Qatar kuuzia Ujerumani gesi kwa miaka 15

Qatar kuuzia Ujerumani gesi kwa miaka 15

Wao kwa tabia ya kupenda kuweka vikwazo kwa asiyefuata matakwa yao ndo walipata mchecheto.

I repeat Russia atauza gesi atauza ngano na maisha yataendelea.

Msilazimishe kuwa EU au US ndo the greatest. Na Russia anaenda kupprove hilo.
Kitu msichokielewa kwa sababu ya religious extremism ni kwamba atamuuzia nani na hiyo biashara malipo yake yatafanyikaje, ndio ngoma ilipo hapo na ukifanya biashara na Russia hutaweza tena kufanya biashara na wale waliomwekea vikwazo na ndiyo akina China na India wanapokwamia hapo.

China na India hata hao akina Qatar wanalijua hilo ila wewe unayekula magimbi hapo Buza kwa Mama Kibonge huwezi kulijua hilo.
 
Sio Qatar tu uzalishaji wa gesi unaongezeka ktk nchi nyingi duniani hata Msumbiji hapa wanakaribia kuanza kusafirisha gesi.

Angola, Nigeria na Algeria wanatarajia kuongeza uzalishaji mara dufu ili kuchangamkia fursa iliyoletwa na ujinga wa Russia, hata Marekani, Mexico na Canada pia zinaongezeka uzalishaji na Venezuela pia itapata msamaha wa Marekani.

In the next few years there is going to be a gas glut on the international market even with the exception of the Russian gas. Russian economy has begun to take a nosedive.

Mkuu Msumbiji wenzetu wemeshaanza kusafirisha gas,ni Sisi tu ambao tumezubaa.

Hawa watu wanadhani Urusi ndo mwenye Gas Peke yake hawajui kama huko duniani watu wanahangaika na fursa hivi sasa kila nchi yenye gas inatolea macho soko la Ulaya, Israel imeanza kuchimba gas,Canada,Australia,Norway,USA,Qatar,nk huko kote wanahaha kuongeza uzalishaji miaka mitano ijayo huyo Mrusi tutaona kama ataendelea kua na jeuri na hiyo Gas yake.
 
Baada ya mika kadha utakuwa kama Zimbabwe mchina anamdanganya ili anunue yake Kwa bei rahis
 
Hivi hawa wanaosupport vijihabari ambavyo vinalenga kuwafurahisha Pro upinde, ndo great thinkers kweli? 🚮🚮🚮
 
Mkuu Msumbiji wenzetu wemeshaanza kusafirisha gas,ni Sisi tu ambao tumezubaa.

Hawa watu wanadhani Urusi ndo mwenye Gas Peke yake hawajui kama huko duniani watu wanahangaika na fursa hivi sasa kila nchi yenye gas inatolea macho soko la Ulaya, Israel imeanza kuchimba gas,Canada,Australia,Norway,USA,Qatar,nk huko kote wanahaha kuongeza uzalishaji miaka mitano ijayo huyo Mrusi tutaona kama ataendelea kua na jeuri na hiyo Gas yake.
Kwani mgogoro wa Russia na NATO umeanza leo? Kwa akili zako, unadhani walikiwa hawajui kuwa ipo siku Russia ataivamia Ukraine? Kwa akili zako unadhani Russia anategemea kuuza gesi ulaya tu ili aishi? Russia anauza zaidi ya 40% ya mahitaji ya gesi ulaya, sio kwamba GDP yake kwa 40% inategemea mauzo ya gesi ulaya. Muwage mnafikiri basi sio kuropoka tu. Tensions za Western na Russia sio za juzi, hata uanzishwaji wa NATO ni kuidhoofisha kijeshi na kiuchumi Russia, unadhani Western walikuwa wanasubiri vita vya Ukraine ndo waanze kutafuta alternative ya gesi ili kumkomoa Russia? Fikiri kwa kutumia kichwa mzee sio keyboard ya simu yako.
 
