Pwani: Mtambo wa kuvuna maji lita milioni moja kwa Saa, wakamatwa katika chanzo cha maji cha mto Ruvu

Pwani: Mtambo wa kuvuna maji lita milioni moja kwa Saa, wakamatwa katika chanzo cha maji cha mto Ruvu

Yaani haka ka amec ndio wanaita mtambo!!!Waende na ruaha mbuyuni wakakamate hiyo mitambo basi maana wakulima wa vitunguu kule ndio wanatumia hizi!
 
Ngojea hapa waje wenye chuki za mimba ya mwendazake ndani ya mawazo yao,ila hata hili jumba bovu ataangushiwa Mwendazake.
 
Wanataka kusema huyo ndio kasababisha mgao wa maji nchini???
Ndiyo maana kuna dogo aliimba songi "bongo bahati mbaya".... Daah imagine Chalinze ilivyo na ikame wa kufa mtu, mchina kajipinda na viheka 50 tuuu wala siyo 500 au 1000 kama wale wawekezaji wa ukweli kule Zimbabwe na Africa kusini.... Mimaji Mungu katupa ya bureee mito kibaooo, ambayo yoooteee inaishia baharini na hakuna anayelalamika maji kuishia baharini. Madogo wakikimbia kijijini na kuja town kama wamachinga mnawabania tena daaah... Yaani ndo yaleee ya ukimeza ya motooo, ukitemaa unatema utamuuu...
 
Hao washenzi wanatakiwa warudishwe kwao serikali inakosea sana kuwaruhusu kujazana hapa kwetu.
Hata wakirudishwa kwao wewe hapo ulipo hata kulima tuta mbili za mchicha huweziii, ukorofiiiii tuuu..
 
Mashine inauwezo wa kuvuta maji lita milioni 1 kwa siku, halafu unasema anavuta lita milioni 1 kwa siku. Kwahiyo kama mimi ninauwezo wa kuoa wake 10, utaenda kusema nimeoa wake 10? Utaahira wa wapi huu?!
Imagine mchina ana hekta 50 tuu sasa lita 1 milioni ni sawa na mapipa elfu 50, hii ni sawa na kila hekta moja mapipa 1000 kwa saa moja!!!!!
 
nyie mnaopinga nendeni huko china mkachepushe kijito cha maji na kiangaz hiki muone risasi ngapi ya kisogoni zitawahusu
Kati ya mchina na bahari nani anakunywa maji mengi ya mto ruvu?
 
Back
Top Bottom