Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Pwani. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Pwani una una jumla ya majimbo ya uchaguzi 7 ambayo ni:-
Chalinze: KIKWETE RIDHIWANI JAKAYA - Amepita bila kupingwa
Bagamoyo:
Muharami Shabani (CCM) - Kura 23,159
Vitalisi Maembe (Act Wazalendo) - Kura 5,592
Kibaha Mjini:
Slyvester Koka (CCM) - 29,797
Michael Mtali (CHADEMA) - 12,234.
Kibaha Vijijini:
Michael Mwakamo (CCM)
Kisarawe:
Selemani Jafo (CCM) - Kura 26,739
Mussa Nandonde (CCM) - Kura 2,402
Mafia:
Juma Kipanga (CCM) - Kura 12,691
Riziki Shahari (ACT Wazalendo) - Kura 2,342
Mkuranga:
Abdallah Ulega (CCM)
Kibiti:
Twaha Mpembenue (CCM)
Rufiji:
Mohammed Mchengelwa (CCM)
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Pwani. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Pwani una una jumla ya majimbo ya uchaguzi 7 ambayo ni:-
Chalinze: KIKWETE RIDHIWANI JAKAYA - Amepita bila kupingwa
Bagamoyo:
Muharami Shabani (CCM) - Kura 23,159
Vitalisi Maembe (Act Wazalendo) - Kura 5,592
Kibaha Mjini:
Slyvester Koka (CCM) - 29,797
Michael Mtali (CHADEMA) - 12,234.
Kibaha Vijijini:
Michael Mwakamo (CCM)
Kisarawe:
Selemani Jafo (CCM) - Kura 26,739
Mussa Nandonde (CCM) - Kura 2,402
Mafia:
Juma Kipanga (CCM) - Kura 12,691
Riziki Shahari (ACT Wazalendo) - Kura 2,342
Mkuranga:
Abdallah Ulega (CCM)
Kibiti:
Twaha Mpembenue (CCM)
Rufiji:
Mohammed Mchengelwa (CCM)
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.