Kitu msichokielewa kwa sababu ya religious extremism ni kwamba atamuuzia nani na hiyo biashara malipo yake yatafanyikaje, ndio ngoma ilipo hapo na ukifanya biashara na Russia hutaweza tena kufanya biashara na wale waliomwekea vikwazo na ndiyo akina China na India wanapokwamia hapo.

China na India hata hao akina Qatar wanalijua hilo ila wewe unayekula magimbi hapo Buza kwa Mama Kibonge huwezi kulijua hilo.
MMEKARIRI KUWA EU NDO INTERNATIONAL COMMUNITY: Acheni uwongo:


Russian coal exports shift to China​

Shipments top 50 million tons in the first ten months this year, according to the head of Rosneft

Russia has this year become the second most important supplier of coal to China, the head of oil giant Rosneft Igor Sechin announced at the Russia-China Energy Business Forum on Tuesday.
Deliveries of high-quality Russian coal to China in [those] ten months of 2022 amounted to 53 million tons. This is about 23% of total imports to China, second place after Indonesia, which supplies 134 million tons,” Sechin said.
According to the CEO, in order to further increase coal supplies to Asia, Russia is investing in the development of the Eastern Range of the country's train-services supplier Russian Railways (OAO). The project is expected to increase transportation capacity to 195 million tons per year.
Russia has dramatically increased exports of energy commodities, including coal, to Asian buyers after the EU suspended coal purchases from the country earlier this year as a Ukraine-related sanction. Chinese purchases of the Russian fossil fuel, in particular, reached a five-year high in September, soaring to 8.54 million tons. It was a 57% year-on-year rise, according to data from China’s General Administration of Customs.
 
Kitu msichokielewa kwa sababu ya religious extremism ni kwamba atamuuzia nani na hiyo biashara malipo yake yatafanyikaje, ndio ngoma ilipo hapo na ukifanya biashara na Russia hutaweza tena kufanya biashara na wale waliomwekea vikwazo na ndiyo akina China na India wanapokwamia hapo.

China na India hata hao akina Qatar wanalijua hilo ila wewe unayekula magimbi hapo Buza kwa Mama Kibonge huwezi kulijua hilo.
Punguzeni kukariri : EU hana uwezo mnauamini, Iran vikwazo tele, DPRK vikwazo tele... In the end??

China wants more Russian gas – CNPC​

Energy major calls for deliveries via the Power of Siberia mega pipeline to be increased
Russian gas export to China via the so-called eastern route, the Power of Siberia pipeline, should be steadily increased, according to Huang Yongzhang, Vice President of China National Petroleum Corporation (CNPC).
The 3,000 kilometer (1,864 mile) cross-border pipeline started deliveries of Russian natural gas to China in 2019. Its capacity is 61 billion cubic meters (bcm) of gas per year, including 38 bcm for export. Last year, Russian gas supplies to China increased by 10.4 bcm via the mega pipeline.
“It is necessary to steadily increase gas supplies from Russia to China via the eastern route. The parties continue cooperation in this area, using all its advantages, strengthening and deepening business cooperation,”Yongzhang said on Tuesday at the Russia-China Energy Business Forum.
He also called for the strengthening of the scientific and technical cooperation between the two nations in order to improve the quality of joint work in the oil and gas sector, as well as in the field of green and low-carbon energy.
The agreement on gas supplies via the Power of Siberia pipeline was reached in 2014, with Gazprom and CNPC signing a 30-year contract. The $400 billion agreement is Gazprom’s biggest deal ever and the Power of Siberia is the first natural gas pipeline between Russia and China.
 
China hata siku moja hawezi kukubali awe tegemezi Kwa Urusi sababu ameshaona kilichowakuta Ulaya kwa kutegemea gas ya Urusi na kilichowahi mkuta Marekani mwaka 1973 baada ya waarabu kugoma kumuuzia mafuta kisa kuisapoti Israel kwenye vita ndio maana kwenye masuala ya nishati anafanya diversification ya kufa Mtu hategemei sehemu moja Kwa asilimia kubwa pia China yenyewe ina sehemu kadhaa imegundua uwepo wa Gas na mafuta ya kutosha hivyo usije kudhani hata siku moja pengo la soko la Ulaya litakuja kuzibwa na Uchina. Ulaya ilikua ikinunua zaidi ya 155 bcm za Gas toka Urusi,China sidhani hata kama zinafika hata 50bcm anazonunua toka Russia.

