Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #21
Kwa ushahidi upi? Any valid proof please?KACHERO kama KACHERO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ushahidi upi? Any valid proof please?KACHERO kama KACHERO
Asante kwa kunisahihisha
Mkuu, labda niliona "Sendiga" na "Singida" zinafanana. Thanks for kunisahihisha
Lakini uwezo wake ni mkubwa piaNilimuona kwenye kampeni zake Njombe akiwa na magari watatu. Kumbe alikua na mission
Sina shaka, huenda! Nilipenda tu confidence yakeLakini uwezo wake ni mkubwa pia
Ila huyu RC Queen ana uwezo mzuri sana katika kufanya kazi zake.Ccm wanapenda kuwafanya wenzao wajinga. Kama huyo dada aligombania urais ameteuliwa kua mkuu wa mkoa na amekubali basi ni mdogo sanaaa. Kwa maana nyingine hana sifa ya kua rais [emoji23][emoji23] sidhani kama lisu,mbowe au Maalimu anaweza kushangalia teuzi ndogo kama hii.
Vyama vya msimu hivyo.Nilimuona kwenye kampeni zake Njombe akiwa na magari watatu. Kumbe alikua na mission
Uwezo wake uliupimia wapi?Ila huyu RC Queen ana uwezo mzuri sana katika kufanya kazi zake.
Wale wagombea wote wanawake wako TISS makao makuu. Hata mama Anna Mwighira ni TISS mbobevu kwa taarifa yako. Mnachezewa akili mnademka tuKwa ushahidi upi? Any valid proof please?
Ukabila unakujaje tena hapa jamani!Huyu dada kabila gani?
Lisu hawezi kubali teuzi ndogo maana yupo anakula hela za bure za wazungu. Mbowe ana uhakika wa hela za ruzuku.Ccm wanapenda kuwafanya wenzao wajinga. Kama huyo dada aligombania urais ameteuliwa kua mkuu wa mkoa na amekubali basi ni mdogo sanaaa. Kwa maana nyingine hana sifa ya kua rais [emoji23][emoji23] sidhani kama lisu,mbowe au Maalimu anaweza kushangalia teuzi ndogo kama hii.
Ila huyu RC Queen ana uwezo mzuri sana katika kufanya kazi zake.
Infantry soldier ingependeza zaidi ungeweka level ya elimu na uzoefu wa uongozi wake, kwa sisi tusio mjua.
Kweli mkuu hata hivyo anajua kuongea bila shaka na uongozi wake
Sijapata kufahamu zaidiElimu yake na uzoefu wake katika uongozi ni upi?