Q chief ni mzinguaji kwasababu ukiangalia uzungumzaji wake anataka kujiona yeye ni best vocal kwa upande wa wanaume tanzania wakati ukweli unabakia pale pale mziki umechange
Kuna watu wamekaa kwenye game pembeni baada ya kuona soko linawaaacha
Q chief ni mtu wa majivuno sana yaan anataka kujiona yeye ndio yeye wakati sio kweli
Q chief kama kutoka alitakiwa atoke na qs mhonda lakini mpaka bwana muhonda anaachana naye ni kwa sababu ya dharau zake
Kuja kulia lia mbele ya media ni upuuzi usio na maana yegote kwa jamii ya sasa watu kibao wameaacha gemu na hawakulia lia kama yeye
Wako wapi kina solothang ,dj yusufu mzee wa mbele kwa mbele, babuu wa kitaa,domokaya,mabaga fresh,luteni kalama
Akafie mbele mpuuzi huyu