Rashidi Jololo
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,704
- 2,858
AiseeYes mkuu,ujue watu wana-base kusema mama/bana hata awe kichaa ni baba/mama tu,No ni uongo,binafsi sipatani na mama mzazi kabisa,kaniacha mikononi mwa baba nikiwa na mwaka mmoja na miezi minne,baada ya mwaka mmoja kabeba mimba na kuzaa na mwanamme mwingine,bila ya kuja hata kuniona,I was to die,ila mungu akawa upande wangu.
Hadi sasa nikisikia mtu anasema nani kama mama huwa nakasirika sana,nafarijika sana nikisikia nani kama baba,
Wazaz wanaishi dodoma ila watoto walikuwa wanaenda moshi kwenye msiba wa mtoto wa babamdogoAcha uongo,nimeona video majirani wanasema Mzee Msuya na mama Msuya wote wanaishi Dodoma tena mtaa wa kwenye mageti. Na watoto wao.walikuwa wanakwenea Dodoma kuwaona wazazi wao mara nyingi tu.
Kuna kitu unakijua. Hebu niambie Mimi tu inbox.Umejenga majumba makubwa Tabata, kisirisiri ili mumewe asijue, sasa sijui itakuaje? Kamq nakiona vile kibenten chake kikiwa tajiri[emoji23].
Mumewe alikua haongei chochote kwake cz pesa hana[emoji2955]
Natoka muda wowote saa yeyeto, naenda nchi za njee nakaa miezi hadi mwaka, sitaki mume unipangie pesa ni zangu elimu ni yangu[emoji2955]
Ni yupi kati ya hao senegro orgenes ? Funguka hiyo code bosiUmejenga majumba makubwa Tabata, kisirisiri ili mumewe asijue, sasa sijui itakuaje? Kamq nakiona vile kibenten chake kikiwa tajiri[emoji23].
Mumewe alikua haongei chochote kwake cz pesa hana[emoji2955]
Natoka muda wowote saa yeyeto, naenda nchi za njee nakaa miezi hadi mwaka, sitaki mume unipangie pesa ni zangu elimu ni yangu[emoji2955]
Fikiri kabla ya kuandika, hariri ulichoandika. Kila maraKila siku tunapiga kelele suala la upanuzi wa barabara ya Morogoro road, line mbili za kupishana zitaendelea kusababisha ajali kila siku
Kuna haja ya upanuzi wa hivi barabara serikali iangalie hili ni muhimu sana maana hizi barabara inatumiwa sana na magari mengi na ndio inayofungua nchi.
Ajali haina kinga.Speed zinatumaliza. Laiti ungelikuwa unaoyaona yajayo, ungeendesha speed 50 uchelewe kufika ila ufike. Poleni sana wahusika.
Na mimi nishtue nijueKuna kitu unakijua. Hebu niambie Mimi tu inbox.
Sisi tunaoamini ktk maswala ya kiroho pia mtusikilize tunachosema.View attachment 2707159View attachment 2707160
Watu wanne wamefariki dunia baada ya gari aina ya Toyota Prado walilokuwa wamepanda kugongana uso kwa uso na gari ya mzigo aina ya Scania majira ya saa nane usiku katika eneo la Mapatano, Kata ya Mbwewe, Halmashauri ya Chalinze, Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Waliofariki katika ajali hiyo ni dereva wa Toyota Prado, pamoja na abiria watatu waliokuwa kwenye gari hilo.
Kamanda ya Polisi Mkoa wa Pwani, Piusi Lutumo, amesema chanzo cha ajali hiyo ni uzembe wa dereva wa Toyota Prado ambaye alihama upande wake na kugongana uso kwa uso na gari hilo la mizigo.
Miili ya marehemu wote imehifadhiwa katika Zahanati ya Lugoba mkoani Pwani kwa ajili ya uchunguzi na kutambuliwa na ndugu wa marehemu.