Zama za Urusi kutawala soko la Gas Ulaya zimekwisha bro hata Putin analijua hilo ndio maana wanaingia mikataba na nchi mbalimbali huku wakifufua project mbalimbali za Gas pia nchi nyingi Hasa za Africa ambazo zimegundua Gas zinatolea macho soko la Europe,Nigeria kule kuna project ya pipeline ambayo itaenda mpk Europe. Msumbiji wameanza kupeleka LNG Europe. Norway imeanza Kwa kujenga pipeline kupeleka Gas Poland ambayo nayo mwanzo ilikua tegemezi Kwa Russia lakini SS hv Poland hainunui Gas ya Russia hata kiduchu. Norway inatarajia kuongeza uzalishaji na kujenga pipelines kwenda nchi nyingine za Europe.
Marekani mwaka huu tuu imeship karibu 40 bcm za LNG kwenda Ulaya,hiyo ni mwaka huu tu baada ya Russia kuvamia Ukraine. Baada ya miaka mitano sijui hali itakuaje!!!!!

Japan na Russia sidhani kama Wana project yoyote ya pipeline,hiyo itakua mpya. Ninachojua Japan na Russia Wana project ya LNG ambapo kampuni ya Marekani Exxon ilijitoa wakabaki Japan na Russia.

Karibu Nusu ya bajeti ya Russia inatoka kwenye mapato ya Mafuta na Gas na nchi nyingi zilizoendelea kwenye Muongo ujao zinahama huko zinaenda kwenye renewable sasa sijui Supapawa wetu mtegemea mafuta na Gas ataishije. Ulaya kaunzia 2030s magari yanayotumia mafuta yatapigwa Marufuku,nchi kama Germany inawekeza Sana kwenye renewables kama unadhani zile Zama za Putin kutumia Gas kama silaha hapo Ulaya bado zinaendelea bhas upo ndotoni,AMKA!
Kama unategemea mafuta na gas kutupwa kabisa hapa duniani unakosea sanaa

Nakama unasema watu wanaachana na mafuta na gas nakuhamia kwenye renewable kama usemavyo hao GERMAN wameenda kufanya nini huko QATAR na hao MOZAMBIQUE nao wanapeleka wapi gas na hio pipe inayoendeshwa huko NIGERIA to EUROPE kama usemavyo yakazi gan wakat muongo ujao wanaachana na GAS na mafuta kama usemavyo

Kama hujui tu TURKEY inajengwa HUB kubwa ya GAS ambayo special kwa ULAYA pia ikumbukwe hio GAS hapo itakua inatokea RUSSIA kwahio wataoenda nunua huko watakua wananunua GAS ya RUSSIA iliohifadhiwa TURKEY

Kuhusiana na huyo POLAND unaesema kaachana na GAS ya RUSSIA tunaomba tukukumbushe tu kwamba kwasasa wananunua GAS tokea HUNGARY ambao HUNGARY nao gas yao nyingi kama sio yote wanapewa kutokea huko RUSSIA

Kama hujui naomba nikujuze UCHINA kwasasa anabomba la GAS linalotoka RUSSIA mpaka huko CHINA kwasasa linapeleka mita zaujazo 50billioni napia wanamradi mwengine ambao mpaka ukija kukamilika utakua unapeleleka GAS ya ujazo wa 80billion jumlisha hapo utapata kiasi gani ukilinganisha na EU na hapo bado ni UCHINA tu hatujaenda kule INDIA IRAN PAKISTAN nk...

