Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Last words, it concludes the discussion who is an idiot.Tell your president to sort out the mess she is creating u idiot. Magufuli is a saint.
Ndiyo maana kuna dogo aliimba songi "bongo bahati mbaya".... Daah imagine Chalinze ilivyo na ikame wa kufa mtu, mchina kajipinda na viheka 50 tuuu wala siyo 500 au 1000 kama wale wawekezaji wa ukweli kule Zimbabwe na Africa kusini.... Mimaji Mungu katupa ya bureee mito kibaooo, ambayo yoooteee inaishia baharini na hakuna anayelalamika maji kuishia baharini. Madogo wakikimbia kijijini na kuja town kama wamachinga mnawabania tena daaah... Yaani ndo yaleee ya ukimeza ya motooo, ukitemaa unatema utamuuu...Wanataka kusema huyo ndio kasababisha mgao wa maji nchini???
Hata wakirudishwa kwao wewe hapo ulipo hata kulima tuta mbili za mchicha huweziii, ukorofiiiii tuuu..Hao washenzi wanatakiwa warudishwe kwao serikali inakosea sana kuwaruhusu kujazana hapa kwetu.
Imagine mchina ana hekta 50 tuu sasa lita 1 milioni ni sawa na mapipa elfu 50, hii ni sawa na kila hekta moja mapipa 1000 kwa saa moja!!!!!Mashine inauwezo wa kuvuta maji lita milioni 1 kwa siku, halafu unasema anavuta lita milioni 1 kwa siku. Kwahiyo kama mimi ninauwezo wa kuoa wake 10, utaenda kusema nimeoa wake 10? Utaahira wa wapi huu?!
Nawewe unaamini mchina kanywa maji yote ya dar?TISS walinde vyanzo vya maji na umeme hizo ndio kazi zao kwenye nchi za wenzetu
Kinachoniuma zaidi ni mchina Bora angekuwa mzawa
Kati ya mchina na bahari nani anakunywa maji mengi ya mto ruvu?nyie mnaopinga nendeni huko china mkachepushe kijito cha maji na kiangaz hiki muone risasi ngapi ya kisogoni zitawahusu
Serikali imeanza na mchina kisha itafuata hiyo bahari..Kati ya mchina na bahari nani anakunywa maji mengi ya mto ruvu?
Ndio.Baada ya kumwambia mwananchi atulize matako.🤣Huyu Kasesera si alipigwa chini?