Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,831
- 5,489
Miamba ya kutokea Misri "Pyramids FC" wameingua hatua ya makundi kibabe kwa kuifunga timu ya Rwanda "APR FC" goli 6 kwa moja 1 na kufanya utofauti wa magoli kuachana kwa goli 5. Ambapo goli la APR FC lilikuwa la Penalti na magoli ya Pyramids yalikuwa ya kusakuana.
Ikumbukwe miamba hiyo ya Farao ilikipiga tarehe 17 Septemba 2023 pale Rwanda na timu ya Wanyaru "APR FC", Pyramids ikiwa ugenini ambapo Wanyaru "APR FC" walishindwa kutamba nyumbani na kulazimisha sare ya 0 kwa 0.
17/9: APR FC 0 - 0 Pyramids FC
29/9: Pyramids 6 - 1 APR FC
Ikumbukwe miamba hiyo ya Farao ilikipiga tarehe 17 Septemba 2023 pale Rwanda na timu ya Wanyaru "APR FC", Pyramids ikiwa ugenini ambapo Wanyaru "APR FC" walishindwa kutamba nyumbani na kulazimisha sare ya 0 kwa 0.
17/9: APR FC 0 - 0 Pyramids FC
29/9: Pyramids 6 - 1 APR FC