Naomba tu nikwambie kwamba JAPAN na RUSSIA wanamradi mkubwa tu wa GAS kama sijakosea jina unaitwa SAKHALIN moja nishasahau unapitisha ujazo gani wa GAS pia bado wana project mpya ya SAKHALIN mbili ipo mbioni na huu mradi ndio kampuni ya US ilijitoa JAPAN wakaziba pengo wenyewe namaisha yanaendelea kama kawaida kwenye huo mradi waliojitoa

UCHINA kama alivyo US GAS aloigundua haitaweza kumtosha maana atakua anazalisha ila anatumia zaidi kama alivyo US kwasasa anaona kapata soko EU kwakiasi fulani kwahio anataka auziwe mafuta na VENEZUELA akapige pesa huko EU

Kama munategemea EU itatoshwa na GAS na MAFUTA nje ya RUSSIA kwasasa bado sana tena sanaa nandio maana mpaka sasa wanavutana kueka bei elekezi sababu RUSSIA kashasema kama wakieka bei elekezi hawauzi sasa kama wanapata kutoka US wanangoja nn kuachana na nishati ya RUSSIA

kama RUSSIA ingekua inategemea mafuta na gas tu kama mnavyosema isingeweza kuimudu hii SMO hata kwa zaidi ya mwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suala sio kununua gas..suala ni kununua kwa bei gani...Huoni Macron alivohoji USA...gharama kubwa ya gas....

Huwezi kulinganisha gas ya tankers na pipe...
 
Kitu msichokielewa kwa sababu ya religious extremism ni kwamba atamuuzia nani na hiyo biashara malipo yake yatafanyikaje, ndio ngoma ilipo hapo na ukifanya biashara na Russia hutaweza tena kufanya biashara na wale waliomwekea vikwazo na ndiyo akina China na India wanapokwamia hapo.

China na India hata hao akina Qatar wanalijua hilo ila wewe unayekula magimbi hapo Buza kwa Mama Kibonge huwezi kulijua hilo.
Wewe ndio dini inakulevya

Vikwazo uchwara vya west havijaanza jana na wala havitaisha leo

Ila maisha yanaendelea kama kawaida toka mataifa mengi tuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kuna vichaa unaisi German niwajinga kama wewe kichaa wa kibera ushaambiwa kuiondoa urusi kwenye utegemezi wa nishati duniani ilo sahau kama Irani tu ilichukua miongoo itakuwa urusii ulaya wanapewaa miaka mitatu ya uvumilivu ila baada ya apoo biashara na urusi itarudi kama kawaida has a kwenye swala la nishati na chakula kijana ile si kenyaa

Sent from my Infinix X571 using JamiiForums mobile app
 
China hata siku moja hawezi kukubali awe tegemezi Kwa Urusi sababu ameshaona kilichowakuta Ulaya kwa kutegemea gas ya Urusi na kilichowahi mkuta Marekani mwaka 1973 baada ya waarabu kugoma kumuuzia mafuta kisa kuisapoti Israel kwenye vita ndio maana kwenye masuala ya nishati anafanya diversification ya kufa Mtu hategemei sehemu moja Kwa asilimia kubwa pia China yenyewe ina sehemu kadhaa imegundua uwepo wa Gas na mafuta ya kutosha hivyo usije kudhani hata siku moja pengo la soko la Ulaya litakuja kuzibwa na Uchina. Ulaya ilikua ikinunua zaidi ya 155 bcm za Gas toka Urusi,China sidhani hata kama zinafika hata 50bcm anazonunua toka Russia.

Zama za Urusi kutawala soko la Gas Ulaya zimekwisha bro hata Putin analijua hilo ndio maana wanaingia mikataba na nchi mbalimbali huku wakifufua project mbalimbali za Gas pia nchi nyingi Hasa za Africa ambazo zimegundua Gas zinatolea macho soko la Europe,Nigeria kule kuna project ya pipeline ambayo itaenda mpk Europe. Msumbiji wameanza kupeleka LNG Europe. Norway imeanza Kwa kujenga pipeline kupeleka Gas Poland ambayo nayo mwanzo ilikua tegemezi Kwa Russia lakini SS hv Poland hainunui Gas ya Russia hata kiduchu. Norway inatarajia kuongeza uzalishaji na kujenga pipelines kwenda nchi nyingine za Europe.
Marekani mwaka huu tuu imeship karibu 40 bcm za LNG kwenda Ulaya,hiyo ni mwaka huu tu baada ya Russia kuvamia Ukraine. Baada ya miaka mitano sijui hali itakuaje!!!!!

