QUANTUM IMMOTALITY: Nadharia ya kukwepa kifo. Je, ni kweli Rais wa urusi PUTIN anaishi milele?

shuqraani mkuu

Ndiyo maana katika paragraph kadhaa nikajaribu kuweka mdokezoswali kwamba ni michezo ya wazungu ama ndivyo ilivyo halisi

Lakini inaitwa nadharia
 
Namsubiri afikishe miaka 200.
Kama alikuwepo kipindi Cha Vita ya dunia ya 2. passport yake inaonesha alizaliwa mwaka gani?
 
ukiona mjadala kama huu umeanzishwa hapa ujue mzee hana siku nyingi watu wataandika hapa R.I.P, Mungu hadhihakiwi kila nafsi itaonja mauti inategemea nani anatangulia
 
Hapo ni sawa na kusema.

Watu wote billion 7+ ambao wapo hai duniani wamekwepa kifo na nina uhakika na hili kwa asilimia 100%.

Hapo hakuna tofauti kati ya hao 7+ billion na huyo putin.
Kabisa
 
tatizo ni kwamba hata elimu zinazotolewa na dini zetu zinachangia upotoshaji mwingi.
Mfano unaposoma kisa cha Lazaro na tajiri ,Luka 16 utakugundua kwamba ukiishakufa hukumu yako inakuwa tayari huwezi kufanya chochote, ila tunaendeleza unafiki kuwa mfu anaweza kuombewa na hukumu yake ikaondolewa
Huu ni upotoshaji sawa tu na wa shetani aliyedai kuwa kwa kula tunda haitaleta kifo
 
aiseee sawasawa mkuu
 
I rem kuna picha za jamaa wayback akiwa bagamoyo and nyingine akiwa near us president ,R.Reagan akisimama kama mtalii tu na camera yake.
This guy is so mysterious or just one of the best spy ever.
πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…