Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afwazali yani mana ili tabu mkuu You Know what am sayn,!vi
zuri sana mkuu kwa kuunga mkono waandishi wetu.usikose na kitabu pia kikitoka ununue .
PoleeeeeeeeeWengi wanafikiri nafanya kusudi au laa.lakini si kweli wadau mda kwangu nitatizo sana.kila siku nafika home mida mibaya sana ndio maana hata story huwa naweka mida mibaya sana .huwa nikifika napanga kabisa kutuma nawasha laptop lkn huwa nastukia nimelala na mara nyingi kumekucha.
Wacha now nijitahidi niweke zakutosha ili nisipo kuwepo kusiwe na kelele nyingi.
Tutumie BacHuyu lege anazingua story imetolewa season 3 mpaka mwisho na ninayo kwa PDF
Huyu lege anazingua story imetolewa season 3 mpaka mwisho na ninayo kwa PDF
ManyoyaNafanya mchakato huo now kama mambo hayata ingiliana mkuu
Nafanya mchakato huo now kama mambo hayata ingiliana mkuu
HahahaDahhhh
Mambo Yashaingiliana ,,,,
Nirushie whatsappWakuu nimrshindwa labda kwa whatsup