Japan na Russia sidhani kama Wana project yoyote ya pipeline,hiyo itakua mpya. Ninachojua Japan na Russia Wana project ya LNG ambapo kampuni ya Marekani Exxon ilijitoa wakabaki Japan na Russia.

Karibu Nusu ya bajeti ya Russia inatoka kwenye mapato ya Mafuta na Gas na nchi nyingi zilizoendelea kwenye Muongo ujao zinahama huko zinaenda kwenye renewable sasa sijui Supapawa wetu mtegemea mafuta na Gas ataishije. Ulaya kaunzia 2030s magari yanayotumia mafuta yatapigwa Marufuku,nchi kama Germany inawekeza Sana kwenye renewables kama unadhani zile Zama za Putin kutumia Gas kama silaha hapo Ulaya bado zinaendelea bhas upo ndotoni,AMKA!
Ndyo maana tunawaita mbumbumbu nani alikwambia mafuta yanatumika kwenye magari tu alafu unaisi urusi ataacha kutegemewa ndani ya ulaya labda nikwambie tu kwenye nchi zinazochimba mafuta kuna bidhaa nyingi sana na mafuta mazitoo yanatumika sehemu nyingi hakuna mbadala wa gesi au diesel kwenye uchumi wa dunia viwanda vingi vinatumia gesi ulaya sababu ya kanuni za uchafuzi wa mazingiraa mafuta mazito yanatumika kwenye vipuri viwandani na kuendesha mitambo endelea kujifunzaa acha kushupaza shingo

Sent from my Infinix X571 using JamiiForums mobile app
 
Ndyo maana tunawaita mbumbumbu nani alikwambia mafuta yanatumika kwenye magari tu alafu unaisi urusi ataacha kutegemewa ndani ya ulaya labda nikwambie tu kwenye nchi zinazochimba mafuta kuna bidhaa nyingi sana na mafuta mazitoo yanatumika sehemu nyingi hakuna mbadala wa gesi au diesel kwenye uchumi wa dunia viwanda vingi vinatumia gesi ulaya sababu ya kanuni za uchafuzi wa mazingiraa mafuta mazito yanatumika kwenye vipuri viwandani na kuendesha mitambo endelea kujifunzaa acha kushupaza shingo

Sent from my Infinix X571 using JamiiForums mobile app
Embu ficha utahira wako,aliyesema mafuta yanatumika kwenye magari Pekee ni Nani?! Kwani nani asiyejua mafuta yana matumizi mengi kama lubricants,plastics ni moja ya product za mafuta,jet fuel,nk. Au ulitaka tuanze kuorodhesha kimoja baada ya kingine,mbumbumbu!!!!
 
Kama unategemea mafuta na gas kutupwa kabisa hapa duniani unakosea sanaa

Nakama unasema watu wanaachana na mafuta na gas nakuhamia kwenye renewable kama usemavyo hao GERMAN wameenda kufanya nini huko QATAR na hao MOZAMBIQUE nao wanapeleka wapi gas na hio pipe inayoendeshwa huko NIGERIA to EUROPE kama usemavyo yakazi gan wakat muongo ujao wanaachana na GAS na mafuta kama usemavyo

Kama hujui tu TURKEY inajengwa HUB kubwa ya GAS ambayo special kwa ULAYA pia ikumbukwe hio GAS hapo itakua inatokea RUSSIA kwahio wataoenda nunua huko watakua wananunua GAS ya RUSSIA iliohifadhiwa TURKEY

Kuhusiana na huyo POLAND unaesema kaachana na GAS ya RUSSIA tunaomba tukukumbushe tu kwamba kwasasa wananunua GAS tokea HUNGARY ambao HUNGARY nao gas yao nyingi kama sio yote wanapewa kutokea huko RUSSIA

Kama hujui naomba nikujuze UCHINA kwasasa anabomba la GAS linalotoka RUSSIA mpaka huko CHINA kwasasa linapeleka mita zaujazo 50billioni napia wanamradi mwengine ambao mpaka ukija kukamilika utakua unapeleleka GAS ya ujazo wa 80billion jumlisha hapo utapata kiasi gani ukilinganisha na EU na hapo bado ni UCHINA tu hatujaenda kule INDIA IRAN PAKISTAN nk...