CHANZO: AZAM TV
Walitoka Morogoro (Mzumbe) kama sijakosea wakiekekea Same.View attachment 2707159View attachment 2707160
Watu wanne wamefariki dunia baada ya gari aina ya Toyota Prado walilokuwa wamepanda kugongana uso kwa uso na gari ya mzigo aina ya Scania majira ya saa nane usiku katika eneo la Mapatano, Kata ya Mbwewe, Halmashauri ya Chalinze, Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Waliofariki katika ajali hiyo ni dereva wa Toyota Prado, pamoja na abiria watatu waliokuwa kwenye gari hilo.
Kamanda ya Polisi Mkoa wa Pwani, Piusi Lutumo, amesema chanzo cha ajali hiyo ni uzembe wa dereva wa Toyota Prado ambaye alihama upande wake na kugongana uso kwa uso na gari hilo la mizigo.
Miili ya marehemu wote imehifadhiwa katika Zahanati ya Lugoba mkoani Pwani kwa ajili ya uchunguzi na kutambuliwa na ndugu wa marehemu.
CHANZO: AZAM TV
Moro matumizi ya fedha yako chini kiasi unaweza ukazunguka mji kutafuta chenji ya sh. 10,000/= huku Dar utaipata kwa muuza maji ya kandoro.Sisi tunaoamini ktk maswala ya kiroho pia mtusikilize tunachosema.
Mshana Jr njoo na tafsiri ya Picha Ktk mambo ya kiroho.
Harafu ma Lecturer wa Mzumbe wana milki magari mazuri mbona wale wa Dar hawana?
Msiseme nina wivu maana na mimi ninalo la kwangu.
Ila najaribu kuwaza mambo ya Kiroho sisi ni wafrika.
Ndio kusema dar kuna pesa nyingi sana sasa mbona Hawana?Moro matumizi ya fedha yako chini kiasi unaweza ukazunguka mji kutafuta chenji ya sh. 10,000/= huku Dar utaipata kwa muuza maji ya kandoro.
Mara nyingi usiku ma dreva wa kweli huwa wao wanalala na gari humuachia tingo wake nae aongeze ujuzi wa kuendesha! Sasa unakuta tingo anajifunza mwenyewe, maana Mwalimu wake ambae ndiyo dereva Mkuu kalala fofofoo!!Mara nyingi epuka sana kusafiri usiku kama inawezekana. Bongo watu wanaostahili kuitwa madereva ni wachache sana.
.Mafundisho ya dini yangu yamesisitiza sana kusitiri watu katika yake ambayo yangekuwa yanakuhusu Wewe usithubutu kuitoa siri hiyo na hasa hasa kwa lengo la kutweza utu wa Mtu na hasa Marehemu hata kama maelezo hayo ni kweliUmejenga majumba makubwa Tabata, kisirisiri ili mumewe asijue, sasa sijui itakuaje? Kamq nakiona vile kibenten chake kikiwa tajiri[emoji23].
Mumewe alikua haongei chochote kwake cz pesa hana[emoji2955]
Natoka muda wowote saa yeyeto, naenda nchi za njee nakaa miezi hadi mwaka, sitaki mume unipangie pesa ni zangu elimu ni yangu[emoji2955]
[emoji3][emoji2][emoji1]Asante mkuu na wewe pia
Bora upande yale madaladala yanayoendeshwa na wanywa viroba usiku?, bora utembee tu MkuuMimi Dar ikishafika saa 3 usiku siendeshi gari bila sababu za msingi. Bora nipande daladala...
Madereva wamekuwa wa hovyo barabarani unaweza sababishiwa ajali bila kutarajia.
Rip marehem
Very risk ,masafa marefu .Halafu ukute siku nzima kashinda kazini.Halafu usiku anakamata usukani.Bora wangetafuta dereva wakamlipa.Inawezekana Dere wa Prado alikuwa Alco maana kusafiri na Gari ndogo usiku wa manane Ni very risk.. but all in all R.I.P
Mimi ninahisi atakuwa Diana,yule kaolewa na Msukuma.Diana ni mfanya biashara na alikuwa anasafiri kwenda nje ya nchi mara nyingi. Sia anafanya kazi NSSF ni ngumu kwenda nje miezi,Nora anafanya kazi Mzumbe Uni,ni ngumu pia kusafiri miezi kwenda nje.Ni yupi kati ya hao senegro orgenes ? Funguka hiyo code bosi