QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

lege ni sawa na wanasiasa,akija anakuja na maneno mazuri akishaamua kukaa kimya mbona mtakoma
 
Lege Mida ya Wanga hii mkuu kama vipi Tupia

64e12979ac3e38f14cf0a3e7073ee5a0.jpg
 
Wengi wanafikiri nafanya kusudi au laa.lakini si kweli wadau mda kwangu nitatizo sana.kila siku nafika home mida mibaya sana ndio maana hata story huwa naweka mida mibaya sana .huwa nikifika napanga kabisa kutuma nawasha laptop lkn huwa nastukia nimelala na mara nyingi kumekucha.

Wacha now nijitahidi niweke zakutosha ili nisipo kuwepo kusiwe na kelele nyingi.
 
Wengi wanafikiri nafanya kusudi au laa.lakini si kweli wadau mda kwangu nitatizo sana.kila siku nafika home mida mibaya sana ndio maana hata story huwa naweka mida mibaya sana .huwa nikifika napanga kabisa kutuma nawasha laptop lkn huwa nastukia nimelala na mara nyingi kumekucha.

Wacha now nijitahidi niweke zakutosha ili nisipo kuwepo kusiwe na kelele nyingi.
Poleeeeeeeee
 
LEGE nakusalimu tu katika jina la Mungu wetu aliye hai,nikutakie jumatatu njema kaka
 
Back
Top Bottom