Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
makumbusho wapo wale wanajiita alliance in motion global (aim global). ile siku jamaa aliniita wala hakuniambia kama ni hao, alisema uje makumbusho kuna seminar nzuri sana itakusaidia alaf nikakutana na hao, nilikaa kwa vile ni rafiki yangu ila nilichukia mnoo.Kuna dem amenitafuta sana wiki ya pili hii simjui ila anapiga simu anasema tuonane kuna ishu ya maana tukajadili lakini hasemi ni nini.sasa namvutia upepo tu amesema weekend hii tukutane makumbusho.ila nazani ni hizi mambo
Kuna mwalimu wangu wa A level nlikua namuheshimu kweli...mwezi uliopita akanipigia simu anasema tuonane . Me nikajua anataka nikafundishe kwenye tution center yake. Kufika pale wana mbwembwe balaaaaaaa yaan kama sio mtoto wa mjini unapigwa hivihivi
Ofisi yenyewe imechoka balaaa haina hata meza halafu ananishawishi nijiunge nao niwe nalipwa millioni 9 kwa wiki. Ila to my amazement nimekuta hadi vijana wa chuo wamezama kwenye huo upuuzii......NETWORK MARKETING NI PYRAMIDAL SCHEME KAMA ZILIVYO NYINGINE USIIBIWE KIJINGA
Mimi binafsi mwaka jana walinipiga kwenye D9, Sitaki tena kusikia hizi longolongo za Qnet.Shemeji yangu yeye ndio kwanza ameingizwa huko na kaingiza hela zake, akanialika nikaenda kuwasikiliza na kuwasilikiza nikasema hawa wapuuzi kabisa yaani kwa tumaneno twao uto ndio niiingize mkwanja wangu!!!??? Hapa hata machungu ya D9 Hayajaisha. Hawanipati kabsaaaa.Binafsi sitak na sipend kufanya kazi yoyote ambayo inaonekana ni rahis kunipatia pesa.utapeli huanzia hapo.sijawah tapeliwa na sitak kuanza sasa. Hakuna maisha rahisi. Kuna mtu anakuja anakwambia nliacha kazi bank,chuo,udaktar,sijui kampuni gan ili nifanye hii Forever,Qnet and the like.
Halafu wanaongea habari ya kampuni yetu, wakati hata wenye kampuni hawawajui.Nimevumilia kutukana ofisi nzima ya qnet baada ya kuniita kilaghai kuniambia upuuzi huo. Kilichosaidia miongoni mwao kuna mtu tunaheshimiana. reception wanedanganyishia mapicha ya maghorofa ukutani unadhani ni ofisi ya waandisi majengo.
Kiding = kidingi, sawasawa baba SwaleheMi kiding mkuu..
Ndyo nmepata mtt mwaka juzisasa kama chekechea ni 2005, ina maana saa hz una miaka 18 hv
Nabii ... Sijui kiswahil vzr ..Kiding = kidingi, sawasawa baba Swalehe
Na kwa sasa unaweza usijue maana ya Qnet na Forever Living2005 nlkua cheke chea ... Daah life