingi. Sia anafanya kazi NSSF ni ngumu kwenda nje miezi,Nora anafanya kazi Mzumbe Uni,ni ngumu pia kusafiri miezi kwenda nje.
Mama Mageta ?! Hapana.

Biashara alizokuwa anafanya:
1. Upishi kwenye mashughuli (ndio biashara kuu aliyokuwa anafanya muda wote)
2. Duka la nafaka Tuangoma( alifunga baada ya muda)
3. Alikuwa analima nyanya katika kiwanja cha jirani yake(kwa msimu)

Kwamba alikuwa anasafiri kwenda nje ya nchi na kukaa miezi au mwaka kabisa, Hapana pia. Wana kikundi cha akina mama kule Tuangoma, hajawahi kukosa hata siku, yeye akiwa kama mwenyekiti.

Mama Mageta alikuwa ni wale majirani waliostaarabika sana.

Apumzike kwa Amani.
 
Yes mkuu,ujue watu wana-base kusema mama/bana hata awe kichaa ni baba/mama tu,No ni uongo,binafsi sipatani na mama mzazi kabisa,kaniacha mikononi mwa baba nikiwa na mwaka mmoja na miezi minne,baada ya mwaka mmoja kabeba mimba na kuzaa na mwanamme mwingine,bila ya kuja hata kuniona,I was to die,ila mungu akawa upande wangu.

Hadi sasa nikisikia mtu anasema nani kama mama huwa nakasirika sana,nafarijika sana nikisikia nani kama baba,
Pole sana ndugu yangu kwa uliyoyapitia.
 
Ndo akina msuya hawa??
Hujawaho kwenda kwenu..miaka na miaka..baba yenu anawaita njoo nyumbana niongee nanyi..mnajifanya busy..mnachofanya ni kumchukua mama yenu na kukaa nae mjin na baba anabaki kijijin akiwa hana msaada wowote huku AMEINAMISHA nafsi yake kwa sababu ya matendo yenu...linakuja kutokea tatizo kubwa pasipo kureconcile na baba yenu mnajibeba mnaenda.........
Duuh kwa hiyo ni laana ya baba???
 
Mama Mageta ?! Hapana.

Biashara alizokuwa anafanya:
1. Upishi kwenye mashughuli (ndio biashara kuu aliyokuwa anafanya muda wote)
2. Duka la nafaka Tuangoma( alifunga baada ya muda)
3. Alikuwa analima nyanya katika kiwanja cha jirani yake(kwa msimu)

Kwamba alikuwa anasafiri kwenda nje ya nchi na kukaa miezi au mwaka kabisa, Hapana pia. Wana kikundi cha akina mama kule Tuangoma, hajawahi kukosa hata siku, yeye akiwa kama mwenyekiti.

Mama Mageta alikuwa ni wale majirani waliostaarabika sana.

Apumzike kwa Amani.
Poleni sana

Ova
 
Yaani hii kama ina ukweli hata mimi nimeshakutana nazo 2 zimechoka mguu moja wa mbele, mbona magari mengine nadra kuona hivyo
 
Back
Top Bottom