Mpiga Paspoti
JF-Expert Member
- Dec 29, 2022
- 309
- 1,273
Utaweza kuzaa na kulea??Ukiwa peke yako hautaweza kuzitatua ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaweza kuzaa na kulea??Ukiwa peke yako hautaweza kuzitatua ?
Hilo linawezekanaUtaweza kuzaa na kulea??
Mob mentalityHuu uzi ni wa Q&A
1. Kwa nini watu wana oa na kuolewa ?
Ni ngono tu ina wasukuma watu kuingia ndani ya ndoa ? FineKiukweli ndoa haina faida nyingine zaidi ya ngono. Na ndiyo maana siku hizi ndoa siyo muhimu kwa kuwa ngono nje ya ndoa inapatikana bila shida
Mahitaji ya kiasili ya binadamu Kuna kipengele anahitaji mwenza Ili waweze kuwa pamoja,pia mapenzi yapo kati yetu yaani hakuna kiumbe hajawah pata hisia za kimapenzi hivo uhalali wa hisia zako na mambo yaende sawa unalazimika uoe Au uoleweNature( How ? )
Dini ni maamrisho sio ?
Hii ni kwetu tu Tanzania au dunia nzima ?Mob mentality
Kwenye dini nimekuelewa ila kwenye mahitaji ya kiasili kuna ukakasi mkubwaMahitaji ya kiasili ya binadamu Kuna kipengele anahitaji mwenza Ili waweze kuwa pamoja,pia mapenzi yapo kati yetu yaani hakuna kiumbe hajawah pata hisia za kimapenzi hivo uhalali wa hisia zako na mambo yaende sawa unalazimika uoe Au uolewe
Dini Kwa upandewa dini yangu kuoa ni nusu ya dini pia kutimiza amri ya kukataa hambi zinaa na pia kuzaa kuongeza familia
SawaKwenye dini nimekuelewa ila kwenye mahitaji ya kiasili kuna ukakasi mkubwa
Kumiliki mali yako binafsi ?Umiliki
UnakaribishwaWhat a great thread...!
Kwa mujibu wa dini ?Ndoa ni ibada na Nia agizo toka kwa Muumba
Yap japo kwasasa imebakia tu kama dhana ili mambo yasiwe mengiKumiliki mali yako binafsi ?
TayariTayari au bado ?
Hauwezi kujua maana ya ndoa kama hauna hicho kiungo(sexless)Kiukweli ndoa haina faida nyingine zaidi ya ngono. Na ndiyo maana siku hizi ndoa siyo muhimu kwa kuwa ngono nje ya ndoa inapatikana bila shida
PamojaYap japo kwasasa imebakia tu kama dhana ili mambo yasiwe mengi