Pwani: Magari yagongana uso kwa uso, wanne wafariki

Pwani: Magari yagongana uso kwa uso, wanne wafariki

Yes mkuu,ujue watu wana-base kusema mama/bana hata awe kichaa ni baba/mama tu,No ni uongo,binafsi sipatani na mama mzazi kabisa,kaniacha mikononi mwa baba nikiwa na mwaka mmoja na miezi minne,baada ya mwaka mmoja kabeba mimba na kuzaa na mwanamme mwingine,bila ya kuja hata kuniona,I was to die,ila mungu akawa upande wangu.

Hadi sasa nikisikia mtu anasema nani kama mama huwa nakasirika sana,nafarijika sana nikisikia nani kama baba,
Aisee
 
Umejenga majumba makubwa Tabata, kisirisiri ili mumewe asijue, sasa sijui itakuaje? Kamq nakiona vile kibenten chake kikiwa tajiri[emoji23].

Mumewe alikua haongei chochote kwake cz pesa hana[emoji2955]

Natoka muda wowote saa yeyeto, naenda nchi za njee nakaa miezi hadi mwaka, sitaki mume unipangie pesa ni zangu elimu ni yangu[emoji2955]
Kuna kitu unakijua. Hebu niambie Mimi tu inbox.
 
Umejenga majumba makubwa Tabata, kisirisiri ili mumewe asijue, sasa sijui itakuaje? Kamq nakiona vile kibenten chake kikiwa tajiri[emoji23].

Mumewe alikua haongei chochote kwake cz pesa hana[emoji2955]

Natoka muda wowote saa yeyeto, naenda nchi za njee nakaa miezi hadi mwaka, sitaki mume unipangie pesa ni zangu elimu ni yangu[emoji2955]
Ni yupi kati ya hao senegro orgenes ? Funguka hiyo code bosi
 
Kila siku tunapiga kelele suala la upanuzi wa barabara ya Morogoro road, line mbili za kupishana zitaendelea kusababisha ajali kila siku

Kuna haja ya upanuzi wa hivi barabara serikali iangalie hili ni muhimu sana maana hizi barabara inatumiwa sana na magari mengi na ndio inayofungua nchi.
Fikiri kabla ya kuandika, hariri ulichoandika. Kila mara
 
View attachment 2707159View attachment 2707160

Watu wanne wamefariki dunia baada ya gari aina ya Toyota Prado walilokuwa wamepanda kugongana uso kwa uso na gari ya mzigo aina ya Scania majira ya saa nane usiku katika eneo la Mapatano, Kata ya Mbwewe, Halmashauri ya Chalinze, Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.

Waliofariki katika ajali hiyo ni dereva wa Toyota Prado, pamoja na abiria watatu waliokuwa kwenye gari hilo.

Kamanda ya Polisi Mkoa wa Pwani, Piusi Lutumo, amesema chanzo cha ajali hiyo ni uzembe wa dereva wa Toyota Prado ambaye alihama upande wake na kugongana uso kwa uso na gari hilo la mizigo.

Miili ya marehemu wote imehifadhiwa katika Zahanati ya Lugoba mkoani Pwani kwa ajili ya uchunguzi na kutambuliwa na ndugu wa marehemu.


CHANZO: AZAM TV
Sisi tunaoamini ktk maswala ya kiroho pia mtusikilize tunachosema.

Mshana Jr njoo na tafsiri ya Picha Ktk mambo ya kiroho.

Harafu ma Lecturer wa Mzumbe wana milki magari mazuri mbona wale wa Dar hawana?

Msiseme nina wivu maana na mimi ninalo la kwangu.

Ila najaribu kuwaza mambo ya Kiroho sisi ni wafrika.
 
View attachment 2707159View attachment 2707160

Watu wanne wamefariki dunia baada ya gari aina ya Toyota Prado walilokuwa wamepanda kugongana uso kwa uso na gari ya mzigo aina ya Scania majira ya saa nane usiku katika eneo la Mapatano, Kata ya Mbwewe, Halmashauri ya Chalinze, Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.

Waliofariki katika ajali hiyo ni dereva wa Toyota Prado, pamoja na abiria watatu waliokuwa kwenye gari hilo.

Kamanda ya Polisi Mkoa wa Pwani, Piusi Lutumo, amesema chanzo cha ajali hiyo ni uzembe wa dereva wa Toyota Prado ambaye alihama upande wake na kugongana uso kwa uso na gari hilo la mizigo.

Miili ya marehemu wote imehifadhiwa katika Zahanati ya Lugoba mkoani Pwani kwa ajili ya uchunguzi na kutambuliwa na ndugu wa marehemu.


CHANZO: AZAM TV
Walitoka Morogoro (Mzumbe) kama sijakosea wakiekekea Same.
 
Sisi tunaoamini ktk maswala ya kiroho pia mtusikilize tunachosema.

Mshana Jr njoo na tafsiri ya Picha Ktk mambo ya kiroho.

Harafu ma Lecturer wa Mzumbe wana milki magari mazuri mbona wale wa Dar hawana?

Msiseme nina wivu maana na mimi ninalo la kwangu.

Ila najaribu kuwaza mambo ya Kiroho sisi ni wafrika.
Moro matumizi ya fedha yako chini kiasi unaweza ukazunguka mji kutafuta chenji ya sh. 10,000/= huku Dar utaipata kwa muuza maji ya kandoro.
 
Mara nyingi epuka sana kusafiri usiku kama inawezekana. Bongo watu wanaostahili kuitwa madereva ni wachache sana.
Mara nyingi usiku ma dreva wa kweli huwa wao wanalala na gari humuachia tingo wake nae aongeze ujuzi wa kuendesha! Sasa unakuta tingo anajifunza mwenyewe, maana Mwalimu wake ambae ndiyo dereva Mkuu kalala fofofoo!!
 
Umejenga majumba makubwa Tabata, kisirisiri ili mumewe asijue, sasa sijui itakuaje? Kamq nakiona vile kibenten chake kikiwa tajiri[emoji23].

Mumewe alikua haongei chochote kwake cz pesa hana[emoji2955]

Natoka muda wowote saa yeyeto, naenda nchi za njee nakaa miezi hadi mwaka, sitaki mume unipangie pesa ni zangu elimu ni yangu[emoji2955]
.Mafundisho ya dini yangu yamesisitiza sana kusitiri watu katika yake ambayo yangekuwa yanakuhusu Wewe usithubutu kuitoa siri hiyo na hasa hasa kwa lengo la kutweza utu wa Mtu na hasa Marehemu hata kama maelezo hayo ni kweli
 
Mimi Dar ikishafika saa 3 usiku siendeshi gari bila sababu za msingi. Bora nipande daladala...


Madereva wamekuwa wa hovyo barabarani unaweza sababishiwa ajali bila kutarajia.


Rip marehem
Bora upande yale madaladala yanayoendeshwa na wanywa viroba usiku?, bora utembee tu Mkuu

nimewahi kupanda daladala kutokea Buguruni kwenda Kawe, Dereva kama vile akili aliziacha buguruni usiku ule tukielekea Kawe, nilishuka Mkwajuni nikabadili daladala
 
Ni yupi kati ya hao senegro orgenes ? Funguka hiyo code bosi
Mimi ninahisi atakuwa Diana,yule kaolewa na Msukuma.Diana ni mfanya biashara na alikuwa anasafiri kwenda nje ya nchi mara nyingi. Sia anafanya kazi NSSF ni ngumu kwenda nje miezi,Nora anafanya kazi Mzumbe Uni,ni ngumu pia kusafiri miezi kwenda nje.
 
Back
Top Bottom