Q&A: Kwa nini watu wana oa na kuolewa ?

Q&A: Kwa nini watu wana oa na kuolewa ?

Dini(christianity and Islam) zinatukumbusha umuhimu wa kuishi maisha ya ndoa mda ukiwa umefika(for only who believe)

Society, maisha ya ndoa ni mtazamo ambao jamii imeishi nao toka kale kwamba mwamaume au mwanamke akifika mda flani itambidi apate mwenzake na hii kwa ajiri ya heshima,kuendeleza misingi bora ya jamii husika na kujenga familia,koo,mpaka taifa imara.

Nature, kama kuna mwanamke basi yupo mwanaume.Mwanamke ataenda kwa mwanaume(not true in every society,it might be vice versa) na watafanya yale ambayo hufanyika na maisha yataendelea.

Mwisho ndoa ni ukamilisho wa mwanadamu katika maisha yake hapa duniani.It might not be a command in religion but it is emphasized and the society does agree with what religion tells about marriage.
 
Dini(christianity and Islam) zinatukumbusha umuhimu wa kuishi maisha ya ndoa mda ukiwa umefika(for only who believe)

Society, maisha ya ndoa ni mtazamo ambao jamii imeishi nao toka kale kwamba mwamaume au mwanamke akifika mda flani itambidi apate mwenzake na hii kwa ajiri ya heshima,kuendeleza misingi bora ya jamii husika na kujenga familia,koo,mpaka taifa imara.

Nature, kama kuna mwanamke basi yupo mwanaume.Mwanamke ataenda kwa mwanaume(not true in every society,it might be vice versa) na watafanya yale ambayo hufanyika na maisha yataendelea.

Mwisho ndoa ni ukamilisho wa mwanadamu katika maisha yake hapa duniani.It might not be a command in religion but it is emphasized and the society does agree with what religion tells about marriage.
Nime jaribu kukuelewa kote ila mwisho bado . Mtu asipo kuwa na ndoa hajakamilika ? How ?
 
Tunaoa na kuolewa Ili kupata ule ukamilifu ambao haupatikani ukiwa alone....mfano kupata mwenza wa kuzaa nae, sio unazaa Kama mbwa...
Pia kuondoka upweke, ukiwa kwenye ndoa unakuwa na mtu wa kukupa kampani, kuongea nae hata WA kugombana nae.

Nitarudi.
 
Tunaoa na kuolewa Ili kupata ule ukamilifu ambao haupatikani ukiwa alone....mfano kupata mwenza wa kuzaa nae, sio unazaa Kama mbwa...
Pia kuondoka upweke, ukiwa kwenye ndoa unakuwa na mtu wa kukupa kampani, kuongea nae hata WA kugombana nae.

Nitarudi.
Upweke una ondoka kwa kutafuta mtu wa kugombana nae ?hiyo ni mbinu ya kupambana na tatizo kwa kutengeneza tatizo.

Mtu ambae hajaoa ana upweke ? Ki vipi

Mtu ambae hajaoa hajakamilika ? How ?
 
Ukiona mwanaume anamsifia mkewe basi jua ya kwamba mwanaume huyo ni tatizo.

Mwanaume wa kweli anajisimamia mwenyewe.
Brother hujui unachosema Bora ukae kimya nimeona Mzee wangu kaugua Nusu kufa Mama ndie kamgharamia kila cent mpaka kakopa ili atibiwe apone, sasa Mzee amerudi kua na Afya njema km awali, hivi ukimsifia mke km huyo utaonekana wewe hamnazo? Au sometimes hua mnajitoa akili sababu ya malezi mliyoyapitia umelelewa na Bibi humjui baba anaishije humjui mama anaishije unaishi ishi tu?
 
Brother hujui unachosema Bora ukae kimya nimeona Mzee wangu kaugua Nusu kufa Mama ndie kamgharamia kila cent mpaka kakopa ili atibiwe apone, sasa Mzee amerudi kua na Afya njema km awali, hivi ukimsifia mke km huyo utaonekana wewe hamnazo?
Kama hiyo ndiyo faida ya kuoa/kuolewa basi hakuna haja ya ndoa. Kwasabb hata msamalia mwema angeweza kujitokeza na kumtibia babako.

Kumbuka uponyaji huo umefanywa na Mungu, mamako ametumika kama chombo tu. Kama ambavyo msamalia mwema angeweza kutumiwa na Mungu kumponya babako

Ukiwa unaingia kwenye ndoa kwa lengo la kumtumainia ama kumtegemea mwenzie wako kwa chochote kile, basi wewe umelaaniwa. Biblia imeandika "amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu".
 
Unatumia kilevi cha aina yoyote au dawa za kulevya ?
Nikuulize wewe, nahisi ulijibu kitu hukuelewa!!

Umesema majukumu yote yanayoweza kukufanya uoe unayaweza!!

Nikakuuliza swali "utaweza kuzaa??" Ukasema ndiyo??

Kawaida, binadamu anapowaza kuwa na majukumu mengine baada ya ujana, ndipo anapohitaji mwenza!! Majukumu hayo ni pamoja na kuhitaji familia, maana yake ni kuwa na mtu wa pili watakayeshirikiana nae kuzaa watoto"

Vijana wengi mnahisi hili jukumu mnaliweza sababu katika ujana unakuta ushazalisha wanawake kadhaa na wanalea watoto wenyewe. Hiyo si sawa, unapaswa uoe uweke mke ndani muanzishe familia iliyo halali kabisa!!
 
Back
Top Bottom