QUEEN MONICA: Story yenye mambo ya kijasusi ndani yake

Chezea wewe, watu wameanza kuovta subira toka ijumaa, wakijipa matumaini kuwa kitakua kipozeo chao wikiendi,

Leo nilipanga nisiende jumuia, itanibidi tu niende[emoji17] [emoji17]
hahaha nenda tu mkuu
 
Hamna namna mkuu

LEGE KASHAFANYA YAKE.
alituahidi bampa to bampa, na akili yangu nikaiweka bampa tu bampa[emoji17] [emoji17] [emoji17]

Kinachonikuta hapa
wakuu muwe mnachungulia mkiniona nilitembelea jf nilikuwa nipo online na sijabandika story mnilaum sana.humu nikiingia lazima nitupie vitu wakuu. niliahidi bumpa to bampa lkn ndio hivyo mambo yanaingiliana lkn soon yatakaa sawa
 
wakuu muwe mnachungulia mkiniona nilitembelea jf nilikuwa nipo online na sijabandika story mnilaum sana.humu nikiingia lazima nitupie vitu wakuu. niliahidi bumpa to bampa lkn ndio hivyo mambo yanaingiliana lkn soon yatakaa sawa
Hapa tumekuona mkuu

Kwanza habari za asubuhi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…