Huenda kwa sasa wakaonekana ni mashujaa wa kiislamu baada ya kuchachamaa sheria zao hasa za dini zisivunjwe wala kuingiliwa na utamaduni wa magharibi kama ushoga, ulevi,tattoo nk.
Lakini nawaambia kaeni mkijua hili kombe likishaisha msahau kabisa ili kombe kurudi tena kwenye nchi yoyote ya uarabuni.Hakuna tena atayekubali hili kombe lifanyike kwenye mazingira kama haya NEVER NEVER NEVER.
Lakini nawaambia kaeni mkijua hili kombe likishaisha msahau kabisa ili kombe kurudi tena kwenye nchi yoyote ya uarabuni.Hakuna tena atayekubali hili kombe lifanyike kwenye mazingira kama haya NEVER NEVER NEVER.