Q&A: Kwa nini watu wana oa na kuolewa ?

Q&A: Kwa nini watu wana oa na kuolewa ?

Nikuulize wewe, nahisi ulijibu kitu hukuelewa!!

Umesema majukumu yote yanayoweza kukufanya uoe unayaweza!!

Nikakuuliza swali "utaweza kuzaa??" Ukasema ndiyo??

Kawaida, binadamu anapowaza kuwa na majukumu mengine baada ya ujana, ndipo anapohitaji mwenza!! Majukumu hayo ni pamoja na kuhitaji familia, maana yake ni kuwa na mtu wa pili watakayeshirikiana nae kuzaa watoto"

Vijana wengi mnahisi hili jukumu mnaliweza sababu katika ujana unakuta ushazalisha wanawake kadhaa na wanalea watoto wenyewe. Hiyo si sawa, unapaswa uoe uweke mke ndani muanzishe familia iliyo halali kabisa!!
Hayo majukumu huwezi kamilisha peke yako mpaka uhitaji msaada ?
 
Hayo majukumu huwezi kamilisha peke yako mpaka uhitaji msaada ?

Tunarudi palepale!! Jukumu la kuzaa linahitaji kiungo "ke" na "me". Wewe una jinsia mbili kwamba ujitie mimba bila kuhitaji usaidizi wa jinsia nyingine?? Sijui kama hili swali umelielewa au natumia tafsida sana linakuchanganya!!

Ngoja niwe clear!! Ili watoto wapatikane panahitaji kuzagamuana!! Ili jukumu la kuzaa likuletee jukumu la kuwa na familia (baba, mama, watoto) litimie lazima kuzagamuana!!

Mzee, unakamilishaje peke yako hili jukumu??? Labda nipe darasa hapa!!
 
Tunarudi palepale!! Jukumu la kuzaa linahitaji kiungo "ke" na "me". Wewe una jinsia mbili kwamba ujitie mimba bila kuhitaji usaidizi wa jinsia nyingine?? Sijui kama hili swali umelielewa au natumia tafsida sana linakuchanganya!!

Ngoja niwe clear!! Ili watoto wapatikane panahitaji kuzagamuana!! Ili jukumu la kuzaa likuletee jukumu la kuwa na familia (baba, mama, watoto) litimie lazima kuzagamuana!!

Mzee, unakamilishaje peke yako hili jukumu??? Labda nipe darasa hapa!!
Hicho kitendo mpaka kikamilike kina ulazima wa ndoa pekee ?
 
Sijakuelewa
Una rusha video tu . Upo fyede👍
e90a8fce6d0875d0dccbd4c40b29f092.jpg
 
Back
Top Bottom