QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

lege ni sawa na wanasiasa,akija anakuja na maneno mazuri akishaamua kukaa kimya mbona mtakoma
 
Wengi wanafikiri nafanya kusudi au laa.lakini si kweli wadau mda kwangu nitatizo sana.kila siku nafika home mida mibaya sana ndio maana hata story huwa naweka mida mibaya sana .huwa nikifika napanga kabisa kutuma nawasha laptop lkn huwa nastukia nimelala na mara nyingi kumekucha.

Wacha now nijitahidi niweke zakutosha ili nisipo kuwepo kusiwe na kelele nyingi.
 
Poleeeeeeeee
 
Huyu lege anazingua story imetolewa season 3 mpaka mwisho na ninayo kwa PDF
 
LEGE nakusalimu tu katika jina la Mungu wetu aliye hai,nikutakie jumatatu njema kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…