QUANTUM IMMOTALITY: Nadharia ya kukwepa kifo. Je, ni kweli Rais wa urusi PUTIN anaishi milele?

QUANTUM IMMOTALITY: Nadharia ya kukwepa kifo. Je, ni kweli Rais wa urusi PUTIN anaishi milele?

Kuna movie ya kikorea inaitwa my love from another star inasadifu wazo nadharia hii yaan jamaa miji inaanza kukua mpaka kuwa miji mikubwa zaidi ya miaka 400 jamaa yupo tu...alikua professor na anakufundisha historia ya miaka mia tatu nyuma sio kwamba alisimuliwa ila aliishuhudia mwenyewe.
 
Kuna movie ya kikorea inaitwa my love from another star inasadifu wazo nadharia hii yaan jamaa miji inaanza kukua mpaka kuwa miji mikubwa zaidi ya miaka 400 jamaa yupo tu...alikua professor na anakufundisha historia ya miaka mia tatu nyuma sio kwamba alisimuliwa ila aliishuhudia mwenyewe.
hata hizi hadithi ambazo ni fictions....kwenye riwaya na movies zinadokeza mengi ila ndiyo hivyo ishachukuliwa ni maigizo
 
Kuna movie ya kikorea inaitwa my love from another star inasadifu wazo nadharia hii yaan jamaa miji inaanza kukua mpaka kuwa miji mikubwa zaidi ya miaka 400 jamaa yupo tu...alikua professor na anakufundisha historia ya miaka mia tatu nyuma sio kwamba alisimuliwa ila aliishuhudia mwenyewe.
Kaangalie na series inaitwa FOREVER
 
Putin ana miaka 68 kazaliwa mwaka 1952, infact kuna mabadiliko katika phys appearance n clearly anaonekana kuanza kuzeeka inshort anapitia njia za growth kama binadamu mwingine yoyote which means it ll reach a point atakufa kama ilivyo mm na ww. Mengine ni porojo tu coz warussia wanafikiri kazaliwa miaka hadi ya 1480 na hata hizo picha ni za wanajeshi tu wengine wenye kufanana naye...
 
Putin ana miaka 68 kazaliwa mwaka 1952, infact kuna mabadiliko katika phys appearance n clearly anaonekana kuanza kuzeeka inshort anapitia njia za growth kama binadamu mwingine yoyote which means it ll reach a point atakufa kama ilivyo mm na ww. Mengine ni porojo tu coz warussia wanafikiri kazaliwa miaka hadi ya 1480 na hata hizo picha ni za wanajeshi tu wengine wenye kufanana naye...
sawasawa mkuu

Ni nadharia
 
Sipingi hiyo nadharia ila nasema pengine hizo picha imetokea coincedence zikafana kwa sababu katika watu bilioni 7.8 waliopo duniani, kila mtu mmoja ana watu wake 6 yaani jumla 7, ambao wanafanana kwa kila kitu huku wakiwa hawana uhusiano wowote ule. Ni utafiti ambao niliusoma mtandaoni.
 
Hizo ni conspiracy theories.
Putin alizaliwa na atakufa tu. Hakuna sayansi kwa sasa inayozuia mtu kufa.
Screenshot_20210127-075538.png
 
Sipingi hiyo nadharia ila nasema pengine hizo picha imetokea coincedence zikafana kwa sababu katika watu bilioni 7.8 waliopo duniani, kila mtu mmoja ana watu wake 6 yaani jumla 7, ambao wanafanana kwa kila kitu huku wakiwa hawana uhusiano wowote ule. Ni utafiti ambao niliusoma mtandaoni.
Hii ya kufanana mimi mwenyewe nakubaliana nayo sababu toka nimezaliwa nimeshafuata na watu zaidi ya watatu wakinifananisha na watu waliopo sehemu ambazo sijawahi hata kufika.
 
Hii ya kufanana mimi mwenyewe nakubaliana nayo sababu toka nimezaliwa nimeshafuata na watu zaidi ya watatu wakinifananisha na watu waliopo sehemu ambazo sijawahi hata kufika.
sawasawa mkuu
 
QUANTUM IMMOTALITY

Wasaalam

kuna mtaalamu alipata kusema
"UBONGO WA MWANADAMU HAUJAWAHI KUWAZA KITU AMBACHO HAKIPO AU HAKIJAWAHI kuwahi KUWEZEKANA AU KUJA KUWEZEKANA"

kama hujanielewa kwenye nukuu hiyo utakuja na maswali mengi kwenye baadhi ya vipengele huko chini.