Naomba tu nikwambie kwamba JAPAN na RUSSIA wanamradi mkubwa tu wa GAS kama sijakosea jina unaitwa SAKHALIN moja nishasahau unapitisha ujazo gani wa GAS pia bado wana project mpya ya SAKHALIN mbili ipo mbioni na huu mradi ndio kampuni ya US ilijitoa JAPAN wakaziba pengo wenyewe namaisha yanaendelea kama kawaida kwenye huo mradi waliojitoa

UCHINA kama alivyo US GAS aloigundua haitaweza kumtosha maana atakua anazalisha ila anatumia zaidi kama alivyo US kwasasa anaona kapata soko EU kwakiasi fulani kwahio anataka auziwe mafuta na VENEZUELA akapige pesa huko EU

Kama munategemea EU itatoshwa na GAS na MAFUTA nje ya RUSSIA kwasasa bado sana tena sanaa nandio maana mpaka sasa wanavutana kueka bei elekezi sababu RUSSIA kashasema kama wakieka bei elekezi hawauzi sasa kama wanapata kutoka US wanangoja nn kuachana na nishati ya RUSSIA

kama RUSSIA ingekua inategemea mafuta na gas tu kama mnavyosema isingeweza kuimudu hii SMO hata kwa zaidi ya mwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee wapi nimeandika mafuta yatatupwa kabisa duniani?! Kwani matumizi ya Mafuta na Gas ni kwenye magari tu na kuzalisha Umeme!!!!!!!!!

Poland Kwa sasa ananunua Gas toka Norway ambayo inapita kwenye bomba jipya la Baltic,alikua ananunua toka Germany na Hungary kipindi kile mwanzoni mwa mwaka ambapo Baltic pipeline ilikua haijaanza, Baltic pipeline limeanza kupitisha Gas October. Na mpaka mwakani Poland watakua hawategemei tena Gas wala mafuta ya Russia. Hili bomba Kwa mwaka linapitisha 10bcm za Gas.

Pipeline Kati ya China na Russia inapitisha 50bcm ambapo hiyo pipeline mpya itaongeza 30bcm jumla zitakua 80bcm,wakati huo Ulaya pekee walikua wakinunua zaidi ya 155 bcm za Gas toka Russia.

Nikukumbushe tu Japan inategemea Gas ya Russia kwa 10% huwezi fananisha na Europe Kwa zaidi ya 40%.

Ulaya wanataka waondoke na utegemezi wa Gas ya Russia na si kuondoa kabisa Gas ya Russia kama walikua wakiitegemea kwa 40% ibaki 5%-10%. Ndio maana wanaingia mikataba na nchi nyingine na kuwekeza kwenye Teknolojia mpya kama Hydrogen, renewable ili kuondokana na huo utegemezi.
 
Kama unategemea mafuta na gas kutupwa kabisa hapa duniani unakosea sanaa

Nakama unasema watu wanaachana na mafuta na gas nakuhamia kwenye renewable kama usemavyo hao GERMAN wameenda kufanya nini huko QATAR na hao MOZAMBIQUE nao wanapeleka wapi gas na hio pipe inayoendeshwa huko NIGERIA to EUROPE kama usemavyo yakazi gan wakat muongo ujao wanaachana na GAS na mafuta kama usemavyo

Kama hujui tu TURKEY inajengwa HUB kubwa ya GAS ambayo special kwa ULAYA pia ikumbukwe hio GAS hapo itakua inatokea RUSSIA kwahio wataoenda nunua huko watakua wananunua GAS ya RUSSIA iliohifadhiwa TURKEY

Kuhusiana na huyo POLAND unaesema kaachana na GAS ya RUSSIA tunaomba tukukumbushe tu kwamba kwasasa wananunua GAS tokea HUNGARY ambao HUNGARY nao gas yao nyingi kama sio yote wanapewa kutokea huko RUSSIA

