Q Boy Msafi adaiwa kumtia mimba mwanafunzi

Q Boy Msafi adaiwa kumtia mimba mwanafunzi

Mkuu hata mimi nikisikia kuna kijana kaniharibia binti yangu aisee sitakuwa na msamaha kwa hilo

Na hii kitu huwa nawaambia vijana mara kwa mara nikiwa napiga nao stori ,huwa nawaambia kabisa ,nacheka na nyinyi vijana wangu lakini siku nikisikia mtu kaniharibia binti yangu kwa kweli sitakuwa na msamaha kwa hilo
Baba mkwe punguza ukali
 
Mkuu hata mimi nikisikia kuna kijana kaniharibia binti yangu aisee sitakuwa na msamaha kwa hilo

Na hii kitu huwa nawaambia vijana mara kwa mara nikiwa napiga nao stori ,huwa nawaambia kabisa ,nacheka na nyinyi vijana wangu lakini siku nikisikia mtu kaniharibia binti yangu kwa kweli sitakuwa na msamaha kwa hilo
Kweli mkuu mtu anakuja na point nyepesi eti mtoto akiuliza baba
 
Hivi unaanzaje kutembea na dent usawa huu...jela hawaogopi
Hao madent unawajua unawasikia...hao form 3 mpaka form 6 ndio balaa mitaani skull zinavyofungwa.
unajua hawa kina giggy money wangekuwa skull ni watoto wa form 5 au six...sasa wewe mwanaume rijali kama alberto msando unamuachaje kwa mfano denti giggy?
 
Q boy ni nan hadi masuala yake waziri mkuu aingilie?
 
Mkuu hata mimi nikisikia kuna kijana kaniharibia binti yangu aisee sitakuwa na msamaha kwa hilo

Na hii kitu huwa nawaambia vijana mara kwa mara nikiwa napiga nao stori ,huwa nawaambia kabisa ,nacheka na nyinyi vijana wangu lakini siku nikisikia mtu kaniharibia binti yangu kwa kweli sitakuwa na msamaha kwa hilo
Uhakikishe pia binti zako unawapa ruhusu kutoka nyumbani na wanarudi muda maalum uliowapangia, pia uhakikishe wanavaa kimaadili na ni watu wa ibada , pia uhakikishe kuwa marafiki wa binti zako ni wale wanaofanana na tabia unazozitaka kwa binti zako,
Vinginevyo utakosa hata wa kumshtaki na kukuzalia watakuzalia,
 
Sheria lazima imbane,mwanafunzi hana uwezo wa kukubali ila amerubuniwa
tapatalk_1498404971293.jpeg
tapatalk_1498404971293.jpeg

Sasa hawa bado unadai hawawarubuni wanaume ili wanaume wakalale mbele na mkulu
 
Kwan huyo mwanafunz alibakwa c alitaka mwenywe

Q biy ww sema kabsa humjui na humtambui
 
Kwan huyo mwanafunz alibakwa c alitaka mwenywe

Q biy ww sema kabsa humjui na humtambui

Mh hivi wewe unamjua Magufuli au unamsikia , kamuulize Senge Sechi na Manji watakueleza Who is Magufuli in zisi kantri
 
Back
Top Bottom