Tumejifunza vingi sana kuhusu maisha na vilivyo nyuma ya maisha ya kawaida

Na WAKATI MWINGINE inatakiwa tukubali kuwa kuna NGUVU nyingine inayoendesha na kutawala hii dunia yetu tofauti na ubidamu

Wazungu wamekuwa na michezo ya kutuchezea bongo zetu ,,,,kwa namna mbalimbali na kwa mambo ambayo hatukuwahi hata kuyafikiria

Dan Brown mwandishi nguli wa Vitabu vya fiction alipata kusema fiction nyingi huwa zinapenyeza ujumbe ulojificha

Sasa hapa utaongeza mwenyewe kama utaona kama fiction movies mfano wa movie za marvel nazo ziko kwa njia ya kufurahisha au kuleta na ujumbe pia

Ni wewe na imani zako, kwa sababu imenenwa imani huponya


Vladmir Putin, Raisi wa urusi ni kati ya watu wanaodhaniwa kuwa ni "immortal people" watu wasiokufa

View attachment 1680948
RAISI WA URUSI VLADMIR PUTIN


Ushawahi kusikia nadharia ya QUANTUM IMMORTALITY basi huyu bwana hio nadharia amehusishwa nayo sana

Quantum immortality ni uwezo wa kukwepa kifo hii inahusu uzoefu na uwezo binafsi wa kujua hatari za kifo na kukwepa ni kama inaelezwa pia ni kama kujiua kwa kiasi.

Wazo hili wakati mwingine linafikiriwa kuwa linatumika kwa sababu za ulimwengu ambao sio halisi (huu tuliopo sisi)

Wataalam wengi wanakazia kuwa jaribio au wazo linalohusiana na kukwepa kutokufa halitafanya kazi katika ulimwengu huu wa kweli tuliopo sisi.

Ni vyema ukaenda kwa mtandao kujifunza zaidi kuhusu hio nadharia. (wameelezea hadi namna inavyofanyika)

Watalamu wanoelezea nadharia hii wanasema kuwa watu wa mtindo huu wanauwezo wakutumia asilimia 50% ya ubongo.

ikumbukwe wataalamu wengine pia wana nadharia nyingine isemeyo binadamu wakawaida (yaani mimi na wewe ) tunatumia asilimia 2-1% tu ya uwezo wa bongo zetu

watu ambao wamefanya maajabu makubwa katika ulimwengu kwa gunduzi mbalimbali ,, mfano Albert Eistein, Isaac newton, Hawking na Nikola Tesla inaelezwa ndiyo baadhi waliojaribu kutumia japo aslimia 10%-15% ya bongo zao.

View attachment 1680950
NIKOLA TESLA

View attachment 1680951
SIR ISAAC NEWTON

Nadharia hiyo ilienezwa na mwandishi LOWELL THOMAS ,na kuna movie kadhaa zinaelezea nadharia hii...na zimejaribu kuonesha kama binadamu atatumia asilimia 100% ya ubongo wake mambo yatakuwa vipi

Lakini nadharia hio imepingwa na wanasayansi wengi wakiamin kila mtu ubongo wake unafanya kazi kwa asilimia 100%

Putin anahusishwa na nadharia hii kutokana na matendo mbalimbali ya ajabu ambayo anahusishwa nayo

Hata hivyo picha kadhaa zinamuonyesha na kudhaniwa alikuwepo toka mwaka 1920 na alipigana vita ya pili kama mwanajeshi

View attachment 1680952

Na hili baadhi ya watu ulimwenguni huliamini kutokana na Putin kuwa mwanajeshi kabla.

View attachment 1680953

Hatujui chochote kuhusu hii michezo ya wazungu kama ni ukweli au ni drama

TUNAHITAJI DONDOO ZAIDI ....

karibuni

DA'VINCI XV

reptailes human
Hawa watu si binadamu wa kawaida kuna mada sana zina dai kuwa wana asili ya damu balidi na vifo vyao ni vya kushangazasana
IMG_3674.jpg
 
reptailes human
Hawa watu si binadamu wa kawaida kuna mada sana zina dai kuwa wana asili ya damu balidi na vifo vyao ni vya kushangazasana
View attachment 1687715
yaah habari zao ninazo ,kiasi chake mkuu

.madai mengi yanadai secret societies wengi sana wamo katika mfumo huu wa reptilia....hao hupandikizwa vinasaba vya reptilia na hawazaliwi wakiwa hivyo

hiyo ipo katika mradi wao wa new world order

na nyoka/reptilia ni utambisho wa yule nyoka wa EDEN aliesababisha mwanadamu kuingia dhambini

NB: hizo zote ni consipiracies bado hazina uthibitisho
 
Back
Top Bottom