Kama hujui naomba nikujuze UCHINA kwasasa anabomba la GAS linalotoka RUSSIA mpaka huko CHINA kwasasa linapeleka mita zaujazo 50billioni napia wanamradi mwengine ambao mpaka ukija kukamilika utakua unapeleleka GAS ya ujazo wa 80billion jumlisha hapo utapata kiasi gani ukilinganisha na EU na hapo bado ni UCHINA tu hatujaenda kule INDIA IRAN PAKISTAN nk...

Naomba tu nikwambie kwamba JAPAN na RUSSIA wanamradi mkubwa tu wa GAS kama sijakosea jina unaitwa SAKHALIN moja nishasahau unapitisha ujazo gani wa GAS pia bado wana project mpya ya SAKHALIN mbili ipo mbioni na huu mradi ndio kampuni ya US ilijitoa JAPAN wakaziba pengo wenyewe namaisha yanaendelea kama kawaida kwenye huo mradi waliojitoa

UCHINA kama alivyo US GAS aloigundua haitaweza kumtosha maana atakua anazalisha ila anatumia zaidi kama alivyo US kwasasa anaona kapata soko EU kwakiasi fulani kwahio anataka auziwe mafuta na VENEZUELA akapige pesa huko EU

Kama munategemea EU itatoshwa na GAS na MAFUTA nje ya RUSSIA kwasasa bado sana tena sanaa nandio maana mpaka sasa wanavutana kueka bei elekezi sababu RUSSIA kashasema kama wakieka bei elekezi hawauzi sasa kama wanapata kutoka US wanangoja nn kuachana na nishati ya RUSSIA

kama RUSSIA ingekua inategemea mafuta na gas tu kama mnavyosema isingeweza kuimudu hii SMO hata kwa zaidi ya mwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ni Data za IEA

How dependent is Russia on oil and gas revenue?

Revenues from oil and gas-related taxes and export tariffs accounted for 45% of Russia’s federal budget in January 2022. Considering current market prices, the export value of Russian piped gas to the EU alone amounts to USD 400 million per day. Total export revenues for crude oil and refined products currently amount to around USD 560 million per day, down from about 690 million a day in the first two months of the year.
 
Kwani mgogoro wa Russia na NATO umeanza leo? Kwa akili zako, unadhani walikiwa hawajui kuwa ipo siku Russia ataivamia Ukraine? Kwa akili zako unadhani Russia anategemea kuuza gesi ulaya tu ili aishi? Russia anauza zaidi ya 40% ya mahitaji ya gesi ulaya, sio kwamba GDP yake kwa 40% inategemea mauzo ya gesi ulaya. Muwage mnafikiri basi sio kuropoka tu. Tensions za Western na Russia sio za juzi, hata uanzishwaji wa NATO ni kuidhoofisha kijeshi na kiuchumi Russia, unadhani Western walikuwa wanasubiri vita vya Ukraine ndo waanze kutafuta alternative ya gesi ili kumkomoa Russia? Fikiri kwa kutumia kichwa mzee sio keyboard ya simu yako.
Hata Marekani haikudhani kama waarabu wangegoma kuiuizia mafuta miaka ya 1973 na kusababisha oil crisis mbaya zaidi kushinda ya hii Leo.

Halafu ujue kutofautisha Kati ya GDP na Budget ya nchi!!!
 
Ujerumani wana hali ngumu,, yaani wasubiri hadi 2026?..!!, Kweli akunyimae hakwambii toka😂🙆🏼‍♂️,mda huo hata hii vita kitakuwa kimeeleweka,, Russia atakua kishafunga pipelines uelekeo wa china
 
Hivi gas ya Tanzania haiuziki popote duniani au ni ya low quality?
Gesi ya pipeline ni cheap kuliko ya kusomba kwa meli,, Russias gesi itaendelea kua cheap kuliko qatar, iran, Mozambique, US, Tanzania, etc gesi,
 
Back
Top Bottom